< Mithali 6 >

1 Mwanangu, kama umekuwa mdhamini wa jirani yako, ikiwa umeshika mikono kwa kuweka ahadi kwa ajili ya mwingine,
Mijn zoon, als ge voor een ander borg zijt gebleven, Uw handslag hebt gegeven ten bate van een vreemde,
2 kama umetegwa na ulichosema, umenaswa kwa maneno ya kinywa chako,
Verstrikt zijt geraakt in uw eigen woorden, In uw eigen beloften gevangen:
3 basi fanya hivi mwanangu, ili ujiweke huru, kwa kuwa umeanguka mikononi mwa jirani yako: Nenda ukajinyenyekeshe kwake; msihi jirani yako!
Doe dan, mijn zoon, wat ik zeg, en red u eruit; Want ge zijt in de macht van uw naaste! Ga heen zonder talmen, Dring aan bij uw naaste;
4 Usiruhusu usingizi machoni pako, usiruhusu kope zako zisinzie.
Gun uw ogen geen rust, Uw wimpers geen slaap;
5 Jiweke huru, kama swala mkononi mwa mwindaji, kama ndege kutoka kwenye mtego wa mwindaji.
Ruk u los als een gazelle uit de strik, Als een vogel uit de hand van den vogelaar.
6 Ewe mvivu, mwendee mchwa; zitafakari njia zake ukapate hekima!
Luiaard, ga kijken naar de mier; Zie, hoe ze zwoegt, en word wijs!
7 Kwa maana yeye hana msimamizi, wala mwangalizi, au mtawala,
Al heeft ze geen leider, Geen opzichter, geen heerser,
8 lakini hujiwekea akiba wakati wa kiangazi na hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.
Toch zorgt ze in de zomer voor haar spijs, Zoekt ze in de oogsttijd haar voedsel bijeen.
9 Ewe mvivu, utalala hata lini? Utaamka lini kutoka usingizi wako?
Luiaard, hoe lang blijft ge liggen, Wanneer zult ge ontwaken uit uw slaap?
10 Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo, bado kukunja mikono kidogo upate kupumzika:
Nog even slapen, nog even soezen, Nog even in bed de handen over elkaar:
11 hivyo umaskini utakuja juu yako kama mnyangʼanyi, na kupungukiwa kutakujia kama mtu mwenye silaha.
En de armoe overvalt u als een zwerver, Het gebrek als een rover!
12 Mtu mbaya sana na mlaghai, ambaye huzungukazunguka na maneno ya upotovu,
Een nietsnut is het, een booswicht, Die omgaat met bedrieglijke taal;
13 ambaye anakonyeza kwa jicho lake, anayetoa ishara kwa miguu yake na kuashiria kwa vidole vyake,
Die met de ogen knipt, met de voeten wenkt, En tekens geeft met de vingers;
14 ambaye hupanga ubaya kwa udanganyifu moyoni mwake: daima huchochea fitina.
Die boze plannen smeedt in zijn hart, Steeds kwaad beraamt en ruzie zoekt!
15 Kwa hiyo maafa yatamkumba ghafula; ataangamizwa mara, pasipo msaada.
Daarom zal hem de tegenspoed plotseling treffen, Zal hij met één slag bezwijken, zonder kans op herstel.
16 Kuna vitu sita anavyovichukia Bwana, naam, viko saba vilivyo chukizo kwake:
Zes dingen zijn er die Jahweh haat, Van zeven heeft hij een afschuw:
17 macho ya kiburi, ulimi udanganyao, mikono imwagayo damu isiyo na hatia,
Van brutale ogen; van een valse tong; Van handen, die onschuldig bloed vergieten;
18 moyo uwazao mipango miovu, miguu iliyo myepesi kukimbilia uovu,
Van een hart, dat boze plannen beraamt; Van voeten, die ten kwade spoeden;
19 shahidi wa uongo ambaye humwaga uongo, na mtu ambaye huchochea fitina kati ya ndugu.
