< Mithali 27 >

1 Usijisifu kwa ajili ya kesho, kwa kuwa hujui ni nini kitakachozaliwa kwa siku moja.
Aya hamomu hou amo mae gaguia gadole hidale ilegema. Be di da fa: no misunu hou hame dawa:
2 Mwache mwingine akusifu, wala si kinywa chako mwenyewe; mtu mwingine afanye hivyo na si midomo yako mwenyewe.
Eno dunu amola degabo ba: i dunu da dima nodone ofa: mu da defea. Be di da dina: maedafa ofa: ma.
3 Jiwe ni zito na mchanga ni mzigo, lakini kukasirishwa na mpumbavu ni kuzito kuliko vyote viwili.
Igi amola boso amola da dioi bagade. Be gagaoui dunu ea mosolasu hamoi da amo dioi baligisa.
4 Hasira ni ukatili na ghadhabu kali ni gharika, lakini ni nani awezaye kusimama mbele ya wivu?
Udigili mi hanai hou da dodona: gi amola dunu eno wadela: lesisa. Be mudasu hou da dunu eno baligili wadela: lesisa.
5 Afadhali karipio la wazi kuliko upendo uliofichika.
Di da dunu eno ea hou afadenema: ne gagabole sia: musa: dawa: sea, mae wamolegele, hima odagia sia: mu da defea. Agoane hame hamosea, di da ema hame asigisa e da dawa: mu.
6 Majeraha kutoka kwa rafiki yaonyesha uaminifu, bali kubusu kwa adui ni kwingi sana.
Dia dogolegei da di fidima: ne, dima odagia sia: sea, se iaha. Be dima ha lai dunu da dima nonogole, asigiwane sia: sea, dawa: ma: i!
7 Yeye aliyeshiba huchukia kabisa asali, bali kwa mwenye njaa hata kile kilicho kichungu kwake ni kitamu.
Di da ha: i mai amo sadisia da agime hano hedai ha: i manu higasa. Be di da ha: i bagadedafa ba: sea, ha: i manu gamogai da hedai ba: sa.
8 Kama ndege atangatangavyo mbali na kiota chake, ndivyo alivyo mtu atangatangaye mbali na nyumbani mwake.
Dunu hina: fifilasu yolesili udigili lalebe ea hou da sio ea musugai amo da: iya mae diaheda: le, fisili asi agoai gala.
9 Manukato na uvumba huleta furaha moyoni, nao uzuri wa rafiki huchipuka kutoka kwenye ushauri wake wa uaminifu.
Susuligi amola gabusiga: na manoma ulasea da dia da: i noga: le hisisa. Be dima bidi hamosu doaga: sea, dia asigi dawa: su noga: i da dafane goudane fofonoboi agoai ba: sa.
10 Usimwache rafiki yako wala rafiki wa baba yako, tena usiende nyumbani mwa ndugu yako wakati umepatwa na maafa. Bora jirani wa karibu kuliko ndugu aliye mbali.
Dia dogolegei amola dia ada ea dogolegei dunu amo mae gogolema. Mosolasu da dima doaga: sea, dia oladafa amo ea fidima: ne mae adole ba: ma. Be dia na: iyado, di gadenene esalebe, amo ea da di noga: le fidimu. Be dia oladafa da badiliadafaba: le, di noga: le hame fidimu.
11 Mwanangu, uwe na hekima, nawe ulete furaha moyoni mwangu, ndipo nitakapoweza kumjibu yeyote anitendaye kwa dharau.
Na mano, dawa: su noga: i lama! Amasea, na da hahawane ba: mu. Amola dunu eno da nama gadele sia: sea, na da ilima adole imunusa: dawa: mu.
12 Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha, bali mjinga huendelea mbele nayo ikamtesa.
Noga: le molole dawa: su dunu ilia da bidi doaga: su manebe hedolo ba: sa, amola gaga: sa. Be noga: le hame dawa: su dunu da amo bidi doaga: su amo noga: le hame ba: beba: le, amodili ahoa. Amola fa: no e da bu da: i dione dawa: sa.
13 Chukua vazi la yule awekaye dhamana kwa ajili ya mgeni; lishikilie iwe dhamana kama anafanya hivyo kwa ajili ya mwanamke mpotovu.
