< Mithali 9 >
1 Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo zake saba.
La saĝo konstruis sian domon, Ĉarpentis ĝiajn sep kolonojn.
2 Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake; pia ameandaa meza yake.
Ĝi buĉis sian bruton, verŝis sian vinon, Kaj pretigis sian tablon.
3 Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita kutoka mahali pa juu sana pa mji.
Ĝi sendis siajn servantinojn, Por anonci sur la pintoj de la altaĵoj de la urbo:
4 Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa!
Kiu estas naiva, tiu sin turnu ĉi tien! Al la senspritulo ĝi diris:
5 Njooni, mle chakula changu na mnywe divai niliyoichanganya.
Venu, manĝu de mia pano, Kaj trinku el la vino, kiun mi enverŝis.
6 Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
Forlasu la malsaĝaĵon, kaj vivu; Kaj iru laŭ la vojo de la prudento.
7 “Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha hukaribisha matukano; yeyote anayekemea mtu mwovu hupatwa na matusi.
Kiu instruas blasfemanton, tiu prenas sur sin malhonoron; Kaj kiu penas ĝustigi malpiulon, tiu estas mokata.
8 Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia; mkemee mwenye hekima naye atakupenda.
Ne penu ĝustigi blasfemanton, ke li vin ne malamu: Penu ĝustigi saĝulon, kaj li vin amos.
9 Mfundishe mtu mwenye hekima naye atakuwa na hekima zaidi; mfundishe mtu mwadilifu naye atazidi kufundishika.
Donu al saĝulo, kaj li ankoraŭ pli saĝiĝos; Instruu justulon, kaj li lernos pli.
10 “Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, na kumjua Aliye Mtakatifu ni ufahamu.
La komenco de la saĝo estas timo antaŭ la Eternulo; Kaj ekkono pri la Sanktulo estas prudento.
11 Kwa maana kwa msaada wangu siku zako zitakuwa nyingi, na miaka itaongezwa katika maisha yako.
Ĉar per mi plimultiĝos viaj tagoj, Kaj aldoniĝos al vi jaroj da vivo.
12 Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo; kama wewe ni mtu wa mzaha, wewe mwenyewe ndiwe utateseka.”
Se vi saĝiĝis, vi saĝiĝis por vi; Kaj se vi blasfemas, vi sola suferos.
13 Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele; hana adabu na hana maarifa.
Virino malsaĝa, bruema, Sensprita, kaj nenion scianta,
14 Huketi kwenye mlango wa nyumba yake, juu ya kiti katika mahali pa juu sana pa mji,
Sidas ĉe la pordo de sia domo, Sur seĝo sur altaĵo de la urbo,
15 akiita wale wapitao karibu, waendao moja kwa moja kwenye njia yao.
Por voki la pasantojn, Kiuj iras sian ĝustan vojon:
16 Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa ndani!”
Kiu estas naiva, tiu sin turnu ĉi tien! Kaj al la senspritulo ŝi diris:
17 “Maji yaliyoibiwa ni matamu; chakula kinacholiwa sirini ni kitamu!”
Akvoj ŝtelitaj estas dolĉaj, Kaj pano kaŝita estas agrabla.
18 Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo, kwamba wageni wake huyo mwanamke wako katika vilindi vya kuzimu. (Sheol )
Kaj li ne scias, ke tie estas mortintoj Kaj ke ŝiaj invititoj estas en la profundoj de Ŝeol. (Sheol )