< Zaburi 10 >

1 Kwa nini, Ee Bwana, unasimama mbali? Kwa nini unajificha wakati wa shida?
¿Por qué estás lejos, oh SEÑOR, y te escondes en los tiempos de la angustia?
2 Katika kiburi chake, mwovu humtesa maskini, waovu na wanaswe katika hila wanazozitunga.
Con arrogancia el malo persigue al pobre; sean tomados en los pensamientos que pensaron.
3 Hujivunia tamaa za moyo wake; humbariki mlafi na kumtukana Bwana.
Por cuanto se alabó el malo del deseo de su alma, y diciendo bien al robador, blasfema del SEÑOR.
4 Katika kiburi chake, mwovu hamtafuti Mungu, katika mawazo yake yote hakuna nafasi ya Mungu.
El malo, por la altivez de su rostro, no busca a Dios. No está Dios en todos sus pensamientos.
5 Njia zake daima hufanikiwa; hujivuna na amri zako ziko mbali naye, huwacheka kwa dharau adui zake wote.
Sus caminos atormentan en todo tiempo; tus juicios son altura delante de él; echa bocanadas en orden a todos sus enemigos.
6 Anajisemea mwenyewe, “Hakuna kitakachonitikisa, daima nitakuwa na furaha, kamwe sitakuwa na shida.”
Dice en su corazón: No seré movido en ningún tiempo, porque no me alcanzará el mal.
7 Kinywa chake kimejaa laana, uongo na vitisho; shida na ubaya viko chini ya ulimi wake.
Llena está su boca de maldición, y de engaños y fraude; debajo de su lengua, molestia y maldad.
8 Huvizia karibu na vijiji; kutoka mafichoni huwanasa wasio na hatia, akivizia wapitaji.
Está en las guaridas de las aldeas; en los escondrijos mata al inocente; sus ojos están acechando al pobre.
9 Huvizia kama simba aliye mawindoni; huvizia kumkamata mnyonge, huwakamata wanyonge na kuwaburuza katika wavu wake.
Acecha de encubierto, como el león desde su cama; acecha para arrebatar al pobre; arrebata al pobre trayéndolo en su red.
10 Mateka wake hupondwa, huzimia; wanaanguka katika nguvu zake.
Se encoge, se agacha, y caen en sus fuerzas muchos desdichados.
11 Anajisemea mwenyewe, “Mungu amesahau, huficha uso wake na haoni kabisa.”
Dice en su corazón: Dios está olvidado, ha encubierto su rostro; nunca lo vio.
12 Inuka Bwana! Inua mkono wako, Ee Mungu. Usiwasahau wanyonge.
Levántate, oh SEÑOR Dios, alza tu mano, no te olvides de los humildes.
13 Kwa nini mtu mwovu anamtukana Mungu? Kwa nini anajiambia mwenyewe, “Hataniita nitoe hesabu?”
¿Por qué irrita el malo a Dios? En su corazón ha dicho que no lo inquirirás.
14 Lakini wewe, Ee Mungu, unaona shida na huzuni, umekubali kuyapokea mkononi mwako. Mhanga anajisalimisha kwako, wewe ni msaada wa yatima.
Tú has visto; porque tú miras el trabajo, y el enojo, para dar justicia en tus manos; a ti se acoge el pobre, tú eres el amparo del huérfano.
15 Vunja mkono wa mtu mwovu na mbaya, mwite atoe hesabu ya maovu yake ambayo yasingejulikana.
Quebranta el brazo del inicuo; del malo buscarás su maldad, y no la hallarás.
16 Bwana ni Mfalme milele na milele, mataifa wataangamia watoke nchini mwake.
El SEÑOR, Rey eterno y perpetuo; de su tierra fueron destruidos los gentiles.
17 Unasikia, Ee Bwana, shauku ya wanaoonewa, wewe huwatia moyo, na kusikiliza kilio chao,
El deseo de los humildes oíste, oh SEÑOR; tú dispones su corazón, y haces atento tu oído;
18 ukiwatetea yatima na walioonewa, ili mwanadamu, ambaye ni udongo, asiogopeshe tena.
para juzgar al huérfano y al pobre; no volverá más a hacer violencia el hombre de la tierra.

< Zaburi 10 >