< Zaburi 100 >

1 Zaburi ya shukrani. Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
melody to/for thanksgiving to shout to/for LORD all [the] land: country/planet
2 Mwabuduni Bwana kwa furaha; njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.
to serve: minister [obj] LORD in/on/with joy to come (in): come to/for face his in/on/with triumphing
3 Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu. Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake; sisi tu watu wake, kondoo wa malisho yake.
to know for LORD he/she/it God he/she/it to make us (and to/for him *Q(K)*) we people his and flock pasturing his
4 Ingieni malangoni mwake kwa shukrani na katika nyua zake kwa kusifu, mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.
to come (in): come gate his in/on/with thanksgiving court his in/on/with praise to give thanks to/for him to bless name his
5 Kwa maana Bwana ni mwema na upendo wake wadumu milele; uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.
for pleasant LORD to/for forever: enduring kindness his and till generation and generation faithfulness his

< Zaburi 100 >