< Zaburi 100 >

1 Zaburi ya shukrani. Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
A Psalm of Thanksgiving. Shout to Jehovah, all the earth.
2 Mwabuduni Bwana kwa furaha; njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.
Serve Jehovah with joy, come before him with singing.
3 Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu. Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake; sisi tu watu wake, kondoo wa malisho yake.
Know that Jehovah He [is] God, He made us, and we are His, His people — and the flock of His pasture.
4 Ingieni malangoni mwake kwa shukrani na katika nyua zake kwa kusifu, mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.
Enter ye His gates with thanksgiving, His courts with praise, Give ye thanks to Him, bless ye His Name.
5 Kwa maana Bwana ni mwema na upendo wake wadumu milele; uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.
For good [is] Jehovah, to the age His kindness, And to generation and generation His faithfulness!

< Zaburi 100 >