< Mithali 9 >

1 Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo zake saba.
Premudrost sazida sebi kuæu, i otesa sedam stupova;
2 Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake; pia ameandaa meza yake.
Pokla stoku svoju, rastvori vino svoje, i postavi sto svoj.
3 Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita kutoka mahali pa juu sana pa mji.
Posla djevojke svoje, te zove svrh visina gradskih:
4 Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa!
Ko je lud, neka se uvrati ovamo. I bezumnima veli:
5 Njooni, mle chakula changu na mnywe divai niliyoichanganya.
Hodite, jedite hljeba mojega, i pijte vina koje sam rastvorila.
6 Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
Ostavite ludost i biæete živi, i idite putem razuma.
7 “Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha hukaribisha matukano; yeyote anayekemea mtu mwovu hupatwa na matusi.
Ko uèi potsmjevaèa, prima sramotu; i ko kori bezbožnika, prima rug.
8 Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia; mkemee mwenye hekima naye atakupenda.
Ne karaj potsmjevaèa da ne omrzne na te; karaj mudra, i ljubiæe te.
9 Mfundishe mtu mwenye hekima naye atakuwa na hekima zaidi; mfundishe mtu mwadilifu naye atazidi kufundishika.
Kaži mudrome, i biæe još mudriji; pouèi pravednoga, i znaæe više.
10 “Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, na kumjua Aliye Mtakatifu ni ufahamu.
Poèetak je mudrosti strah Gospodnji, i znanje je svetijeh stvari razum.
11 Kwa maana kwa msaada wangu siku zako zitakuwa nyingi, na miaka itaongezwa katika maisha yako.
Jer æe se mnom umnožiti dani tvoji i dodaæe ti se godine životu.
12 Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo; kama wewe ni mtu wa mzaha, wewe mwenyewe ndiwe utateseka.”
Ako budeš mudar, sebi æeš biti mudar; ako li budeš potsmjevaè, sam æeš tegliti.
13 Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele; hana adabu na hana maarifa.
Žena bezumna plaha je, luda i ništa ne zna;
14 Huketi kwenye mlango wa nyumba yake, juu ya kiti katika mahali pa juu sana pa mji,
I sjedi na vratima od kuæe svoje na stolici, na visinama gradskim,
15 akiita wale wapitao karibu, waendao moja kwa moja kwenye njia yao.
Te vièe one koji prolaze, koji idu pravo svojim putem:
16 Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa ndani!”
Ko je lud? neka se uvrati ovamo. I bezumnome govori:
17 “Maji yaliyoibiwa ni matamu; chakula kinacholiwa sirini ni kitamu!”
Voda je kradena slatka, i hljeb je sakriven ugodan.
18 Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo, kwamba wageni wake huyo mwanamke wako katika vilindi vya kuzimu. (Sheol h7585)
A on ne zna da su ondje mrtvaci i u dubokom grobu da su zvanice njezine. (Sheol h7585)

< Mithali 9 >