< Mithali 26 >
1 Kama theluji wakati wa kiangazi au mvua wakati wa mavuno, ndivyo asivyostahili heshima mpumbavu.
Kawmpoi e tadamtui hoi canganae kho patetlah, tamipathu hoi barinae kamcu hoeh.
2 Kama shomoro apigapigavyo mabawa yake au mbayuwayu katika kuruka kwake kasi, ndivyo ilivyo laana isiyo na sababu haimpati mtu.
Kamleng rumram e pusu hoi pingpit patetlah, a khuekhaw awm laipalah thoebo e teh api koehai bawt mahoeh.
3 Mjeledi kwa farasi, lijamu kwa punda, nayo fimbo kwa migongo ya wapumbavu!
Marang hanelah ruibongpai, la hanelah kammoumrui, tamipathu e keng hanelah bongpai teh a kamcu doeh.
4 Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake, ama wewe mwenyewe utakuwa kama yeye.
Tamipathu teh a pathunae patetlah pato hanh, hoehpawiteh ama patetlah na awm payon vaih.
5 Mjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake, ama atakuwa mwenye hekima machoni pake mwenyewe.
Tamipathu teh a pathunae patetlah pato, hoehpawiteh a lungkaang lah kâpouk payon vaih.
6 Kama vile ilivyo kujikata miguu au kunywa hasara, ndivyo ilivyo kutuma ujumbe kwa mkono wa mpumbavu.
Tamipathu koe lawk ka thui e tami teh amae khok ka tâtueng ni teh rawknae tui ka net e lah ao.
7 Kama miguu ya kiwete inavyoningʼinia ndivyo ilivyo mithali katika kinywa cha mpumbavu.
Khokkhem e khoktakan a kânging hoeh e patetlah, tamipathu e pahni dawk cingthuilawk teh ao.
8 Kama kufunga jiwe kwenye kombeo, ndivyo ilivyo kumpa mpumbavu heshima.
Tamipathu bari e teh tâyaicung dawk hluemhluem kawm e patetlah doeh ao.
9 Kama mwiba kwenye mkono wa mlevi ndivyo ilivyo mithali kinywani mwa mpumbavu.
Tamipathunaw ni dei e cingthuilawk teh yamuhri kut dawk ka um e pâkhing hoi a kâvan.
10 Kama mpiga upinde ambaye hujeruhi ovyo, ndivyo alivyo yeye aajiriye mpumbavu au yeyote apitaye njiani.
Bangpuengpa kasakkung lentoe Cathut ni tamipathu hoi kâtapoe kung aphu a poe.
11 Kama mbwa ayarudiavyo matapiko yake, ndivyo mpumbavu arudiavyo upumbavu wake.
Ui ni a palo bout a ca e patetlah tamipathu ni a pathunae hah a kamnue sak.
12 Je, unamwona mtu ajionaye mwenye hekima machoni pake mwenyewe? Liko tumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko kwake.
Ama pouknae dawk tamilungkaang lah ka kâpouk e na hmu ou. Hote tami koehoi hlak teh tamipathu koehoi ngaihawinae bet aohnawn.
13 Mvivu husema, “Yuko simba barabarani, simba mkali anazunguka mitaa!”
Tami pangak ni, lam dawk sendek ao, thongma vah sendek ao telah a ti.
14 Kama vile mlango ugeukavyo kwenye bawaba zake, ndivyo mvivu ajigeuzavyo kitandani mwake.
Tho teh takhang dawk a kâhei e patetlah tami pangak teh ikhun dawk a kâhei.
15 Mtu mvivu hutumbukiza mkono wake kwenye sahani, naye huchoka kuupeleka kwenye kinywa chake.
Tami pangak ni rawca a kâyap teh a kâtu hane boehai ngai hoeh.
16 Mtu mvivu ni mwenye hekima machoni pake mwenyewe, kuliko watu saba wawezao kujibu kwa busara.
Ka pangak e ni, kahawicalah khopouk thai e tami sari touh hlak ka lunganghnawn telah a kâpouk.
17 Kama yeye amkamataye mbwa kwa masikio, ndivyo alivyo mtu apitaye njiani na kujiingiza kwenye ugomvi usiomhusu.
Yuengyoe cei lahoi ayânaw e kong dawk ka bawk e tami teh ui hnâ ka kuen e hoi a kâvan.
18 Kama mtu mwendawazimu atupaye vijinga vya moto au mishale ya kufisha,
Na pacai e doeh na a tihoi, a imri ka dum e tami teh,
19 ndivyo alivyo mtu amdanganyaye jirani yake na kusema, “Nilikuwa nikifanya mzaha tu!”
hmaito, pala, duenae hoi ka ka e tamipathu hoi a kâvan.
20 Bila kuni moto huzimika; pasipo uchongezi ugomvi humalizika.
Thing awm hoehpawiteh hmai a roum e patetlah, tamcueklawk deinae awm hoehpawiteh kâyuenae hai a roum.
21 Kama makaa juu ya makaa yanayowaka, na kama kuni kwenye moto, ndivyo alivyo mtu mgomvi kwa kuchochea ugomvi.
Hmaisaan ni hmaisaei a kamtawi sak, thing ni hmai a kak sak e patetlah, kâoun ka ngai e ni kâyuenae a kamtawi sak.
22 Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu; huingia sehemu za ndani sana za mtu.
Tamcueklawk teh katuipounge rawca patetlah ao teh, von thung a kâen.
23 Kama rangi ingʼaayo iliyopakwa kwenye vyombo vya udongo ndivyo ilivyo midomo laini pamoja na moyo mbaya.
Apâhni pâhnan hoi lungthinkathout e tami teh, talai hlaam ngun hoi pâbing e hoi a kâvan.
24 Mtu mwenye nia ya kudhuru wengine hujificha kwa maneno ya midomo yake, lakini moyoni mwake huficha udanganyifu.
Tami hmuhmanae ka tawn e tami ni a pahni hoi a hro teh, a lung thung dumyennae hah a hro.
25 Ingawa maneno yake huvutia, usimwamini, kwa maana machukizo saba hujaza moyo wake.
Pahren lahoi, ati ei nakunghai yuem hanh, bangkongtetpawiteh a lungthung vah panuettho e sari touh ao.
26 Nia yake ya kudhuru wengine inaweza kufichwa na udanganyifu, lakini uovu wake utafichuliwa kwenye kusanyiko.
A hmuhmanae hah dumnae lahoi ka hrawk nakunghai, thoenae teh tamimaya ni panuenae koe kamnue sak lah ao han.
27 Kama mtu akichimba shimo, atatumbukia ndani yake, kama mtu akivingirisha jiwe, litamrudia.
Tangkom kataikung teh a tai e tangkom dawk a bo han, talung kapaletkung koe talung bout a kamlei han.
28 Ulimi wa uongo, huwachukia wale unaowaumiza, nacho kinywa cha kujipendekeza hutenda uharibifu.
Laithoe ka dei e ni a rektap e naw hah ouk a hmuhma, oupnae kaphawk ni rawknae a tâcokhai.