< Mithali 7 >

1 Mwanangu, shika maneno yangu na kuzihifadhi amri zangu ndani yako.
پسرم، نصایح مرا بشنو و همیشه آنها را به یاد داشته باش.
2 Shika amri zangu nawe utaishi; linda mafundisho yangu kama mboni ya jicho lako.
اوامر مرا به جا آور تا زنده بمانی. تعلیم مرا مانند مردمک چشم خود حفظ کن.
3 Yafunge katika vidole vyako; yaandike katika kibao cha moyo wako.
آن را آویزهٔ گوش خود بساز و در اعماق دل خود نگه دار.
4 Mwambie hekima, “Wewe ni dada yangu,” uite ufahamu jamaa yako;
حکمت را خواهر خود بدان و بصیرت را دوست خود.
5 watakuepusha na mwanamke mzinzi, kutokana na mwanamke mpotovu na maneno yake ya kubembeleza.
بگذار حکمت، تو را از رفتن به دنبال زنان هرزه و گوش دادن به سخنان فریبندهٔ آنان باز دارد.
6 Kwenye dirisha la nyumba yangu nilitazama nje kupitia upenyo kwenye mwimo wa dirisha.
یک روز از پنجرهٔ خانه‌ام بیرون را تماشا می‌کردم.
7 Niliona miongoni mwa wajinga, nikagundua miongoni mwa wanaume vijana, kijana asiye na akili.
یکی از جوانان نادان و جاهل را دیدم که در تاریکی شب از کوچه‌ای که در آن زنی بدکار منزل داشت، می‌گذشت.
8 Alikuwa akishuka njiani karibu na pembe ya kwake, akielekea kwenye nyumba ya huyo mwanamke
9 wakati wa machweo, jua likipungua nuru yake, giza la usiku lilipokuwa likiingia.
10 Ndipo huyo mwanamke akatoka kumlaki, hali amevaa kama kahaba akiwa na nia ya udanganyifu.
آن زن در حالی که لباس وسوسه‌انگیزی بر تن داشت و نقشه‌های پلیدی در سر می‌پروراند، به سویش آمد.
11 (Ni mwanamke mwenye makelele na mkaidi, miguu yake haitulii nyumbani;
او زن گستاخ و بی‌شرمی بود و اغلب در کوچه و بازار پرسه می‌زد تا در هر گوشه و کناری مردان را بفریبد.
12 mara kwenye barabara za mji, mara kwenye viwanja vikubwa, kwenye kila pembe huvizia.)
13 Huyo mwanamke alimkumbatia kijana na kumbusu, na kwa uso usio na haya akamwambia:
آن زن بازوان خود را به دور گردن جوان حلقه کرده، او را بوسید و با نگاهی هوس‌انگیز به او گفت:
14 “Nina sadaka za amani nyumbani; leo nimetimiza nadhiri zangu.
«امروز نذر خود را ادا کردم و گوشت قربانی در خانه آماده است.
15 Kwa hiyo nimetoka nje kukulaki; nimekutafuta na nimekupata!
پس برای یافتن تو از خانه بیرون آمدم. در جستجوی تو بودم که تو را دیدم.
16 Nimetandika kitanda changu kwa kitani za rangi kutoka Misri.
بر رختخوابم ملافه‌های رنگارنگ از پارچهٔ حریر مصر پهن کرده‌ام و آن را با عطرهای خوشبو معطر ساخته‌ام.
17 Nimetia manukato kitanda changu kwa manemane, udi na mdalasini.
18 Njoo, tuzame katika mapenzi mpaka asubuhi; tujifurahishe wenyewe kwa mapenzi!
بیا از یکدیگر لذت ببریم و تا صبح از عشق سیر شویم.
19 Mume wangu hayupo nyumbani; amekwenda safari ya mbali.
شوهرم در خانه نیست و به سفر دوری رفته است.
20 Amechukua mkoba uliojazwa fedha na hatakuwepo nyumbani karibuni.”
به اندازهٔ کافی با خود پول برده و تا آخر ماه برنمی‌گردد.»
21 Kwa maneno laini yule mwanamke akampotosha; alimshawishi kwa maneno yake laini.
به این ترتیب با سخنان فریبنده و وسوسه‌انگیزش آن جوان را اغوا کرد؛
22 Mara huyo kijana alimfuata yule mwanamke kama fahali aendaye machinjoni, kama kulungu aingiaye kwenye kitanzi,
و او مثل گاوی که به کشتارگاه می‌رود و گوزن به دام افتاده‌ای که در انتظار تیری باشد که قلبش را بشکافد، به دنبال آن فاحشه رفت. او مثل پرنده‌ای است که به داخل دام می‌پرد و نمی‌داند در آنجا چه سرنوشتی در انتظارش است.
23 mpaka mshale umchome ini lake, kama ndege anayenaswa kwenye mtego, bila kujua itamgharimu maisha yake.
24 Sasa basi wanangu, nisikilizeni; sikilizeni kwa makini nisemalo.
پس ای پسرانم، به من گوش دهید و به سخنانم توجه کنید.
25 Usiruhusu moyo wako ugeukie njia za huyo mwanamke, wala usitangetange katika mapito yake.
نگذارید چنین زنی دل شما را برباید. از او دور شوید، مبادا شما را به گمراهی بکشد.
26 Aliowaangusha ni wengi; aliowachinja ni kundi kubwa.
او بسیاری را خانه خراب کرده است و مردان زیادی قربانی هوسرانی‌های او شده‌اند
27 Nyumba yake ni njia kuu iendayo kaburini, ielekeayo chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol h7585)
خانهٔ او راهی است به سوی مرگ و هلاکت. (Sheol h7585)

< Mithali 7 >