< Mithali 9 >

1 Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo zake saba.
Cyihnaak ing a im sa nawh, ak tung khqih ling hy.
2 Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake; pia ameandaa meza yake.
Ak khqin ce him nawh misurtui ce tloeih nawh ak caboei ce phaih hy.
3 Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita kutoka mahali pa juu sana pa mji.
A bibikung nula khqi ce tyi khqi nawh, khawkkhui a sangnaak hynna cet unawh kyy uhy.
4 Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa!
“Cyihnaak amak ta khqi boeih vebenna law lah uh,” tinawh siimnaak amak ta khqi ce khyy khqi hy.
5 Njooni, mle chakula changu na mnywe divai niliyoichanganya.
“Law unawh taw, ka buh ai unawh kak tloeih cee misurtui ce aw lah uh.
6 Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
Aw nangmih thlakqawkhqi aw qaawnaak lam ce cehtaak unawh hqing lah uh; siimnak lamawh ce cet lah uh,” ti hy.
7 “Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha hukaribisha matukano; yeyote anayekemea mtu mwovu hupatwa na matusi.
Thlaktlai ak toel kung ing chah pyi lat nawh, thlakche ak ho kung ing kut zaawk lat hy.
8 Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia; mkemee mwenye hekima naye atakupenda.
Thlaktlai ce koeh toel, ni sawh na kaw, thlakcyi mah toel, anih ing ni lung na kaw.
9 Mfundishe mtu mwenye hekima naye atakuwa na hekima zaidi; mfundishe mtu mwadilifu naye atazidi kufundishika.
Thlakcyi ce toel lah, a cyihnaak pung khqoet kaw; thlakcyi ce cawngpyi lah, a simnaak ing pung khqoet kaw.
10 “Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, na kumjua Aliye Mtakatifu ni ufahamu.
Bawipa kqihchahnaak taw cyihnaak a kungpyina awm nawh, ak ciim siimnaak cetaw zaaksimnaakna awm hy.
11 Kwa maana kwa msaada wangu siku zako zitakuwa nyingi, na miaka itaongezwa katika maisha yako.
Kaih caming na khawkum pung khqoet kawm saw, na hqingnak khawnghii ing sau khqoet kaw.
12 Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo; kama wewe ni mtu wa mzaha, wewe mwenyewe ndiwe utateseka.”
Na cyih awhtaw, namah ham nak cyina awm kawm saw, thlaktlaina na awm awhtaw namah ing zaawk kawp ti.
13 Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele; hana adabu na hana maarifa.
Nukche ing akut am khoem poek nawh, a khawboe see nawh, am cyi hy.
14 Huketi kwenye mlango wa nyumba yake, juu ya kiti katika mahali pa juu sana pa mji,
A im chawmkengawh ngawi nawh, khawkkhui hynsang ngawihnaak awhce ngawi nawh,
15 akiita wale wapitao karibu, waendao moja kwa moja kwenye njia yao.
A mimah lamawh ak cet khqi ce khy khqi nawh,
16 Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa ndani!”
“Khaw amak simkhqi boeih vena law seh,” ti nawh khyy hy. Siimthainaak amak ta khqi venawh bai,
17 “Maji yaliyoibiwa ni matamu; chakula kinacholiwa sirini ni kitamu!”
“Quuk tui taw aawi dikdik nawh, quuk buh ai taw aawp hy,” ti hy
18 Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo, kwamba wageni wake huyo mwanamke wako katika vilindi vya kuzimu. (Sheol h7585)
Cehlai cawhce thihnaak awm nawh a cei ak thlangkhqi ing Ceeikhui dung soeihna amik awm ni ti am sim uhy. (Sheol h7585)

< Mithali 9 >