< Mithali 29 >

1 Mtu anayeendelea kuwa na shingo ngumu baada ya maonyo mengi, ataangamia ghafula, wala hapati dawa.
Aquele que é freqüentemente repreendido e endurece seu pescoço será destruída repentinamente, sem nenhum remédio.
2 Wenye haki wanapostawi, watu hufurahi; waovu watawalapo, watu hulia kwa huzuni.
Quando os justos prosperam, o povo se regozija; mas quando a maldade governa, o povo geme.
3 Mtu apendaye hekima huleta furaha kwa baba yake, bali aambatanaye na makahaba hutapanya mali yake.
Whoever ama a sabedoria traz alegria a seu pai; mas um companheiro de prostitutas esbanja sua riqueza.
4 Kwa haki mfalme huipa nchi uthabiti, bali mfalme aliye na tamaa ya rushwa huiangamiza.
O rei pela justiça torna a terra estável, mas aquele que aceita subornos o derruba.
5 Yeyote amsifuye jirani yake isivyostahili, anautandaza wavu kuitega miguu yake.
Um homem que lisonjeia seu vizinho espalha uma rede para seus pés.
6 Mtu mbaya hutegwa na dhambi yake mwenyewe bali mwenye haki huweza kuimba na kufurahi.
Um homem mau é enganado por seu pecado, mas os justos podem cantar e se alegrar.
7 Mwenye haki hujali haki kwa ajili ya maskini, bali mwovu hajishughulishi na hilo.
O justo se preocupa com a justiça para os pobres. Os ímpios não estão preocupados com o conhecimento.
8 Wenye mzaha huuchochea mji, bali watu wenye hekima hugeuzia mbali hasira.
Mockers agitar uma cidade, mas os sábios afastam a raiva.
9 Kama mwenye hekima akienda mahakamani na mpumbavu, mpumbavu hukasirika na kudhihaki, wala hakuna amani.
Se um homem sábio vai à corte com um homem tolo, a raiva ou zombaria tola, e não há paz.
10 Watu wamwagao damu humchukia mtu mwadilifu na hutafuta kumuua mtu mnyofu.
Os sedentos de sangue odeiam um homem íntegro; e buscam a vida dos justos.
11 Mpumbavu huonyesha hasira yake yote, bali mwenye hekima hujizuia.
Um tolo exala toda a sua raiva, mas um homem sábio se coloca sob controle.
12 Kama mtawala akisikiliza uongo, maafisa wake wote huwa waovu.
If um governante ouve mentiras, todos os seus funcionários são perversos.
13 Mtu maskini na mtu anayeonea wanafanana kwa jambo hili: Bwana hutia nuru macho yao wote wawili.
O pobre homem e o opressor têm isso em comum: Yahweh dá vista para os olhos de ambos.
14 Kama mfalme akiwaamua maskini kwa haki, kiti chake cha enzi kitakuwa thabiti siku zote.
O rei que julga justamente os pobres, seu trono será estabelecido para sempre.
15 Fimbo ya maonyo hutia hekima, bali mtoto aliyeachiwa bila maonyo humwaibisha mama yake.
A barra de correção dá sabedoria, mas uma criança deixada a si mesma causa vergonha a sua mãe.
16 Wakati waovu wanapostawi, pia dhambi vivyo hivyo, lakini wenye haki wataliona anguko lao.
Quando os ímpios aumentam, o pecado aumenta; mas os justos verão sua ruína.
17 Mrudi mwanao, naye atakupa amani, atakufurahisha nafsi yako.
Corrija seu filho, e ele lhe dará paz; sim, ele trará deleite à sua alma.
18 Mahali pasipo na ufunuo, watu kujizuia, bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.
Where não há nenhuma revelação, o povo se abstém; mas aquele que cumpre a lei é abençoado.
19 Mtumishi hawezi kuonywa kwa maneno matupu, ajapoelewa, hataitikia.
Um servo não pode ser corrigido por palavras. Embora ele compreenda, ainda assim não responderá.
20 Je, unamwona mtu azungumzaye kwa haraka? Kuna matumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko yeye.
Do você vê um homem que é precipitado em suas palavras? Há mais esperança para um tolo do que para ele.
21 Kama mtu akimdekeza mtumishi wake tangu ujanani, atamletea sikitiko mwishoni.
He que mima seu servo desde a juventude o fará se tornar um filho no final.
22 Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi, naye mtu mwenye hasira ya haraka hutenda dhambi nyingi.
Um homem zangado agita a luta, e um homem irado abunda em pecado.
23 Kiburi cha mtu humshusha, bali mtu mwenye roho ya unyenyekevu hupata heshima.
O orgulho de um homem o traz baixo, mas um de espírito humilde ganha honra.
24 Anayekubaliana na mwizi ni adui wa nafsi yake mwenyewe; huapishwa lakini hathubutu kushuhudia.
Whoever é um cúmplice de um ladrão é um inimigo de sua própria alma. Ele faz um juramento, mas não se atreve a testemunhar.
25 Kuwaogopa watu huwa ni mtego, bali yeyote amtumainiaye Bwana atakuwa salama.
O medo do homem prova ser uma armadilha, mas quem deposita sua confiança em Yahweh é mantido em segurança.
26 Wengi hutafuta kusikilizwa na mtawala, bali mtu hupata haki kutoka kwa Bwana.
Muitos buscam o favor do governante, mas a justiça de um homem vem de Yahweh.
27 Mwenye haki huwachukia sana wasio waaminifu; waovu huwachukia sana wenye haki.
Um homem desonesto detesta os justos, e os retos em seus caminhos detestam os ímpios.

< Mithali 29 >