< Mithali 9 >

1 Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo zake saba.
Bagade Dawa: su Hou ida: iwane gala da fedege sia: agoane ea diasu gagui dagoi. E da bai amo golasu ifa bagade fesuale gala amo da: iya gagui dagoi.
2 Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake; pia ameandaa meza yake.
Amola e da lolo moma: ne, ohe medole legei dagoi. E da waini hano amola eno liligi gilisili, fafai da: iya ligisi.
3 Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita kutoka mahali pa juu sana pa mji.
E da ea hawa: hamosu a: fini ilia da gadodafa sogebi moilai amo ganodini amoga wema: ne asunasi,
4 Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa!
Ilia da amane wesa, “Misa! Dunu dilia noga: le dawa: su hame gala! Misa!” Amola e da gagaoui dunuma amane sia: sa,
5 Njooni, mle chakula changu na mnywe divai niliyoichanganya.
“Misa! Na ha: i manu hahamoi amola waini hano noga: i na da hahamoi amo na misa.
6 Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
Hame dawa: su dunu ilia gilisisu fisili, na Bagade Dawa: su Hou amoma fa: no bobogema. Amasea dilia da esalusu ba: mu,” Bagade Dawa: su Hou da fedege sia: agoane sia: sa.
7 “Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha hukaribisha matukano; yeyote anayekemea mtu mwovu hupatwa na matusi.
Di da gasa fi dunu amo ea hou hahamomusa: sia: sea, e da dima bu gadele sia: mu. Di da wadela: i hamosu dunuma gagabole sia: sea, di da bu se nabimu.
8 Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia; mkemee mwenye hekima naye atakupenda.
Amaiba: le, gasa fi dunu ea hou hahamomusa: mae sia: ma. Amane hamosea, e da di higamu. Be di da bagade dawa: su dunu ea hou hahamomusa: sia: sea, e da dima nodone, hahawane ba: mu.
9 Mfundishe mtu mwenye hekima naye atakuwa na hekima zaidi; mfundishe mtu mwadilifu naye atazidi kufundishika.
Dia da bagade dawa: su dunu ida: iwane gala amoma olelesea, ea dawa: su hou da bu asigilamu. Amola di da moloidafa ida: iwane dunu amoma olelesea ea asigi dawa: su amola da bu asigilamu.
10 “Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, na kumjua Aliye Mtakatifu ni ufahamu.
Di da bagade dawa: su esalusu lamusa: dawa: sea, hidadea Hina Godema beda: ne nodoma. Di da Hadigi Hina Gode Ea hou noga: le dawa: sea, amo da dima Bagade Dawa: su Hou diala.
11 Kwa maana kwa msaada wangu siku zako zitakuwa nyingi, na miaka itaongezwa katika maisha yako.
Bagade Dawa: su Hou da dia osobo bagadega esalusu amo sedagimu.
12 Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo; kama wewe ni mtu wa mzaha, wewe mwenyewe ndiwe utateseka.”
Di da Bagade Dawa: su Hou moloiwane lasea, dia hou da bagadewane asigilamu. Be di da Bagade Dawa: su Hou higasea, di fawane da se nabimu.
13 Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele; hana adabu na hana maarifa.
Gagaoui hou amo da uda afae da sia: gasa fi bagade sia: sa, agoai gala. Amola e da asigi dawa: su ida: iwane hame gala amola ea wadela: i hou dawa: beba: le, hame gogosiasa.
14 Huketi kwenye mlango wa nyumba yake, juu ya kiti katika mahali pa juu sana pa mji,
Amola ea moilai ganodini ea diasu logoga o sogebi dabua gadodafa amoga esalebe ba: sa.
15 akiita wale wapitao karibu, waendao moja kwa moja kwenye njia yao.
Amola e da dunu amola uda hawa: hamona ahoabe ba: sea e da amane wele sia: sa,
16 Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa ndani!”
“Gagaoui dunu! Dilia na diasuga misa!” E da gagaoui dunuma amane sia: sa,
17 “Maji yaliyoibiwa ni matamu; chakula kinacholiwa sirini ni kitamu!”
“Hano dia wamolasea, amo hano da hedai bagadewane naba. Amola dia ha: i manu wamolasea da amo ha: i manu da hedai baligiliwane naba.”
18 Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo, kwamba wageni wake huyo mwanamke wako katika vilindi vya kuzimu. (Sheol h7585)
Dunu ilia ea sia: nabasea, ilia hame dawa: ea diasu amo da bogoi uli dogoi agoaiwane. Amola dunu ilia amoga ahoa. Amola dunu ilia da musa: ea diasuga asi da wali bogosu soge amoga sa: i dagoi. (Sheol h7585)

< Mithali 9 >