< Mithali 9 >

1 Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo zake saba.
Wisdom bildide an hous to him silf; he hewide out seuene pileris,
2 Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake; pia ameandaa meza yake.
he offride his slayn sacrifices, he medlide wijn, and settide forth his table.
3 Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita kutoka mahali pa juu sana pa mji.
He sente hise handmaides, that thei schulden clepe to the tour; and to the wallis of the citee.
4 Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa!
If ony man is litil; come he to me. And wisdom spak to vnwise men,
5 Njooni, mle chakula changu na mnywe divai niliyoichanganya.
Come ye, ete ye my breed; and drynke ye the wiyn, which Y haue medlid to you.
6 Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
Forsake ye yong childhed, and lyue ye; and go ye bi the weyes of prudence.
7 “Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha hukaribisha matukano; yeyote anayekemea mtu mwovu hupatwa na matusi.
He that techith a scornere, doith wrong to him silf; and he that vndirnymmeth a wickid man, gendrith a wem to him silf.
8 Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia; mkemee mwenye hekima naye atakupenda.
Nile thou vndirnyme a scornere; lest he hate thee. Vndirnyme thou a wise man; and he schal loue thee.
9 Mfundishe mtu mwenye hekima naye atakuwa na hekima zaidi; mfundishe mtu mwadilifu naye atazidi kufundishika.
Yyue thou occasioun to a wise man; and wisdom schal be encreessid to hym. Teche thou a iust man; and he schal haste to take.
10 “Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, na kumjua Aliye Mtakatifu ni ufahamu.
The bigynnyng of wisdom is the dreed of the Lord; and prudence is the kunnyng of seyntis.
11 Kwa maana kwa msaada wangu siku zako zitakuwa nyingi, na miaka itaongezwa katika maisha yako.
For thi daies schulen be multiplied bi me; and yeeris of lijf schulen be encreessid to thee.
12 Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo; kama wewe ni mtu wa mzaha, wewe mwenyewe ndiwe utateseka.”
If thou art wijs; thou schalt be to thi silf, and to thi neiyboris. Forsothe if thou art a scornere; thou aloone schalt bere yuel.
13 Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele; hana adabu na hana maarifa.
A fonned womman, and ful of cry, and ful of vnleueful lustis, and that kan no thing outirli,
14 Huketi kwenye mlango wa nyumba yake, juu ya kiti katika mahali pa juu sana pa mji,
sittith in the doris of hir hous, on a seete, in an hiy place of the cite;
15 akiita wale wapitao karibu, waendao moja kwa moja kwenye njia yao.
to clepe men passinge bi the weie, and men goynge in her iournei.
16 Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa ndani!”
Who is a litil man `of wit; bowe he to me. And sche spak to a coward,
17 “Maji yaliyoibiwa ni matamu; chakula kinacholiwa sirini ni kitamu!”
Watris of thefte ben swettere, and breed hid is swettere.
18 Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo, kwamba wageni wake huyo mwanamke wako katika vilindi vya kuzimu. (Sheol h7585)
And wiste not that giauntis ben there; and the gestis `of hir ben in the depthis of helle. Sotheli he that schal be applied, ether fastned, to hir; schal go doun to hellis. For whi he that goith awei fro hir; schal be saued. (Sheol h7585)

< Mithali 9 >