< Mithali 8 >

1 Je, hekima haitani? Je, ufahamu hapazi sauti?
Nabima! Bagade Dawa: su Hou ida: iwane da dima wele sia: nana. Asigi dawa: su hou da sia: daha.
2 Juu ya miinuko karibu na njia, penye njia panda, ndipo asimamapo;
Bagade Dawa: su Hou da goumi da: iya amola logo bega: logo bulufalegeiga lela.
3 kando ya malango yaelekeayo mjini, kwenye maingilio, hulia kwa sauti kubwa, akisema:
Amola moilai bai bagade sogebi amola logo holei gadenene e da lela agoane wele sia: nana,
4 “Ni ninyi wanaume, ninaowaita; ninapaza sauti yangu kwa wanadamu wote.
“Na dilima sia: sa! Dunu fifi asi gala! Na da wele sia: nana! Osobo bagade fi huluane dilima.
5 Ninyi ambao ni wajinga, pateni akili; ninyi mlio wapumbavu, pateni ufahamu.
Nowa dunu asigi dawa: su hame galea, asigi dawa: su ida: iwane gala amo lama, amola asigi dawa: su noga: le dawa: ma. Di da gagaoui esalabala: ? Asigi dawa: su ida: iwane lama.
6 Sikilizeni, kwa maana nina mambo muhimu ya kusema; ninafungua midomo yangu kusema lililo sawa.
Nabima! Na sia: amo da ida: iwane gala. Na sia: su da moloidafa fawane.
7 Kinywa changu husema lililo kweli, kwa maana midomo yangu huchukia uovu.
Na adi sia: be amo da dafawanedafa. Na da ogogosu bagade higasa.
8 Maneno yote ya kinywa changu ni haki; hakuna mojawapo lililopotoka wala ukaidi.
Liligi na sia: be amo da dafawane. Afae da ogogole hame sia: sa amola giadofale hame ahoa.
9 Kwa wenye kupambanua yote ni sahihi; hayana kasoro kwa wale wenye maarifa.
Amola dunu ea dogo ganodini, hadigi amola asigi dawa: su gala, amo dunu da na sia: noga: le ba: sa.
10 Chagua mafundisho yangu badala ya fedha, maarifa badala ya dhahabu safi,
Silifa liligi amoma mae dawa: ma. Be na olelebe liligi amo dawa: ma. Amola noga: idafa gouli mae dawa: ma. Be na sia: ida: iwane, amoma dawa: ma.
11 kwa maana hekima ina thamani kuliko marijani na hakuna chochote unachohitaji kinacholingana naye.
Na da Bagade Dawa: su Hou. Na da ida: iwanedafa amola na da igi su bagadega lasu liligi baligi dagoi, amola dia hanasu liligi baligi dagoi.
12 “Mimi hekima, nakaa pamoja na busara; ninamiliki maarifa na busara.
Na da Bagade Dawa: su Hou. Na da asigi dawa: su hou amola moloidafa fofada: su hou dawa:
13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; ninachukia kiburi na majivuno, tabia mbaya na mazungumzo potovu.
Nowa da Hina Godema nodone dawa: be da wadela: i hou amola ledo huluane higasa. Na da amoma higasa amola nowa da hifawane hina: dio gaguia gadosea amola wadela: i hou amola ogogosu hamonanebe, amo huluane na higasa.
14 Ushauri na hukumu sahihi ni vyangu; nina ufahamu na nina nguvu.
Na da adi hamomusa: ilegesea na da didili hamomu. Na da asigi dawa: su gala amola na da gasa bagade gala.
15 Kwa msaada wangu wafalme hutawala na watawala hutunga sheria zilizo za haki,
Na da hina bagade dunu fidisa amola ouligisu dunu noga: le ouligima: ne fidisa.
16 kwa msaada wangu wakuu hutawala, na wenye vyeo wote watawalao dunia.
Osobo bagade ouligisu dunu huluanedafa da na fidibiba: le, ouligisu hou hamosa.
17 Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona.
Na da nowa dunu da nama asigisia, ilima asigisa. Amola nowa da na hogosea e da ba: mu.
18 Utajiri na heshima viko kwangu, utajiri udumuo na mafanikio.
Na da liligi bagade amola mimogo hou amola didili hamosu hou amo osobo bagadega esalebe dunu ilima imunusa: dawa:
19 Tunda langu ni bora kuliko dhahabu safi; kile nitoacho hupita fedha iliyo bora.
Adi liligi dia nama lasea amo da liligi ida: iwane. Amo da gouli liligi amola silifa liligi baligi dagoi.
