< Zaburi 100 >

1 Zaburi ya shukrani. Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
Leiset pumpin Yahweh Pakai a kipana samphong'un,
2 Mwabuduni Bwana kwa furaha; njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.
kipah tah'in Yahweh Pakai chu chibai boh'un vahchoila sapum pumin a-angah hungun
3 Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu. Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake; sisi tu watu wake, kondoo wa malisho yake.
Yahweh Pakai, Elohim Pathen ahi tin hettohna phongdohun, Aman eisem uva eiho Ama a ihiu ahi. Eiho Ama mite ihiu vin a-an a kivah akelngoite ihiuve.
4 Ingieni malangoni mwake kwa shukrani na katika nyua zake kwa kusifu, mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.
Thangvah pum in akulpi sungah lut un, vahchoi pum in ainsungah lut in, Akom a kipa thu sei un, amin thangvah'un.
5 Kwa maana Bwana ni mwema na upendo wake wadumu milele; uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.
Yahweh Pakai phatna jehchun, ami ngailutna longlou hi tonsot in aumjinge, chuleh akitah nahi akhang khangin aumjinge

< Zaburi 100 >