< Mithali 26 >
1 Kama theluji wakati wa kiangazi au mvua wakati wa mavuno, ndivyo asivyostahili heshima mpumbavu.
like/as snow in/on/with summer and like/as rain in/on/with harvest so not lovely to/for fool glory
2 Kama shomoro apigapigavyo mabawa yake au mbayuwayu katika kuruka kwake kasi, ndivyo ilivyo laana isiyo na sababu haimpati mtu.
like/as bird to/for to wander like/as swallow to/for to fly so curse for nothing (to/for him *Q(K)*) to come (in): come
3 Mjeledi kwa farasi, lijamu kwa punda, nayo fimbo kwa migongo ya wapumbavu!
whip to/for horse bridle to/for donkey and tribe: staff to/for back fool
4 Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake, ama wewe mwenyewe utakuwa kama yeye.
not to answer fool like/as folly his lest be like to/for him also you(m. s.)
5 Mjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake, ama atakuwa mwenye hekima machoni pake mwenyewe.
to answer fool like/as folly his lest to be wise in/on/with eye his
6 Kama vile ilivyo kujikata miguu au kunywa hasara, ndivyo ilivyo kutuma ujumbe kwa mkono wa mpumbavu.
to cut off foot violence to drink to send: depart word in/on/with hand fool
7 Kama miguu ya kiwete inavyoningʼinia ndivyo ilivyo mithali katika kinywa cha mpumbavu.
to languish leg from lame and proverb in/on/with lip fool
8 Kama kufunga jiwe kwenye kombeo, ndivyo ilivyo kumpa mpumbavu heshima.
like/as to constrain stone in/on/with sling so to give: give to/for fool glory
9 Kama mwiba kwenye mkono wa mlevi ndivyo ilivyo mithali kinywani mwa mpumbavu.
thistle to ascend: rise in/on/with hand drunken and proverb in/on/with lip fool
10 Kama mpiga upinde ambaye hujeruhi ovyo, ndivyo alivyo yeye aajiriye mpumbavu au yeyote apitaye njiani.
archer to bore all and to hire fool and to hire to pass
11 Kama mbwa ayarudiavyo matapiko yake, ndivyo mpumbavu arudiavyo upumbavu wake.
like/as dog to return: return upon vomit his fool to repeat in/on/with folly his
12 Je, unamwona mtu ajionaye mwenye hekima machoni pake mwenyewe? Liko tumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko kwake.
to see: see man wise in/on/with eye his hope to/for fool from him
13 Mvivu husema, “Yuko simba barabarani, simba mkali anazunguka mitaa!”
to say sluggish lion in/on/with way: road lion between [the] street/plaza
14 Kama vile mlango ugeukavyo kwenye bawaba zake, ndivyo mvivu ajigeuzavyo kitandani mwake.
[the] door to turn: turn upon hinge her and sluggish upon bed his
15 Mtu mvivu hutumbukiza mkono wake kwenye sahani, naye huchoka kuupeleka kwenye kinywa chake.
to hide sluggish hand his in/on/with dish be weary to/for to return: return her to(wards) lip his
16 Mtu mvivu ni mwenye hekima machoni pake mwenyewe, kuliko watu saba wawezao kujibu kwa busara.
wise sluggish in/on/with eye his from seven to return: reply taste
17 Kama yeye amkamataye mbwa kwa masikio, ndivyo alivyo mtu apitaye njiani na kujiingiza kwenye ugomvi usiomhusu.
to strengthen: hold in/on/with ear dog to pass: bring be angry upon strife not to/for him
18 Kama mtu mwendawazimu atupaye vijinga vya moto au mishale ya kufisha,
like/as to amaze [the] to shoot missile arrow and death
19 ndivyo alivyo mtu amdanganyaye jirani yake na kusema, “Nilikuwa nikifanya mzaha tu!”
so man to deceive [obj] neighbor his and to say not to laugh I
20 Bila kuni moto huzimika; pasipo uchongezi ugomvi humalizika.
in/on/with end tree: wood to quench fire and in/on/with nothing to grumble be quiet strife
21 Kama makaa juu ya makaa yanayowaka, na kama kuni kwenye moto, ndivyo alivyo mtu mgomvi kwa kuchochea ugomvi.
coal to/for coal and tree: wood to/for fire and man (contention *Q(K)*) to/for to scorch strife
22 Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu; huingia sehemu za ndani sana za mtu.
word to grumble like/as to swallow and they(masc.) to go down chamber belly: body
23 Kama rangi ingʼaayo iliyopakwa kwenye vyombo vya udongo ndivyo ilivyo midomo laini pamoja na moyo mbaya.
silver: money dross to overlay upon earthenware lips to burn/pursue and heart bad: evil
24 Mtu mwenye nia ya kudhuru wengine hujificha kwa maneno ya midomo yake, lakini moyoni mwake huficha udanganyifu.
(in/on/with lips his *Q(K)*) to alienate to hate and in/on/with entrails: among his to set: put deceit
25 Ingawa maneno yake huvutia, usimwamini, kwa maana machukizo saba hujaza moyo wake.
for be gracious voice his not be faithful in/on/with him for seven abomination in/on/with heart his
26 Nia yake ya kudhuru wengine inaweza kufichwa na udanganyifu, lakini uovu wake utafichuliwa kwenye kusanyiko.
to cover hating in/on/with guile to reveal: reveal distress: evil his in/on/with assembly
27 Kama mtu akichimba shimo, atatumbukia ndani yake, kama mtu akivingirisha jiwe, litamrudia.
to pierce pit: grave in/on/with her to fall: fall and to roll stone to(wards) him to return: return
28 Ulimi wa uongo, huwachukia wale unaowaumiza, nacho kinywa cha kujipendekeza hutenda uharibifu.
tongue deception to hate crushed his and lip smooth to make ruin