< Zaburi 100 >
1 Zaburi ya shukrani. Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
Psaume d'action de grâces. Vous tous habitants de la terre, jetez des cris de réjouissance à l'Eternel.
2 Mwabuduni Bwana kwa furaha; njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.
Servez l'Eternel avec allégresse, venez devant lui avec un chant de joie.
3 Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu. Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake; sisi tu watu wake, kondoo wa malisho yake.
Connaissez que l'Eternel est Dieu. C'est lui qui nous a faits, et ce n'est pas nous [qui nous sommes faits; nous sommes] son peuple, et le troupeau de sa pâture.
4 Ingieni malangoni mwake kwa shukrani na katika nyua zake kwa kusifu, mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.
Entrez dans ses portes avec des actions de grâces; et dans ses parvis, avec des louanges; célébrez-le, bénissez son Nom.
5 Kwa maana Bwana ni mwema na upendo wake wadumu milele; uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.
Car l'Eternel est bon; sa bonté demeure à toujours, et sa fidélité d'âge en âge.