< Mithali 29 >

1 Mtu anayeendelea kuwa na shingo ngumu baada ya maonyo mengi, ataangamia ghafula, wala hapati dawa.
O homem que age com teimosia, mesmo depois de muitas repreensões, será tão destruído que não terá mais cura.
2 Wenye haki wanapostawi, watu hufurahi; waovu watawalapo, watu hulia kwa huzuni.
Quando os justos se engrandecem, o povo se alegra; mas quando o perverso domina, o povo geme.
3 Mtu apendaye hekima huleta furaha kwa baba yake, bali aambatanaye na makahaba hutapanya mali yake.
O homem que ama a sabedoria alegra a seu pai; mas o companheiro de prostitutas gasta os bens.
4 Kwa haki mfalme huipa nchi uthabiti, bali mfalme aliye na tamaa ya rushwa huiangamiza.
O rei por meio da justiça firma a terra; mas o amigo de subornos a transtorna.
5 Yeyote amsifuye jirani yake isivyostahili, anautandaza wavu kuitega miguu yake.
O homem que lisonjeia a seu próximo arma uma rede para seus pés.
6 Mtu mbaya hutegwa na dhambi yake mwenyewe bali mwenye haki huweza kuimba na kufurahi.
Na transgressão do homem mau há uma armadilha; mas o justo se alegra e se enche de alegria.
7 Mwenye haki hujali haki kwa ajili ya maskini, bali mwovu hajishughulishi na hilo.
O justo considera a causa judicial dos pobres; [mas] o perverso não entende [este] conhecimento.
8 Wenye mzaha huuchochea mji, bali watu wenye hekima hugeuzia mbali hasira.
Homens zombadores trazem confusão a cidade; mas os sábios desviam a ira.
9 Kama mwenye hekima akienda mahakamani na mpumbavu, mpumbavu hukasirika na kudhihaki, wala hakuna amani.
O homem sábio que disputa no julgamento contra um tolo, mesmo se perturbado ou rindo, não terá descanso.
10 Watu wamwagao damu humchukia mtu mwadilifu na hutafuta kumuua mtu mnyofu.
Homens sanguinários odeiam o honesto; mas os corretos procuram o seu bem.
11 Mpumbavu huonyesha hasira yake yote, bali mwenye hekima hujizuia.
O louco mostra todo o seu ímpeto; mas o sábio o mantém sob controle.
12 Kama mtawala akisikiliza uongo, maafisa wake wote huwa waovu.
O governante que dá atenção a palavras mentirosas, todos os seus servos serão perversos.
13 Mtu maskini na mtu anayeonea wanafanana kwa jambo hili: Bwana hutia nuru macho yao wote wawili.
O pobre e o enganador se encontram: o SENHOR ilumina aos olhos de ambos.
14 Kama mfalme akiwaamua maskini kwa haki, kiti chake cha enzi kitakuwa thabiti siku zote.
O rei que julga aos pobres por meio da verdade, seu trono se firmará para sempre.
15 Fimbo ya maonyo hutia hekima, bali mtoto aliyeachiwa bila maonyo humwaibisha mama yake.
A vara e a repreensão dão sabedoria; mas o rapaz deixado solto envergonha a sua mãe.
16 Wakati waovu wanapostawi, pia dhambi vivyo hivyo, lakini wenye haki wataliona anguko lao.
Quando os perversos se multiplicam, multiplicam-se as transgressões; mas os justos verão sua queda.
17 Mrudi mwanao, naye atakupa amani, atakufurahisha nafsi yako.
Castiga a teu filho, e ele te fará descansar, e dará prazeres à tua alma.
18 Mahali pasipo na ufunuo, watu kujizuia, bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.
Não havendo visão profética, o povo fica confuso; porém o que guarda a lei, ele é bem-aventurado.
19 Mtumishi hawezi kuonywa kwa maneno matupu, ajapoelewa, hataitikia.
O servo não será corrigido por meio de palavras; porque [ainda que] entenda, mesmo assim ele não responderá [corretamente].
20 Je, unamwona mtu azungumzaye kwa haraka? Kuna matumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko yeye.
Viste um homem precipitado em suas palavras? Mais esperança há para um tolo do que para ele.
21 Kama mtu akimdekeza mtumishi wake tangu ujanani, atamletea sikitiko mwishoni.
Aquele que mima a seu servo desde a infância, por fim ele quererá ser [seu] filho.
22 Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi, naye mtu mwenye hasira ya haraka hutenda dhambi nyingi.
O homem que se irrita facilmente levanta brigas; e o furioso multiplica as transgressões.
23 Kiburi cha mtu humshusha, bali mtu mwenye roho ya unyenyekevu hupata heshima.
A arrogância do homem o abaterá; mas o humilde de espírito obterá honra.
24 Anayekubaliana na mwizi ni adui wa nafsi yake mwenyewe; huapishwa lakini hathubutu kushuhudia.
Aquele que reparte com o ladrão odeia sua [própria] alma; ele ouve maldições e não [o] denuncia.
25 Kuwaogopa watu huwa ni mtego, bali yeyote amtumainiaye Bwana atakuwa salama.
O temor do homem arma ciladas; mas o que confia no senhor ficará em segurança.
26 Wengi hutafuta kusikilizwa na mtawala, bali mtu hupata haki kutoka kwa Bwana.
Muitos buscam a face do governante; mas o julgamento de cada um [vem] do SENHOR.
27 Mwenye haki huwachukia sana wasio waaminifu; waovu huwachukia sana wenye haki.
O justos odeiam ao homem perverso; e o injusto odeia aos que andam no caminho correto.

< Mithali 29 >