< Mithali 6 >
1 Mwanangu, kama umekuwa mdhamini wa jirani yako, ikiwa umeshika mikono kwa kuweka ahadi kwa ajili ya mwingine,
Mans bērns, ja tu priekš sava tuvākā galvojis un roku devis priekš cita,
2 kama umetegwa na ulichosema, umenaswa kwa maneno ya kinywa chako,
Tad tu esi sasaistīts ar savas mutes valodu un savaldzināts ar savas mutes vārdiem.
3 basi fanya hivi mwanangu, ili ujiweke huru, kwa kuwa umeanguka mikononi mwa jirani yako: Nenda ukajinyenyekeshe kwake; msihi jirani yako!
Tad dari jel tā mans bērns, un izglābies, ja tu savam tuvākam rokā esi nācis; ej, meties zemē priekš viņa un spied savu tuvāko;
4 Usiruhusu usingizi machoni pako, usiruhusu kope zako zisinzie.
Nedod savām acīm miega, nedod savām acīm dusas;
5 Jiweke huru, kama swala mkononi mwa mwindaji, kama ndege kutoka kwenye mtego wa mwindaji.
Izglābies kā stirna no viņa rokas un kā putns no mednieka rokas!
6 Ewe mvivu, mwendee mchwa; zitafakari njia zake ukapate hekima!
Ej pie skudras, sliņķi, skaties viņas ceļus un topi gudrs!
7 Kwa maana yeye hana msimamizi, wala mwangalizi, au mtawala,
Lai tai nav valdnieka, ne virsnieka, ne kunga,
8 lakini hujiwekea akiba wakati wa kiangazi na hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.
Tā tomēr savu maizi sagādā vasarā, savu barību sakrāj pļaujamā laikā.
9 Ewe mvivu, utalala hata lini? Utaamka lini kutoka usingizi wako?
Cik ilgi tu gulēsi, sliņķi? Kad tu celsies no sava miega?
10 Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo, bado kukunja mikono kidogo upate kupumzika:
Guli maķenīt, snaudi maķenīt, saliec maķenīt rokas miegā;
11 hivyo umaskini utakuja juu yako kama mnyangʼanyi, na kupungukiwa kutakujia kama mtu mwenye silaha.
Tad tava nabadzība tev pienāks nākdama, un tavs trūkums, kā apbruņots vīrs.
12 Mtu mbaya sana na mlaghai, ambaye huzungukazunguka na maneno ya upotovu,
Nelieša cilvēks ir tāds negants vīrs, kas staigā ar netiklu muti,
13 ambaye anakonyeza kwa jicho lake, anayetoa ishara kwa miguu yake na kuashiria kwa vidole vyake,
Met ar acīm, piegrūž ar kājām, zīmē ar pirkstiem.
14 ambaye hupanga ubaya kwa udanganyifu moyoni mwake: daima huchochea fitina.
Netiklība ir viņa sirdī, viņš domā vienmēr uz ļaunu, saceļ ķildas.
15 Kwa hiyo maafa yatamkumba ghafula; ataangamizwa mara, pasipo msaada.
Tādēļ viņam nelaime nāks piepeši, viņš ātri taps satriekts un dziedināšanas nebūs.
16 Kuna vitu sita anavyovichukia Bwana, naam, viko saba vilivyo chukizo kwake:
Šās sešas lietas Tas Kungs ienīst, un tā septītā viņam ir negantība:
17 macho ya kiburi, ulimi udanganyao, mikono imwagayo damu isiyo na hatia,
Lepnas acis, melu mēle un rokas, kas nenoziedzīgas asinis izlej,
18 moyo uwazao mipango miovu, miguu iliyo myepesi kukimbilia uovu,
Sirds, kas negantus nodomus perē; kājas, kas mudīgas uz ļaunu skriet;
19 shahidi wa uongo ambaye humwaga uongo, na mtu ambaye huchochea fitina kati ya ndugu.
Viltīgs liecinieks, kas droši melus runā, un kas ķildu ceļ starp brāļiem. -
20 Mwanangu, zishike amri za baba yako, wala usiyaache mafundisho ya mama yako.
Mans bērns, glabā sava tēva pamācīšanu un nepamet savas mātes mācību.
21 Yafunge katika moyo wako daima, yakaze kuizunguka shingo yako.
Sasien to allažiņ uz savas sirds un sien to ap savu kaklu.
22 Wakati utembeapo, yatakuongoza; wakati ulalapo, yatakulinda; wakati uamkapo, yatazungumza nawe.
Kad tu staigā, tad tā tevi pavadīs; kad tu apgulies, tad tā tevi apsargās, un kad tu uzmodies, tad tā ar tevi runās;
23 Kwa maana amri hizi ni taa, mafundisho haya ni mwanga na maonyo ya maadili ni njia ya uzima,
Jo pamācīšana ir spīdeklis, un mācība gaišums, un kad pārmāca un rāj, tas ir dzīvības ceļš;
24 yakikulinda na mwanamke aliyepotoka, kutokana na maneno laini ya mwanamke aliyepotoka.
Ka tās tev izsargā no negodīgas sievas, no svešas sievietes mīkstās mēles.
25 Moyo wako usitamani uzuri wake wala macho yake yasikuteke,
Nekāro savā sirdī pēc viņas skaistuma, un lai viņa tevi nesagūsta ar savām acīm;
26 kwa maana kahaba atakufanya uwe maskini, hata ukose kipande cha mkate, naye mwanamke mzinzi huwinda maisha yako hasa.
Jo caur mauku tiek līdz maizes drupekļiem, un vīra sieva tev notvers pat dārgo dzīvību.
27 Je, mtu aweza kuchotea moto kwenye paja lake bila nguo zake kuungua?
Vai arī uguni var klēpī ņemt, un drēbes nesadegtu?
28 Je, mtu aweza kutembea juu ya makaa ya moto yanayowaka bila miguu yake kuungua?
Vai uz kvēlošām oglēm var iet un nesadedzinātu kājas?
29 Ndivyo alivyo mtu alalaye na mke wa mwanaume mwingine; hakuna yeyote amgusaye huyo mwanamke ambaye hataadhibiwa.
Tāpat, kas ieiet pie otra sievas; nesodīts nepaliks, kas to aizskar.
30 Watu hawamdharau mwizi kama akiiba kukidhi njaa yake wakati ana njaa.
Zaglim nepiedod vis, ka zog izsalcis, vēderu pildīt.
31 Pamoja na hayo, kama akikamatwa, lazima alipe mara saba, ingawa inamgharimu utajiri wote wa nyumba yake.
Bet pieķerts tas septiņkārt atlīdzinās, visu sava nama padomu tas atdos.
32 Lakini mwanaume aziniye na mwanamke hana akili kabisa; yeyote afanyaye hivyo hujiangamiza mwenyewe.
Kas ar sievu laulību pārkāpj, tam prāta nav; to tik dara, kas sev dzīvību grib nogalināt.
33 Mapigo na aibu ni fungu lake na aibu yake haitafutika kamwe;
Tam būs kāviens un kauns un negods bez gala;
34 kwa maana wivu huamsha ghadhabu ya mume, naye hataonyesha huruma alipizapo kisasi.
Jo viņas vīra dusmas iekarsušās netaupīs atriebšanas laikā.
35 Hatakubali fidia yoyote; atakataa malipo, hata yakiwa makubwa kiasi gani.
Tas nebēdās ne par kādu līdzību(izpirkumu), un nebūs miera, cik dāvanu arī nedotu.