< Mithali 9 >

1 Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo zake saba.
Die Weisheit baute ihr Haus und hieb sieben Säulen,
2 Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake; pia ameandaa meza yake.
schlachtete ihr Vieh und trug ihren Wein auf und bereitete ihren Tisch
3 Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita kutoka mahali pa juu sana pa mji.
und sandte ihre Dirnen aus, zu rufen oben auf den Höhen der Stadt:
4 Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa!
“Wer verständig ist, der mache sich hierher!”, und zum Narren sprach sie:
5 Njooni, mle chakula changu na mnywe divai niliyoichanganya.
“Kommet, zehret von meinem Brot und trinket den Wein, den ich schenke;
6 Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
verlaßt das unverständige Wesen, so werdet ihr leben, und gehet auf dem Wege der Klugheit.”
7 “Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha hukaribisha matukano; yeyote anayekemea mtu mwovu hupatwa na matusi.
Wer den Spötter züchtigt, der muß Schande auf sich nehmen; und wer den Gottlosen straft, der muß gehöhnt werden.
8 Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia; mkemee mwenye hekima naye atakupenda.
Strafe den Spötter nicht, er haßt dich; strafe den Weisen, der wird dich lieben.
9 Mfundishe mtu mwenye hekima naye atakuwa na hekima zaidi; mfundishe mtu mwadilifu naye atazidi kufundishika.
Gib dem Weisen, so wird er noch weiser werden; lehre den Gerechten, so wird er in der Lehre zunehmen.
10 “Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, na kumjua Aliye Mtakatifu ni ufahamu.
Der Weisheit Anfang ist des HERRN Furcht, und den Heiligen erkennen ist Verstand.
11 Kwa maana kwa msaada wangu siku zako zitakuwa nyingi, na miaka itaongezwa katika maisha yako.
Denn durch mich werden deiner Tage viel werden und werden dir der Jahre des Lebens mehr werden.
12 Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo; kama wewe ni mtu wa mzaha, wewe mwenyewe ndiwe utateseka.”
Bist du weise, so bist du dir weise; bist du ein Spötter, so wirst du es allein tragen.
13 Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele; hana adabu na hana maarifa.
Es ist aber ein törichtes, wildes Weib, voll Schwätzens, und weiß nichts;
14 Huketi kwenye mlango wa nyumba yake, juu ya kiti katika mahali pa juu sana pa mji,
die sitzt in der Tür ihres Hauses auf dem Stuhl, oben in der Stadt,
15 akiita wale wapitao karibu, waendao moja kwa moja kwenye njia yao.
zu laden alle, die vorübergehen und richtig auf ihrem Wege wandeln:
16 Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa ndani!”
“Wer unverständig ist, der mache sich hierher!”, und zum Narren spricht sie:
17 “Maji yaliyoibiwa ni matamu; chakula kinacholiwa sirini ni kitamu!”
“Die gestohlenen Wasser sind süß, und das verborgene Brot schmeckt wohl.”
18 Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo, kwamba wageni wake huyo mwanamke wako katika vilindi vya kuzimu. (Sheol h7585)
Er weiß aber nicht, daß daselbst Tote sind und ihre Gäste in der tiefen Grube. (Sheol h7585)

< Mithali 9 >