< Mithali 29 >

1 Mtu anayeendelea kuwa na shingo ngumu baada ya maonyo mengi, ataangamia ghafula, wala hapati dawa.
man argument to harden neck suddenness to break and nothing healing
2 Wenye haki wanapostawi, watu hufurahi; waovu watawalapo, watu hulia kwa huzuni.
in/on/with to multiply righteous to rejoice [the] people and in/on/with to rule wicked to sigh people
3 Mtu apendaye hekima huleta furaha kwa baba yake, bali aambatanaye na makahaba hutapanya mali yake.
man to love: lover wisdom to rejoice father his and to accompany to fornicate to perish substance
4 Kwa haki mfalme huipa nchi uthabiti, bali mfalme aliye na tamaa ya rushwa huiangamiza.
king in/on/with justice to stand: rise land: country/planet and man contribution to overthrow her
5 Yeyote amsifuye jirani yake isivyostahili, anautandaza wavu kuitega miguu yake.
great man to smooth upon neighbor his net to spread upon beat his
6 Mtu mbaya hutegwa na dhambi yake mwenyewe bali mwenye haki huweza kuimba na kufurahi.
in/on/with transgression man bad: evil snare and righteous to overcome and to rejoice
7 Mwenye haki hujali haki kwa ajili ya maskini, bali mwovu hajishughulishi na hilo.
to know righteous judgment poor wicked not to understand knowledge
8 Wenye mzaha huuchochea mji, bali watu wenye hekima hugeuzia mbali hasira.
human scorning to breathe town and wise to return: turn back face: anger
9 Kama mwenye hekima akienda mahakamani na mpumbavu, mpumbavu hukasirika na kudhihaki, wala hakuna amani.
man wise to judge with man fool(ish) and to tremble and to laugh and nothing quietness
10 Watu wamwagao damu humchukia mtu mwadilifu na hutafuta kumuua mtu mnyofu.
human blood to hate complete and upright to seek soul: life his
11 Mpumbavu huonyesha hasira yake yote, bali mwenye hekima hujizuia.
all spirit: temper his to come out: speak fool and wise in/on/with back to soothe her
12 Kama mtawala akisikiliza uongo, maafisa wake wote huwa waovu.
to rule to listen upon word: because deception all to minister him wicked
13 Mtu maskini na mtu anayeonea wanafanana kwa jambo hili: Bwana hutia nuru macho yao wote wawili.
be poor and man oppression to meet to light eye two their LORD
14 Kama mfalme akiwaamua maskini kwa haki, kiti chake cha enzi kitakuwa thabiti siku zote.
king to judge in/on/with truth: faithful poor throne his to/for perpetuity to establish: establish
15 Fimbo ya maonyo hutia hekima, bali mtoto aliyeachiwa bila maonyo humwaibisha mama yake.
tribe: staff and argument to give: give wisdom and youth to send: let go be ashamed mother his
16 Wakati waovu wanapostawi, pia dhambi vivyo hivyo, lakini wenye haki wataliona anguko lao.
in/on/with to multiply wicked to multiply transgression and righteous in/on/with carcass their to see: see
17 Mrudi mwanao, naye atakupa amani, atakufurahisha nafsi yako.
to discipline son: child your and to rest you and to give: give delicacy to/for soul your
18 Mahali pasipo na ufunuo, watu kujizuia, bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.
in/on/with nothing vision to neglect people and to keep: obey instruction blessed he
19 Mtumishi hawezi kuonywa kwa maneno matupu, ajapoelewa, hataitikia.
in/on/with word not to discipline servant/slave for to understand and nothing to answer
20 Je, unamwona mtu azungumzaye kwa haraka? Kuna matumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko yeye.
to see man: anyone to hasten in/on/with word his hope to/for fool from him
21 Kama mtu akimdekeza mtumishi wake tangu ujanani, atamletea sikitiko mwishoni.
to pamper from youth servant/slave his and end his to be progeny
22 Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi, naye mtu mwenye hasira ya haraka hutenda dhambi nyingi.
man face: anger to stir up strife and master: men rage many transgression
23 Kiburi cha mtu humshusha, bali mtu mwenye roho ya unyenyekevu hupata heshima.
pride man to abase him and low spirit to grasp glory
24 Anayekubaliana na mwizi ni adui wa nafsi yake mwenyewe; huapishwa lakini hathubutu kushuhudia.
to divide with thief to hate soul: life his oath to hear: hear and not to tell
25 Kuwaogopa watu huwa ni mtego, bali yeyote amtumainiaye Bwana atakuwa salama.
trembling man to give: put snare and to trust in/on/with LORD to exalt
26 Wengi hutafuta kusikilizwa na mtawala, bali mtu hupata haki kutoka kwa Bwana.
many to seek face to rule and from LORD justice man
27 Mwenye haki huwachukia sana wasio waaminifu; waovu huwachukia sana wenye haki.
abomination righteous man injustice and abomination wicked upright way: conduct

< Mithali 29 >