Van een valsen getuige, die leugens verspreidt; Van iemand, die broedertwist stookt.
20 Mwanangu, zishike amri za baba yako, wala usiyaache mafundisho ya mama yako.
Mijn zoon, onderhoud het gebod van uw vader, Sla niet in de wind wat uw moeder u leerde;
21 Yafunge katika moyo wako daima, yakaze kuizunguka shingo yako.
Prent het voor altijd in uw hart, Wind het als een snoer om uw hals.
22 Wakati utembeapo, yatakuongoza; wakati ulalapo, yatakulinda; wakati uamkapo, yatazungumza nawe.
Als ge wandelt, moge het u geleiden, Over u waken, als ge slaapt, Tot u spreken, wanneer ge ontwaakt.
23 Kwa maana amri hizi ni taa, mafundisho haya ni mwanga na maonyo ya maadili ni njia ya uzima,
Want het gebod is een lamp, Het onderricht een licht, De straffe tucht een weg ten leven.
24 yakikulinda na mwanamke aliyepotoka, kutokana na maneno laini ya mwanamke aliyepotoka.
Het zal u behoeden voor de vrouw van een ander, Voor de gladde tong van een vreemde.
25 Moyo wako usitamani uzuri wake wala macho yake yasikuteke,
Zet uw hart niet op haar schoonheid, Laat ze u niet met haar wimpers verleiden;
26 kwa maana kahaba atakufanya uwe maskini, hata ukose kipande cha mkate, naye mwanamke mzinzi huwinda maisha yako hasa.
Want de prijs van een deerne is een stuk brood, Maar de getrouwde vrouw maakt jacht op een kostelijk leven
27 Je, mtu aweza kuchotea moto kwenye paja lake bila nguo zake kuungua?
Kan iemand soms vuur in zijn voorschoot nemen, Zonder dat hij zijn kleren schroeit;
28 Je, mtu aweza kutembea juu ya makaa ya moto yanayowaka bila miguu yake kuungua?
Of kan hij op gloeiende kolen lopen, Zonder dat hij zijn voeten brandt?
29 Ndivyo alivyo mtu alalaye na mke wa mwanaume mwingine; hakuna yeyote amgusaye huyo mwanamke ambaye hataadhibiwa.
Zo vergaat het hem, die zich afgeeft met de vrouw van een ander: Niemand die haar aanraakt, komt er straffeloos van af.
30 Watu hawamdharau mwizi kama akiiba kukidhi njaa yake wakati ana njaa.
Men veracht geen dief, zo hij enkel steelt, Om zijn maag te vullen, als hij honger heeft;
31 Pamoja na hayo, kama akikamatwa, lazima alipe mara saba, ingawa inamgharimu utajiri wote wa nyumba yake.
Toch moet hij, eenmaal betrapt, zevenvoudig vergoeden, Alles geven wat hij in huis heeft.
32 Lakini mwanaume aziniye na mwanamke hana akili kabisa; yeyote afanyaye hivyo hujiangamiza mwenyewe.
Kortzichtig de man, die overspel pleegt met een vrouw: Wie zijn eigen ondergang wil, moet zo iets niet doen;
33 Mapigo na aibu ni fungu lake na aibu yake haitafutika kamwe;
Schade en schande zal zo iemand belopen, Zijn slechte naam raakt hij nimmer meer kwijt.
34 kwa maana wivu huamsha ghadhabu ya mume, naye hataonyesha huruma alipizapo kisasi.
Want de jaloezie van den man wekt de woede bij hem op, En op de dag van de wraak zal hij niemand ontzien;
35 Hatakubali fidia yoyote; atakataa malipo, hata yakiwa makubwa kiasi gani.
Dan slaat hij op losgeld geen acht, Hij wil het niet, al biedt ge hem nog zo veel!

< Mithali 6 >