< Mithali 9 >

1 Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo zake saba.
지혜가 그 집을 짓고 일곱 기둥을 다듬고
2 Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake; pia ameandaa meza yake.
짐승을 잡으며 포도주를 혼합하여 상을 갖추고
3 Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita kutoka mahali pa juu sana pa mji.
그 여종을 보내어 성중 높은 곳에서 불러 이르기를
4 Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa!
무릇 어리석은 자는 이리로 돌이키라 또 지혜 없는 자에게 이르기를
5 Njooni, mle chakula changu na mnywe divai niliyoichanganya.
너는 와서 내 식물을 먹으며 내 혼합한 포도주를 마시고
6 Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
어리석음을 버리고 생명을 얻으라 명철의 길을 행하라 하느니라
7 “Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha hukaribisha matukano; yeyote anayekemea mtu mwovu hupatwa na matusi.
거만한 자를 징계하는 자는 도리어 능욕을 받고 악인을 책망하는 자는 도리어 흠을 잡히느니라
8 Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia; mkemee mwenye hekima naye atakupenda.
거만한 자를 책망하지 말라 그가 너를 미워할까 두려우니라 지혜있는 자를 책망하라 그가 너를 사랑하리라
9 Mfundishe mtu mwenye hekima naye atakuwa na hekima zaidi; mfundishe mtu mwadilifu naye atazidi kufundishika.
지혜 있는 자에게 교훈을 더하라 그가 더욱 지혜로와질 것이요 의로운 사람을 가르치라 그의 학식이 더하리라
10 “Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, na kumjua Aliye Mtakatifu ni ufahamu.
여호와를 경외하는 것이 지혜의 근본이요 거룩하신 자를 아는 것이 명철이니라
11 Kwa maana kwa msaada wangu siku zako zitakuwa nyingi, na miaka itaongezwa katika maisha yako.
나 지혜로 말미암아 네 날이 많아질 것이요 네 생명의 해가 더하리라
12 Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo; kama wewe ni mtu wa mzaha, wewe mwenyewe ndiwe utateseka.”
네가 만일 지혜로우면 그 지혜가 네게 유익할 것이나 네가 만일 거만하면 너 홀로 해를 당하리라
13 Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele; hana adabu na hana maarifa.
미련한 계집이 떠들며 어리석어서 아무 것도 알지 못하고
14 Huketi kwenye mlango wa nyumba yake, juu ya kiti katika mahali pa juu sana pa mji,
자기 집 문에 앉으며 성읍 높은 곳에 있는 자리에 앉아서
15 akiita wale wapitao karibu, waendao moja kwa moja kwenye njia yao.
자기 길을 바로 가는 행객을 불러 이르되
16 Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa ndani!”
무릇 어리석은 자는 이리로 돌이키라 또 지혜없는 자에게 이르기를
17 “Maji yaliyoibiwa ni matamu; chakula kinacholiwa sirini ni kitamu!”
도적질한 물이 달고 몰래 먹는 떡이 맛이 있다 하는도다
18 Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo, kwamba wageni wake huyo mwanamke wako katika vilindi vya kuzimu. (Sheol h7585)
오직 그 어리석은 자는 죽은 자가 그의 곳에 있는 것과 그의 객들이 음부 깊은 곳에 있는 것을 알지 못하느니라 (Sheol h7585)

< Mithali 9 >