< Zaburi 1 >

1 Heri mtu yule ambaye haendi katika shauri la watu waovu, wala hasimami katika njia ya wenye dhambi, au kuketi katika baraza la wenye mizaha.
Nowa dunu ilia wadela: i hou hamosu dunu ilia fada: i sia: hame nabasea, amola wadela: i hou dawa: su dunu ilia hou amoma fa: no hame bobogesea, amola nowa ilia Gode ea hou higale dawa: be dunu ilima hame gilisisia, amo dunu da hahawane bagade.
2 Bali huifurahia sheria ya Bwana, naye huitafakari hiyo sheria usiku na mchana.
Be amomane ilia da hahawane Hina Gode Ea sema dedei amoma nabasu hou amola fa: no bobogesa, amola ilia yoga amola gasia idisu hou amo eso huluane bu dafawane dadawa: sa idisa.
3 Mtu huyo ni kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji, ambao huzaa matunda kwa majira yake na majani yake hayanyauki. Lolote afanyalo hufanikiwa.
Ilia da ifa hano guba: le aligi agoai, amo fage eso doaga: sea legebe agoane legesa, amola ea lubi hame biosa. Ilia da hou huluane noga: le hamosa.
4 Sivyo walivyo waovu! Wao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
Be wadela: i dunu ilia goe hamedafa hanasa. Ilia da gisi amo fo misini mini asi dagoi agoai ba: sa.
5 Kwa hiyo waovu hawatastahimili hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.
Wadela: i hou hamosu dunu ilia da Godema Hi fofada: sea, Ea se iasu ba: mu, amola ilia da Gode Ea fi dunu ilima afafai dagoi ba: mu.
6 Kwa maana Bwana huziangalia njia za mwenye haki, bali njia ya waovu itaangamia.
Moloidafa noga: i dunu da Hina Gode Ea gaga: su amola logo olelesu dawa: Be wadela: i hamosu dunu da se nabasu logo amoga ahoana, gugunufinisisudafa amoga doaga: mu.

< Zaburi 1 >