< Mithali 28 >

1 Mtu mwovu hukimbia ingawa hakuna yeyote anayemfukuza, bali wenye haki ni wajasiri kama simba.
Fogem os impios, sem que ninguem os persiga; mas qualquer justo está confiado como o filho do leão.
2 Wakati nchi inapokuwa na uasi, inakuwa na viongozi wengi, bali mwenye ufahamu na maarifa hudumisha utaratibu.
Pela transgressão da terra são muitos os seus principes, mas por homens prudentes e entendidos a sua continuação será prolongada.
3 Mtu maskini amwoneaye yeye aliye maskini zaidi ni kama mvua ya dhoruba isiyosaza mazao.
O homem pobre que opprime aos pobres é como chuva impetuosa, com que ha falta de pão.
4 Wale waiachao sheria huwasifu waovu, bali wale waishikao sheria huwapinga.
Os que deixam a lei louvam o impio; porém os que guardam a lei pelejam contra elles.
5 Watu wabaya hawaelewi haki, bali wale wamtafutao Bwana wanaielewa kikamilifu.
Os homens maus não entendem o juizo, mas os que buscam ao Senhor entendem tudo.
6 Afadhali maskini ambaye mwenendo wake hauna lawama kuliko tajiri ambaye njia zake ni potovu.
Melhor é o pobre que anda na sua sinceridade do que o perverso de caminhos, ainda que seja rico.
7 Yeye ashikaye sheria ni mwana mwenye ufahamu, bali rafiki wa walafi humwaibisha baba yake.
O que guarda a lei é filho entendido, mas o companheiro dos comilões envergonha a seu pae.
8 Yeye aongezaye utajiri wake kwa riba kubwa mno hukusanya kwa ajili ya mwingine, ambaye atawahurumia maskini.
O que augmenta a sua fazenda com usura e onzena, o ajunta para o que se compadece do pobre.
9 Kama mtu yeyote akikataa kusikia sheria, hata maombi yake ni chukizo.
O que desvia os seus ouvidos d'ouvir a lei até a sua oração será abominavel.
10 Yeye ambaye humwongoza mwenye haki kwenye mapito mabaya, ataanguka kwenye mtego wake mwenyewe, bali wasio na lawama watapokea urithi mwema.
O que faz com que os rectos errem n'um mau caminho elle mesmo cairá na sua cova: mas os bons herdarão o bem.
11 Mtu tajiri anaweza kuwa na hekima machoni pake mwenyewe, bali mtu maskini mwenye ufahamu atamfichua.
O homem rico é sabio aos seus proprios olhos, mas o pobre que é entendido o esquadrinha.
12 Mwenye haki ashindapo, kuna furaha kubwa, bali waovu watawalapo, watu hujificha.
Quando os justos exultam, grande é a gloria; mas quando os impios sobem, os homens se andam escondendo.
13 Yeye afichaye dhambi zake hatafanikiwa, bali yeyote aziungamaye na kuziacha hupata rehema.
O que encobre as suas transgressões nunca prosperará, mas o que as confessa e deixa alcançará misericordia.
14 Amebarikiwa mtu ambaye siku zote humcha Bwana, bali yeye afanyaye moyo wake kuwa mgumu huangukia kwenye taabu.
Bemaventurado o homem que continuamente teme: mas o que endurece o seu coração virá a cair no mal.
15 Kama simba angurumaye au dubu ashambuliaye, ndivyo alivyo mtu mwovu atawalaye wanyonge.
Como leão bramante, e urso faminto, assim é o impio que domina sobre um povo pobre.
16 Mtawala dhalimu hana akili, bali yeye achukiaye mapato ya udhalimu atafurahia maisha marefu.
O principe falto d'intelligencia tambem multiplica as oppressões, mas o que aborrece a avareza prolongará os seus dias.
17 Mtu mwenye kusumbuliwa na hatia ya kuua atakuwa mtoro mpaka kufa; mtu yeyote na asimsaidie.
O homem carregado do sangue de qualquer pessoa fugirá até á cova: ninguem o retenha.
18 Yeye ambaye mwenendo wake hauna lawama hulindwa salama, bali yeye ambaye njia zake ni potovu ataanguka ghafula.
O que anda sinceramente salvar-se-ha, mas o perverso em seus caminhos cairá logo.
19 Yeye alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele, bali yule afuataye mambo ya upuzi atakuwa na umaskini wa kumtosha.
O que lavrar a sua terra virá a fartar-se de pão, mas o que segue a ociosos se fartará de pobreza.
20 Mtu mwaminifu atabarikiwa sana, bali yeye atamaniye kupata utajiri kwa haraka hataacha kuadhibiwa.
O homem fiel abundará em bençãos, mas o que se apressa a enriquecer não será innocente.
21 Kuonyesha upendeleo si vizuri, hata hivyo mtu atafanya kosa kwa kipande cha mkate.
Ter respeito á apparencia de pessoas não é bom, porque até por um bocado de pão prevaricará o homem
22 Mtu mchoyo ana tamaa ya kupata utajiri, naye hana habari kuwa umaskini unamngojea.
O que se apressa a enriquecer é homem de mau olho, porém não sabe que ha de vir sobre elle a pobreza.
23 Yeye amkemeaye mtu mwishoni hupata kibali zaidi, kuliko mwenye maneno ya kusifu isivyostahili.
O que reprehende ao homem depois achará mais favor do que aquelle que lisongeia com a lingua.
24 Yeye amwibiaye babaye au mamaye na kusema, “Si kosa,” yeye ni mwenzi wa yule aharibuye.
O que rouba a seu pae, ou a sua mãe, e diz: Não ha transgressão; companheiro é do homem dissipador.
25 Mtu mwenye tamaa huchochea fitina, bali yule amtegemeaye Bwana atafanikiwa.
O altivo d'animo levanta contendas, mas o que confia no Senhor engordará.
26 Yeye ajitumainiaye mwenyewe ni mpumbavu, bali yeye atembeaye katika hekima hulindwa salama.
O que confia no seu coração é insensato, mas o que anda em sabedoria elle escapará.
27 Yeye ampaye maskini hatapungukiwa na kitu chochote, bali yeye awafumbiaye maskini macho hupata laana nyingi.
O que dá ao pobre não terá necessidade, mas o que esconde os seus olhos terá muitas maldições.
28 Wakati waovu watawalapo, watu huenda mafichoni, bali waovu wanapoangamia, wenye haki hufanikiwa.
Quando os impios se elevam, os homens se andam escondendo, mas quando perecem, os justos se multiplicam.

< Mithali 28 >