< Zaburi 102 >

1 Maombi ya mtu aliyechoka. Anapoteseka na kumimina malalamiko yake kwa Bwana. Ee Bwana, usikie maombi yangu, kilio changu cha kuomba msaada kikufikie.
Kasakkung: panuekhoeh Oe BAWIPA ka ratoumnae na thai pouh awh. Ka kanae hai nang koe phat naseh.
2 Usinifiche uso wako ninapokuwa katika shida. Unitegee sikio lako, ninapoita, unijibu kwa upesi.
Ka rucat navah kai koe na minhmai na hrawk pouh hanh. Kai koe lah na hnâpakeng nateh, na kaw toteh karanglah na pato haw.
3 Kwa kuwa siku zangu zinatoweka kama moshi, mifupa yangu inaungua kama kaa la moto.
Bangkongtetpawiteh, kaie hninnaw teh hmaikhu patetlah a kahma han. Ka hrunaw hah hmaito patetlah a kak.
4 Moyo wangu umefifia na kunyauka kama jani, ninasahau kula chakula changu.
Ka lungthin teh phokahring patetlah, hem lah ao teh a kamyai. Rawca ca hane hai ouk ka pahnim.
5 Kwa sababu ya kusononeka kwangu kwa uchungu, nimebakia ngozi na mifupa.
Ka cingounae dawkvah, ka hru hoi ka vuen khik kâbet.
6 Nimekuwa kama bundi wa jangwani, kama bundi kwenye magofu.
Kahrawng e tavaca patetlah ka o teh, ka rawk tangcoung e kho dawk e bukbu patetlah ka o.
7 Nilalapo sipati usingizi, nimekuwa kama ndege mpweke kwenye paa la nyumba.
Ka i nah ka mitmasip thai hoeh, lemphu vah amadueng kaawm e mongmang va patetlah ka o.
8 Mchana kutwa adui zangu hunidhihaki, wale wanaonizunguka hutumia jina langu kama laana.
Ka tarannaw ni kanîruirui na pathoe awh. Kaie avanglah na ka pacekpahlek e naw ni kai hah bangnuenae lah thoe na bo awh.
9 Ninakula majivu kama chakula changu na nimechanganya kinywaji changu na machozi
Bangtelah tetpawiteh, hraba hah rawca lah ka khan teh, ka nei hane tui hai mitphi hoi a kâkalawt.
10 kwa sababu ya ghadhabu yako kuu, kwa maana umeniinua na kunitupa kando.
Na lungkhueknae kecu dawk, na tawm teh na tâkhawng.
11 Siku zangu ni kama kivuli cha jioni, ninanyauka kama jani.
Kaie hninnaw teh kanîka patetlah ao teh, phokahring patetlah a kamyai.
12 Lakini wewe, Ee Bwana, umeketi katika kiti chako cha enzi milele, sifa zako za ukuu zaendelea vizazi vyote.
Hatei, Oe BAWIPA, nang teh a yungyoe na kangning. Na min pahnimhoehnae teh se pueng dawk a kangning.
13 Utainuka na kuihurumia Sayuni, kwa maana ni wakati wa kumwonyesha wema; wakati uliokubalika umewadia.
Na thaw vaiteh, Zion na lungma han, Zion kho rungngang nahane tueng, atueng khoe e teh a pha toe.
14 Kwa maana mawe yake ni ya thamani kwa watumishi wako, vumbi lake lenyewe hulionea huruma.
Na sannaw teh talungnaw dawk a konawm awh teh, hraba totouh a doun awh.
15 Mataifa wataogopa jina la Bwana, wafalme wote wa dunia watauheshimu utukufu wako.
Miphunlouknaw ni BAWIPA min teh a taki awh han. Talaivan e siangpahrang pueng ni na bawilennae hah a taki awh han.
16 Kwa maana Bwana ataijenga tena Sayuni na kutokea katika utukufu wake.
BAWIPA ni Zion kho kangdue sak teh a bawilennae lahoi a kamnue sak.
17 Ataitikia maombi ya mtu mkiwa, wala hatadharau hoja yao.
Kavoutnaw e ratoumnae na thai pouh vaiteh, a kâheinae teh noutna laipalah na awm hoeh.
18 Hili na liandikwe kwa ajili ya kizazi kijacho, ili taifa litakaloumbwa baadaye waweze kumsifu Bwana:
Hetheh, kaawm hane se hanelah thut lah ao teh kaawm hane tamimaya ni BAWIPA teh a pholen awh han.
19 “Bwana alitazama chini kutoka patakatifu pake palipo juu, kutoka mbinguni alitazama dunia,
Thongkabawtnaw kâhram lawk thai hane hoi a due han toe telah pouk e naw hlout sak hane hoi,
20 kusikiliza vilio vya uchungu vya wafungwa na kuwaweka huru wale waliohukumiwa kufa.”
Zion hoi BAWIPA min pâpho hane hoi Jerusalem hoi ama pholen hanelah,
21 Kwa hiyo jina la Bwana latangazwa huko Sayuni na sifa zake katika Yerusalemu,
BAWIPA thaw tawk hanlah tami pueng hoi ram pueng hmuen touh koe kamkhueng awh toteh,
22 wakati mataifa na falme zitakapokusanyika ili kumwabudu Bwana.
a rasangnae hmuen kathoung koehoi a khet navah, BAWIPA ni talai heh kalvan hoi a khet.
23 Katika kuishi kwangu alivunja nguvu zangu, akafupisha siku zangu.
Lamthung dawk ka thaonae a youn teh, kanî hah a duem sak teh,
24 Ndipo niliposema: “Ee Mungu wangu, usinichukue katikati ya siku zangu; miaka yako inaendelea vizazi vyote.
Oe ka Cathut, ka hringyung na lat pouh hanh telah ka ti. Nange na kum teh se pueng hane doeh telah ka ti.
25 Hapo mwanzo uliweka misingi ya dunia, nazo mbingu ni kazi ya mikono yako.
Nang ni ahmaloe hoi talai heh na kangdue sak toe. Kalvannaw hah na kut sak doeh.
26 Hizi zitatoweka, lakini wewe utadumu, zote zitachakaa kama vazi. Utazibadilisha kama nguo nazo zitaondoshwa.
Hotnaw teh rawknae koe ka phat nakunghai, nang teh a yungyoe na kangning. Hotnaw pueng teh, khohna patetlah ka pawn han. Khohna kâthung patetlah na thung vaiteh kâhleng awh nakunghai,
27 Lakini wewe, U yeye yule, nayo miaka yako haikomi kamwe.
nang teh kâhlengnae awm hoeh. Na kum hai bawnae awm hoeh.
28 Watoto wa watumishi wako wataishi mbele zako; wazao wao wataimarishwa mbele zako.”
Na sannaw e ca catounnaw teh, kangning awh vaiteh, catounnaw hai na hmalah caksak lah ao han.

< Zaburi 102 >