Degabo ba: i dunu da liligi bidi lale, bidi mae iawane fa: no imunu sia: sea, be eno dunu da amo dunu ea fa: no imunu bidi, amo hi da wali imunu sia: sea, e da gagoule agoane hamosa. Amola degabo ba: i dunu da bidi bu hame iasea, bidi iasu dunu da gagaoui dunu amo ea soge lamu da defea.
14 Kama mtu akimbariki jirani yake kwa sauti kuu asubuhi na mapema, itahesabiwa kama ni laana.
Di da dia dogolegei amo hahabe golai dialebe amo nedigima: ne ha: giniwane halaga: la: sea, e da fofogadigili se nabimu. Amo hou da ema gagabusu aligima: ne agoai ba: sa.
15 Mke mgomvi ni kama matone yasiyokoma ya siku ya mvua.
Uda gesa: gesa: i ea hou da gibu dasea dadadibi agoai ba: sa.
16 Kumzuia yeye ni kama kuuzuia upepo au kukamata mafuta kwa kiganja cha mkono.
Di da gesa: gesa: i uda ea hou habodane ouiya: ma: ne sia: ma: bela: ? Dia loboga fo mabe gagumusa: dawa: bela: ? Dia loboga susuligi usuna gagumusa: dawa: bela: ?
17 Kama vile chuma kinoavyo chuma, ndivyo mtu amnoavyo mwenzake.
Ouli aduna ele degenana mebe agoai gala. Amo defele, dunu aduna da gilisili sia: dasea, ela galu dawa: lasa.
18 Yeye autunzaye mtini atakula tunda lake, naye amtunzaye bwana wake ataheshimiwa.
Figi ifa noga: le ouligisia, di da figi fage manu galebe. Hawa: hamosu dunu da ea hina dunu noga: le ouligisia, hina dunu da e nodone ouligimu.
19 Kama uso uonekanavyo kwenye maji, ndivyo hivyo moyo wa mtu humwonyesha alivyo.
Di da hanoa gudu ba: le gudusia, dina: baba ba: sa. Amola dia dogo ba: sea, dia asigi dawa: su houdafa ba: sa.
20 Kuzimu na Uharibifu havishibi kadhalika macho ya mwanadamu. (Sheol h7585)
Bogosu soge da hamedafa nabamu. Amaiwane, osobo bagade dunu da liligi hanai gala. Amola sadimu hame dawa: (Sheol h7585)
21 Kalibu ni kwa ajili ya fedha na tanuru kwa ajili ya dhahabu, bali mtu hupimwa kwa sifa azipokeazo.
Dunu da gouli amola silifa amola laluga gogobele adoba: sa. Amo defele, dunu ilia da eno dunu ea hou adoba: sa.
22 Hata ukimtwanga mpumbavu kwenye kinu, ukimtwanga kama nafaka kwa mchi, hutauondoa upumbavu wake.
Di da gagaoui dunu fanana, fanana, e bogomu gadenesea fawane fisisa, be ea gagaoui hou fadegale fasimu hamedei agoane ba: mu.
23 Hakikisha kuwa unajua hali ya makundi yako ya kondoo na mbuzi, angalia kwa bidii ngʼombe zako.
Dia sibi amola bulamagau noga: le dawa: le ouligima.
24 Kwa kuwa utajiri haudumu milele, nayo taji haidumu vizazi vyote.
Bai liligi gagui hou da ebelemu. Amola fifi asi gala huluane da dagomusa: dawa: la.
25 Wakati majani makavu yameondolewa na mapya yamechipua, nayo majani toka milimani yamekusanywa,
Di da bulamagau ha: i manu gisi bugi amo huluane none dagosea, eno gisi da heda: sea, gisi amo da agolo la: idi gala nosa.
26 wana-kondoo watakupatia mavazi na mbuzi thamani ya shamba.
Di da sibi ilia hinaboga, abula amunimu amola goudi bidi lale, muni lai amoga soge eno bidi lamu.
27 Utakuwa na maziwa mengi ya mbuzi kukulisha wewe na jamaa yako, na kuwalisha watumishi wako wa kike.
Amola goudi eno hame bidi lai lelebe, amoga di da dodo maga: me dia sosogo fi amola dia hawa: hamosu a: fini huluane defele moma: ne dimusa: dawa: mu.

< Mithali 27 >