< Mithali 29 >

1 Mtu anayeendelea kuwa na shingo ngumu baada ya maonyo mengi, ataangamia ghafula, wala hapati dawa.
Sodeyn perischyng schal come on that man, that with hard nol dispisith a blamere; and helth schal not sue hym.
2 Wenye haki wanapostawi, watu hufurahi; waovu watawalapo, watu hulia kwa huzuni.
The comynalte schal be glad in the multipliyng of iust men; whanne wickid men han take prinshod, the puple schal weyle.
3 Mtu apendaye hekima huleta furaha kwa baba yake, bali aambatanaye na makahaba hutapanya mali yake.
A man that loueth wisdom, makith glad his fadir; but he that nurschith `an hoore, schal leese catel.
4 Kwa haki mfalme huipa nchi uthabiti, bali mfalme aliye na tamaa ya rushwa huiangamiza.
A iust king reisith the lond; an auerouse man schal distrie it.
5 Yeyote amsifuye jirani yake isivyostahili, anautandaza wavu kuitega miguu yake.
A man that spekith bi flaterynge and feyned wordis to his frend; spredith abrood a net to hise steppis.
6 Mtu mbaya hutegwa na dhambi yake mwenyewe bali mwenye haki huweza kuimba na kufurahi.
A snare schal wlappe a wickid man doynge synne; and a iust man schal preise, and schal make ioye.
7 Mwenye haki hujali haki kwa ajili ya maskini, bali mwovu hajishughulishi na hilo.
A iust man knowith the cause of pore men; an vnpitouse man knowith not kunnyng.
8 Wenye mzaha huuchochea mji, bali watu wenye hekima hugeuzia mbali hasira.
Men ful of pestilence distryen a citee; but wise men turnen awei woodnesse.
9 Kama mwenye hekima akienda mahakamani na mpumbavu, mpumbavu hukasirika na kudhihaki, wala hakuna amani.
If a wijs man stryueth with a fool; whether he be wrooth, `ether he leiyith, he schal not fynde reste.
10 Watu wamwagao damu humchukia mtu mwadilifu na hutafuta kumuua mtu mnyofu.
Menquelleris haten a simple man; but iust men seken his soule.
11 Mpumbavu huonyesha hasira yake yote, bali mwenye hekima hujizuia.
A fool bringith forth al his spirit; a wise man dilaieth, and reserueth in to tyme comynge afterward.
12 Kama mtawala akisikiliza uongo, maafisa wake wote huwa waovu.
A prince that herith wilfuli the wordis of a leesyng; schal haue alle mynystris vnfeithful.
13 Mtu maskini na mtu anayeonea wanafanana kwa jambo hili: Bwana hutia nuru macho yao wote wawili.
A pore man and a leenere metten hem silf; the Lord is liytnere of euer ethir.
14 Kama mfalme akiwaamua maskini kwa haki, kiti chake cha enzi kitakuwa thabiti siku zote.
If a kyng demeth pore men in treuthe; his trone schal be maad stidfast with outen ende.
15 Fimbo ya maonyo hutia hekima, bali mtoto aliyeachiwa bila maonyo humwaibisha mama yake.
A yerde and chastisyng schal yyue wisdom; but a child, which is left to his wille, schendith his modir.
16 Wakati waovu wanapostawi, pia dhambi vivyo hivyo, lakini wenye haki wataliona anguko lao.
Grete trespassis schulen be multiplied in the multipliyng of wickid men; and iust men schulen se the fallyngis of hem.
17 Mrudi mwanao, naye atakupa amani, atakufurahisha nafsi yako.
Teche thi sone, and he schal coumforte thee; and he schal yyue delicis to thi soule.
18 Mahali pasipo na ufunuo, watu kujizuia, bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.
Whanne prophesie faylith, the puple schal be distried; but he that kepith the lawe, is blessid.
19 Mtumishi hawezi kuonywa kwa maneno matupu, ajapoelewa, hataitikia.
A seruaunt mai not be tauyt bi wordis; for he vndirstondith that that thou seist, and dispisith for to answere.
20 Je, unamwona mtu azungumzaye kwa haraka? Kuna matumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko yeye.
Thou hast seyn a man swift to speke; foli schal be hopid more than his amendyng.
21 Kama mtu akimdekeza mtumishi wake tangu ujanani, atamletea sikitiko mwishoni.
He that nurschith his seruaunt delicatli fro childhod; schal fynde hym rebel aftirward.
22 Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi, naye mtu mwenye hasira ya haraka hutenda dhambi nyingi.
A wrathful man territh chidingis; and he that is liyt to haue indignacioun, schal be more enclynaunt to synnes.
23 Kiburi cha mtu humshusha, bali mtu mwenye roho ya unyenyekevu hupata heshima.
Lownesse sueth a proude man; and glorie schal vp take a meke man of spirit.
24 Anayekubaliana na mwizi ni adui wa nafsi yake mwenyewe; huapishwa lakini hathubutu kushuhudia.
He that takith part with a theef, hatith his soule; he herith a man chargynge greetli, and schewith not.
25 Kuwaogopa watu huwa ni mtego, bali yeyote amtumainiaye Bwana atakuwa salama.
He that dredith a man, schal falle soon; he that hopith in the Lord, shal be reisid.
26 Wengi hutafuta kusikilizwa na mtawala, bali mtu hupata haki kutoka kwa Bwana.
Many men seken the face of the prince; and the doom of alle men schal go forth of the Lord.
27 Mwenye haki huwachukia sana wasio waaminifu; waovu huwachukia sana wenye haki.
Iust men han abhomynacioun of a wickid man; and wickid men han abhomynacioun of hem, that ben in a riytful weye. A sone kepynge a word, schal be out of perdicioun.

< Mithali 29 >