< Mithali 5 >
1 Mwanangu, sikiliza kwa makini hekima yangu, sikiliza vizuri maneno yangu ya busara,
Ka ca aw, ka cueihnah he hnatung lamtah ka lungcuei dongla na hna kaeng lah.
2 ili uweze kutunza busara na midomo yako ihifadhi maarifa.
Thuepnah neh mingnah te ngaithuen hamla na hmuilai long khaw tuem uh saeh.
3 Kwa maana midomo ya mwanamke kahaba hudondoza asali, na maneno ya kinywa chake ni laini kuliko mafuta;
Rhalawt nu kah a hmuilai ah khoilitui cip tih a lai khaw situi lakah hnal.
4 lakini mwisho wake ni mchungu kama nyongo, mkali kama upanga ukatao kuwili.
Tedae hmailong ah tah anih te pantong bangla khahing tih cunghang paihat bangla haat.
5 Miguu yake hushuka kuelekea kwenye kifo; hatua zake huelekea moja kwa moja kaburini. (Sheol )
A kho te dueknah khuila suntla tih a khokan loh saelkhui la a doek. (Sheol )
6 Yeye hafikiri juu ya njia ya uzima; njia zake zimepotoka, lakini yeye hajui.
Hingnah caehlong lakah a ming pawh a namtlak likloek te saelh ve ne.
7 Sasa basi wanangu, nisikilizeni; msiache ninalowaambia.
Te dongah ka ca rhoek kai ol he hnatun uh laeh, ka ka dongkah olthui te nong tak boeh.
8 Njia zenu ziwe mbali naye, msiende karibu na mlango wa nyumba yake,
Na longpuei te anih neh lakhla sak lamtah a im thohka lam khaw mop boeh.
9 usije ukatoa nguvu zako nzuri kwa wengine na miaka yako kwa aliye mkatili,
Na mueithennah te a tloe taengla ham pae vetih na kum muenying muenyang la hang khueh ve.
10 wageni wasije wakasherehekea utajiri wako na jitihada yako ikatajirisha nyumba ya mwanaume mwingine.
Na thadueng te rhalawt rhoek cung uh vetih na patangnah phu te kholong imkhui la pawk ve.
11 Mwishoni mwa maisha yako utalia kwa uchungu, wakati nyama na mwili wako vimechakaa.
Na hmailong ah na nguek vetih na pum na saa khaw hmawn hae ni.
12 Utasema, “Tazama jinsi gani nilivyochukia adhabu! Tazama jinsi moyo wangu ulivyodharau maonyo!
Te vaengah, “Thuituennah te ka hmuhuet tih toelthamnah khaw ka lungbuei loh a tlaitlaek pai.
13 Sikuwatii walimu wangu wala kuwasikiliza wakufunzi wangu.
Ka saya ol te ka hnatun pawh kai aka cang puei taengah khaw ka hna ka kaeng pawh.
14 Nimefika ukingoni mwa maangamizi kabisa katikati ya kusanyiko lote.”
Hlangping neh rhaengpuei lakli kah boethae sumsiit te vat ka pha,” na ti hae ni
15 Kunywa maji kutoka kwenye kisima chako mwenyewe, maji yanayotiririka kutoka kwenye kisima chako mwenyewe.
Na tuitung dongkah tui neh na tuito lamtah aka sih te o.
16 Je, chemchemi zako zifurike katika barabara za mji na vijito vyako vya maji viwanjani?
Na tuisih te kawtpoeng ah, sokca tui te toltung ah phuet saeh.
17 Na viwe vyako mwenyewe, kamwe visishirikishwe wageni.
Nang namah bueng hamla om saeh lamtah na taengkah kholong ham boel saeh.
18 Chemchemi yako na ibarikiwe na umfurahie mke wa ujana wako.
Na thunsih te yoethen la om saeh lamtah na camoe kah na yuu dongah kohoe sak.
19 Kulungu jike apendaye, kulungu mzuri: matiti yake na yakutosheleze siku zote, nawe utekwe daima na upendo wake.
Anih tah sayuk rhuinu lunguem bangla, a sukbam te sakhi rhuinu mikdaithen bangla a tuetang boeih ah nang te m'hmilhmal sak saeh lamtah a lungnah loh m'palang sak yoeyah saeh.
20 Kwa nini mwanangu, utekwe na mwanamke kahaba? Kwa nini ukumbatie kifua cha mke wa mwanaume mwingine?
Ba ham lae ka ca loh rhalawt la na palang vetih kholong kah a rhang te na kop eh.
21 Kwa maana njia za mtu ni wazi kabisa mbele za Bwana, naye huyapima mapito yake yote.
Hlang kah longpuei neh a namtlak boeih a saelh te khaw BOEIPA mikhmuh ah om.
22 Matendo mabaya ya mtu mwovu humnasa yeye mwenyewe; kamba za dhambi yake humkamata kwa nguvu.
Halang te amah kathaesainah loh amah te a tuuk tih a tholhnah rhui loh a ban.
23 Atakufa kwa kukosa nidhamu, akipotoshwa kwa upumbavu wake mwenyewe.
Anih thuituennah a om pawt dongah duek vetih a anglat aih dongah palang ni.