< Mithali 27 >

1 Usijisifu kwa ajili ya kesho, kwa kuwa hujui ni nini kitakachozaliwa kwa siku moja.
درباره فردای خود با غرور صحبت نکن، زیرا نمی‌دانی چه پیش خواهد آمد.
2 Mwache mwingine akusifu, wala si kinywa chako mwenyewe; mtu mwingine afanye hivyo na si midomo yako mwenyewe.
هرگز از خودت تعریف نکن؛ بگذار دیگران از تو تعریف کنند.
3 Jiwe ni zito na mchanga ni mzigo, lakini kukasirishwa na mpumbavu ni kuzito kuliko vyote viwili.
حمل بار سنگ و ماسه سخت است، اما تحمل ناراحتیهایی که شخص نادان ایجاد می‌کند، از آن هم سختتر است.
4 Hasira ni ukatili na ghadhabu kali ni gharika, lakini ni nani awezaye kusimama mbele ya wivu?
حسادت خطرناک‌تر و بی‌رحمتر از خشم و غضب است.
5 Afadhali karipio la wazi kuliko upendo uliofichika.
سرزنش آشکار از محبت پنهان بهتر است.
6 Majeraha kutoka kwa rafiki yaonyesha uaminifu, bali kubusu kwa adui ni kwingi sana.
زخم دوست بهتر از بوسهٔ دشمن است.
7 Yeye aliyeshiba huchukia kabisa asali, bali kwa mwenye njaa hata kile kilicho kichungu kwake ni kitamu.
شکم سیر حتی از عسل کراهت دارد، اما برای شکم گرسنه هر چیز تلخی شیرین است.
8 Kama ndege atangatangavyo mbali na kiota chake, ndivyo alivyo mtu atangatangaye mbali na nyumbani mwake.
کسی که از خانه‌اش دور می‌شود همچون پرنده‌ای است که از آشیانه‌اش آواره شده باشد.
9 Manukato na uvumba huleta furaha moyoni, nao uzuri wa rafiki huchipuka kutoka kwenye ushauri wake wa uaminifu.
مشورت صمیمانهٔ یک دوست همچون عطری خوشبو، دلپذیر است.
10 Usimwache rafiki yako wala rafiki wa baba yako, tena usiende nyumbani mwa ndugu yako wakati umepatwa na maafa. Bora jirani wa karibu kuliko ndugu aliye mbali.
دوست خود و دوست پدرت را هرگز ترک نکن، و وقتی در تنگی هستی سراغ برادرت نرو؛ همسایهٔ نزدیک بهتر از برادر دور می‌تواند به تو کمک کند.
11 Mwanangu, uwe na hekima, nawe ulete furaha moyoni mwangu, ndipo nitakapoweza kumjibu yeyote anitendaye kwa dharau.
پسرم، حکمت بیاموز و دل مرا شاد کن تا بتوانم جواب کسانی را که مرا سرزنش می‌کنند، بدهم.
12 Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha, bali mjinga huendelea mbele nayo ikamtesa.
عاقل خطر را پیش‌بینی می‌کند و از آن اجتناب می‌نماید، ولی جاهل به سوی آن می‌رود و خود را گرفتار می‌کند.
13 Chukua vazi la yule awekaye dhamana kwa ajili ya mgeni; lishikilie iwe dhamana kama anafanya hivyo kwa ajili ya mwanamke mpotovu.
از کسی که نزد تو ضامن شخص غریبی می‌شود، گرو بگیر.
14 Kama mtu akimbariki jirani yake kwa sauti kuu asubuhi na mapema, itahesabiwa kama ni laana.
اگر صبح زود با صدای بلند برای دوستت دعای خیر کرده، او را از خواب بیدار کنی، دعای تو همچون لعنت خواهد بود.
15 Mke mgomvi ni kama matone yasiyokoma ya siku ya mvua.
غرغرهای زن بهانه‌گیر مثل چک‌چک آب در روز بارانی است؛
16 Kumzuia yeye ni kama kuuzuia upepo au kukamata mafuta kwa kiganja cha mkono.
همان‌طور که نمی‌توان از وزیدن باد جلوگیری کرد، و یا با دستهای چرب چیزی را نگه داشت، همان‌طور هم محال است بتوان از غرغر چنین زنی جلوگیری کرد.
17 Kama vile chuma kinoavyo chuma, ndivyo mtu amnoavyo mwenzake.
همان‌طور که آهن، آهن را می‌تراشد، دوست نیز شخصیت دوستش را اصلاح می‌کند.
18 Yeye autunzaye mtini atakula tunda lake, naye amtunzaye bwana wake ataheshimiwa.
هر که درختی بپروراند از میوه‌اش نیز خواهد خورد و هر که به اربابش خدمت کند پاداش خواهد گرفت.
19 Kama uso uonekanavyo kwenye maji, ndivyo hivyo moyo wa mtu humwonyesha alivyo.
همان‌طور که انسان در آب، صورت خود را می‌بیند، در وجود دیگران نیز وجود خویش را مشاهده می‌کند.
20 Kuzimu na Uharibifu havishibi kadhalika macho ya mwanadamu. (Sheol h7585)
همان‌طور که دنیای مردگان از بلعیدن زندگان سیر نمی‌شود، خواسته‌های انسان نیز هرگز ارضا نمی‌گردد. (Sheol h7585)
21 Kalibu ni kwa ajili ya fedha na tanuru kwa ajili ya dhahabu, bali mtu hupimwa kwa sifa azipokeazo.
طلا و نقره را به‌وسیلۀ آتش می‌آزمایند، ولی انسان را از عکس‌العملش در برابر تعریف و تمجید دیگران می‌توان شناخت.
22 Hata ukimtwanga mpumbavu kwenye kinu, ukimtwanga kama nafaka kwa mchi, hutauondoa upumbavu wake.
اگر احمق را در داخل هاون هم بکوبی حماقتش از او جدا نمی‌شود.
23 Hakikisha kuwa unajua hali ya makundi yako ya kondoo na mbuzi, angalia kwa bidii ngʼombe zako.
مال و دارایی زود از بین می‌رود و تاج و تخت پادشاه تا ابد برای نسل او باقی نمی‌ماند. پس تو با دقت از گله و رمه‌ات مواظبت کن،
24 Kwa kuwa utajiri haudumu milele, nayo taji haidumu vizazi vyote.
25 Wakati majani makavu yameondolewa na mapya yamechipua, nayo majani toka milimani yamekusanywa,
زیرا وقتی علوفه چیده شود و محصول جدید به بار آید و علف کوهستان جمع‌آوری شود،
26 wana-kondoo watakupatia mavazi na mbuzi thamani ya shamba.
آنگاه از پشم گوسفندانت لباس تهیه خواهی کرد، از فروش بزهایت زمین خواهی خرید
27 Utakuwa na maziwa mengi ya mbuzi kukulisha wewe na jamaa yako, na kuwalisha watumishi wako wa kike.
و از شیر بقیهٔ بزها تو و خانواده و کنیزانت سیر خواهید شد.

< Mithali 27 >