< Mithali 9 >
1 Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo zake saba.
Wisdom she has built house her she has hewn pillars her seven.
2 Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake; pia ameandaa meza yake.
She has slaughtered slaughtering her she has mixed wine her also she has arranged table her.
3 Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita kutoka mahali pa juu sana pa mji.
She has sent out female servants her she calls out on [the] elevations of [the] heights of [the] town.
4 Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa!
Who? [is] naive let him turn aside here [one] lacking of heart she says to him.
5 Njooni, mle chakula changu na mnywe divai niliyoichanganya.
Come eat in food my and drink in [the] wine [which] I have mixed.
6 Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
Abandon foolish things and live and advance in [the] way of understanding.
7 “Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha hukaribisha matukano; yeyote anayekemea mtu mwovu hupatwa na matusi.
[one who] admonishes - A mocker [is] receiving for himself shame and [one who] reproves a wicked [person] defect his.
8 Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia; mkemee mwenye hekima naye atakupenda.
May not you reprove a mocker lest he should hate you reprove a wise [person] and he will love you.
9 Mfundishe mtu mwenye hekima naye atakuwa na hekima zaidi; mfundishe mtu mwadilifu naye atazidi kufundishika.
Give to a wise [person] so he may be wise yet make known to a righteous [person] so may he increase insight.
10 “Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, na kumjua Aliye Mtakatifu ni ufahamu.
[is the] beginning of Wisdom [the] fear of Yahweh and [the] knowledge of [the] holy [one] [is] understanding.
11 Kwa maana kwa msaada wangu siku zako zitakuwa nyingi, na miaka itaongezwa katika maisha yako.
For by me they will increase days your so they may add to you years of life.
12 Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo; kama wewe ni mtu wa mzaha, wewe mwenyewe ndiwe utateseka.”
If you are wise you are wise for yourself and you mock to alone you you will bear [it].
13 Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele; hana adabu na hana maarifa.
A woman of folly [is] boisterous naivete and not she knows whatever.
14 Huketi kwenye mlango wa nyumba yake, juu ya kiti katika mahali pa juu sana pa mji,
And she sits to [the] doorway of house her on a seat [the] heights of [the] town.
15 akiita wale wapitao karibu, waendao moja kwa moja kwenye njia yao.
To call out to [those who] pass by of [the] road those [who] make straight paths their.
16 Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa ndani!”
Who? [is] naive let him turn aside here and [one] lacking of heart and she says to him.
17 “Maji yaliyoibiwa ni matamu; chakula kinacholiwa sirini ni kitamu!”
Waters stolen they are sweet and bread of secret places it is delightful.
18 Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo, kwamba wageni wake huyo mwanamke wako katika vilindi vya kuzimu. (Sheol )
And not he knows that [the] shades [are] there [are] in [the] depths of Sheol invited [ones] her. (Sheol )