< Mithali 9 >

1 Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo zake saba.
Visdommen bygged sig Hus, rejste sig støtter syv,
2 Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake; pia ameandaa meza yake.
slagted sit Kvæg og blanded sin Vin, hun har også dækket sit Bord;
3 Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita kutoka mahali pa juu sana pa mji.
hun har sendt sine Terner ud, byder ind på Byens højeste Steder:
4 Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa!
Hvo som er tankeløs, han komme hid, jeg taler til dem, som er uden Vid:
5 Njooni, mle chakula changu na mnywe divai niliyoichanganya.
Kom og smag mit Brød og drik den Vin, jeg har blandet!
6 Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
Lad Tankeløshed fare, så skal I leve, skrid frem ad Forstandens Vej!
7 “Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha hukaribisha matukano; yeyote anayekemea mtu mwovu hupatwa na matusi.
Tugter man en Spotter, henter man sig Hån; revser man en gudløs, høster man Skam;
8 Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia; mkemee mwenye hekima naye atakupenda.
revs ikke en Spotter, at han ikke skal hade dig, revs den vise, så elsker han dig;
9 Mfundishe mtu mwenye hekima naye atakuwa na hekima zaidi; mfundishe mtu mwadilifu naye atazidi kufundishika.
giv til den vise, så bliver han visere, lær den retfærdige, så øges hans Viden.
10 “Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, na kumjua Aliye Mtakatifu ni ufahamu.
HERRENs Frygt er Visdoms Grundlag, at kende den HELLIGE, det er Forstand.
11 Kwa maana kwa msaada wangu siku zako zitakuwa nyingi, na miaka itaongezwa katika maisha yako.
Thi mange bliver ved mig dine Dage, dine Livsårs Tal skal øges.
12 Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo; kama wewe ni mtu wa mzaha, wewe mwenyewe ndiwe utateseka.”
Er du viis, er det til Gavn for dig selv; spotter du, bærer du ene Følgen!
13 Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele; hana adabu na hana maarifa.
Dårskaben, hun slår sig løs og lokker og kender ikke til Skam;
14 Huketi kwenye mlango wa nyumba yake, juu ya kiti katika mahali pa juu sana pa mji,
hun sidder ved sit Huses indgang, troner på Byens Høje
15 akiita wale wapitao karibu, waendao moja kwa moja kwenye njia yao.
og byder dem ind, der kommer forbi, vandrende ad deres slagne Vej:
16 Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa ndani!”
Hvo som er tankeløs, han komme hid, jeg taler til dem, som er uden Vid:
17 “Maji yaliyoibiwa ni matamu; chakula kinacholiwa sirini ni kitamu!”
Stjålen Drik er sød, lønligt Brød er lækkert!
18 Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo, kwamba wageni wake huyo mwanamke wako katika vilindi vya kuzimu. (Sheol h7585)
Han ved ej, at Skyggerne dvæler der, hendes Gæster er i Dødsrigets Dyb. (Sheol h7585)

< Mithali 9 >