< Zaburi 100 >

1 Zaburi ya shukrani. Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
Osobo bagade fifi asi gala dunu huluane! Godema nodone gesami hea: ma!
2 Mwabuduni Bwana kwa furaha; njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.
Hina Godema hahawane nodone sia: ne gadoma! Ea midadi misini, hahawane gesami hea: ma!
3 Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu. Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake; sisi tu watu wake, kondoo wa malisho yake.
Hina Gode da Godedafa. Amo maedafa gogolema! E da nini hahamoi, amola nini da Ea: Nini da Ea fi dunu, amola Ea sibi wa: i gala.
4 Ingieni malangoni mwake kwa shukrani na katika nyua zake kwa kusifu, mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.
Debolo logo holei amoga nonodona golili sa: ima. Debolo diasu gagoi amo ganodini nonodona golili sa: ima. Ema hahawane nodone, Ea Dio gaguia gadoma.
5 Kwa maana Bwana ni mwema na upendo wake wadumu milele; uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.
Hina Gode da noga: idafa! Ea asigisu hou da eso huluane dialumu. Ea dafawane didili hamosu hou da eso huluane mae fisili amanewane dialumu.

< Zaburi 100 >