20 Natembea katika njia ya unyofu katika mapito ya haki,
Amola eso huluane na da moloi hou amo ganodini ahoana. Na da moloidafa fofada: su hamonana.
21 nawapa utajiri wale wanipendao na kuzijaza hazina zao.
Na da nowa dunu da nama asigi galea, ilima liligi bagade iaha. Na da gobolo liligi noga: idafa amoga ilia diasu nabalesisa.
22 “Bwana aliniumba mwanzoni mwa kazi yake, kabla ya matendo yake ya zamani;
Musa: hemonega, Hina Gode da osobo bagade mae hamone, E da na hidadea hahamoi, amalalu liligi huluane da hahamoi.
23 niliteuliwa tangu milele, tangu mwanzoni, kabla ya dunia kuumbwa.
Hina Gode da na bisili musa: dafa hahamoi, amalalu osobo bagade hahamoi.
24 Wakati hazijakuwepo bahari, nilikwishazaliwa, wakati hazijakuwepo chemchemi zilizojaa maji;
Na da hidadea lalelegei amola hano wayabo amola hano bubuga: su da fa: no hahamoi.
25 kabla milima haijawekwa mahali pake, kabla vilima havijakuwepo, nilikwishazaliwa,
Amola Hina Gode da na hidadea hahamoi amalalu goumi amola agolo da fa: no hahamoi.
26 kabla hajaumba dunia wala mashamba yake au vumbi lolote la dunia.
Gode da osobo bagade amola osobo su hahamoi. Be na (Bagade Dawa: su Hou) da amo bisili esalu.
27 Nilikuwepo alipoziweka mbingu mahali pake, wakati alichora mstari wa upeo wa macho juu ya uso wa kilindi,
Gode da mu amo gadodili ligisia amola hano wayabo bagade amola mu mae gilisima: ne alalo hamonoba, na da amogai esalebe ba: i.
28 wakati aliweka mawingu juu na kuziweka imara chemchemi za bahari,
Amola e da mu mobi hahamoi mu da: iya gado amola e da hano wayabo bagade amola hahamonoba, na da esalebe ba: i.
29 wakati aliiwekea bahari mpaka wake ili maji yasivunje agizo lake, na wakati aliweka misingi ya dunia.
Amola E Hi sia: defele hano wayabo da heda: i amola hano wayabo da Hi sia: i defele osoboba: le hame heda: i, amola E da osobo bagade gagumusa: osobo bagade ea bai hidadea ilegeloba, na da esalebe ba: i.
30 Wakati huo nilikuwa fundi stadi kando yake. Nilijazwa na furaha siku baada ya siku, nikifurahi daima mbele zake,
Amo esoga na amola da Hina Gode guga esalu. Na da fedege agoane, diasu gagumusa: dedesu dunu agoai E guga esalu. Na da esalebeba: le, E da hahawane galu amola na da Ema nodonanu.
31 nikifurahi katika dunia yake yote nami nikiwafurahia wanadamu.
Amola na da osobo bagade amoma hahawane ba: i amola fifi asi gala huluane ilima hahawane bagade galu.
32 “Basi sasa wanangu, nisikilizeni; heri wale wanaozishika njia zangu.
Wali goi ayeligi dilia! Noga: le nabima! Amola na sia: be defele hamoma amasea di da hahawane ganumu.
33 Sikilizeni mafundisho yangu mwe na hekima; msiyapuuze.
Nabima! Dilia na olelei defele hamoma. Amola dilia na olelei liligi amoma mae higama, amasea di da hahawane esalumu.
34 Heri mtu yule anisikilizaye mimi, akisubiri siku zote malangoni mwangu, akingoja kwenye vizingiti vya mlango wangu.
Nowa dunu da na bagade dawa: su sia: nabasea, e da hahawanedafa ba: mu. Nowa da eso huluane na logo holeiga bagade dawa: su lama: ne lelea, da hahawane ba: mu.
35 Kwa maana yeyote anipataye mimi amepata uzima na kujipatia kibali kutoka kwa Bwana.
Nowa dunu da na hogole ba: sea, da esalusu ba: mu amola Hina Gode da amo dunu hahawane dogolegele ba: mu.
36 Lakini yeyote ashindwaye kunipata hujiumiza mwenyewe; na wote wanichukiao mimi hupenda mauti.”
Be nowa dunu da nama hame masea, e da hisu wadela: sa. Nowa dunu da nama higasea, e da bogosu ba: mu!” Bagade Dawa: su Hou da fedege sia: agoane sia: sa.

< Mithali 8 >