< Zaburi 100 >

1 Zaburi ya shukrani. Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
Psaume de louange (ou d’action de grâces).
2 Mwabuduni Bwana kwa furaha; njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.
Poussez des cris d’allégresse vers Dieu, ô terre tout entière: servez le Seigneur avec joie. Entrez en sa présence avec exultation.
3 Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu. Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake; sisi tu watu wake, kondoo wa malisho yake.
Sachez que le Seigneur est Dieu: c’est lui-même qui nous a faits, et non pas nous-mêmes; Vous son peuple et les brebis de son pâturage,
4 Ingieni malangoni mwake kwa shukrani na katika nyua zake kwa kusifu, mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.
Entrez par ses portes en le louant: dans ses parvis en chantant des hymnes; publiez ses louanges.
5 Kwa maana Bwana ni mwema na upendo wake wadumu milele; uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.
Car il est bienveillant, le Seigneur: sa miséricorde est éternelle, et jusqu’à toutes les générations s’étend sa vérité.

< Zaburi 100 >