< Mithali 25 >
1 Hizi ni mithali zaidi za Solomoni, zilizonakiliwa na watu wa Hezekia mfalme wa Yuda:
Soloumone ea malasu meloa dedei eno da goe. Yuda soge hina bagade Hesigaia, amo ea sia: dedesu dunu ilia da bu dedei.
2 Ni Utukufu wa Mungu kuficha jambo, bali ni utukufu wa wafalme kuchunguza jambo.
Gode da hou oda wamolegebeba: le, ninia da Ema nodone dawa: sa. Be hina bagade da hou huluane mae wamolegele ninima olelebeba: le fawane, ilima nodone dawa: sa.
3 Kama mbingu zilivyo juu na nchi ilivyo chini, ndivyo ambavyo mioyo ya wafalme haichunguziki.
Hina bagade dunu ea dawa: su da ninia dawa: mu hamedeidafa. Be ea dawa: su da gadodafa amola hano wayabo lugudu gududafa agoai gala.
4 Ondoa takataka kwenye madini ya fedha, nako ndani yake kutatokea chombo cha mfua fedha.
Dilia da silifa amoga nigima: dialebe amo dodofele fasisia, noga: le momadobe dunu ea liligi amo noga: le nina: hahamonesisu dawa:
5 Ondoa waovu mbele ya mfalme, nacho kiti chake cha enzi kitaimarishwa kwa njia ya haki.
Wadela: i fada: i sia: su dunu da hina bagade ea hou wadela: sa. Be amo dunu fadegale fasisia, hina bagade da ea fi noga: le ouligimu.
6 Usijikweze mwenyewe mbele ya mfalme, wala usidai nafasi miongoni mwa watu wakuu;
Di da hina bagade amo ba: la masea, di da asabole fonoboi dunu agoai ba: mu da defea. Di da mimogo gasa bagade ba: ma: ne mae ogogoma.
7 ni afadhali yeye akuambie, “Njoo huku juu,” kuliko yeye kukuaibisha mbele ya mkuu. Kile ulichokiona kwa macho yako
Dunu ilia da di fa: no aligi sogebi fisili, bisili aligi sogebi amoga heda: ma: ne sia: mu da defea. Be ilia dima bisili aligi sogebi amo fisili, gudu sa: ili, fa: no aligi sogebi masa: ne sia: sea, di da gogosiamu.
8 usiharakishe kukipeleka mahakamani, maana utafanya nini mwishoni kama jirani yako atakuaibisha?
Di da dia ba: i liligi amo hedolowane mae fofada: ma. Amola dunu enoga dia sia: gufuli salasea, dia da adi hamoma: bela: ?
9 Kama ukifanya shauri na jirani yako, usisaliti siri ya mtu mwingine,
Dia na: iyado alia da: i dioi amo sia: dasea, alisudafa olofole ado sa: ima. Amola amo sia: dunu enoma mae adole ima.
10 ama yeye aisikiaye aweza kukuaibisha na kamwe sifa yako mbaya haitaondoka.
Di da amo sia: hame wamolegesea, dunu eno huluane da dawa: digili, sia: da bagade heda: mu amola di da sia: ouligisu hou hame dawa: ilia dawa: mu. Amasea, di da mae fisili, gogosiane esalumu.
11 Neno lisemwalo kwa wakati ufaao ni kama matunda ya mtofaa ya dhahabu yaliyowekwa kwenye vijalizo vya fedha.
Dawa: su noga: i amo eno dunuma dawa: ma: ne olelesea, amo da gouli dededei amo silifa bai amoma madelagilisi agoane gala.
12 Kama vile kipuli cha dhahabu au pambo la dhahabu safi, ndivyo lilivyo karipio la mtu mwenye hekima kwa sikio lisikilizalo.
Noga: le dawa: su dunu da nabimusa: hanai dunu amoma sisane sia: sea, amo hou da noga: idafaba: le, gegagulu gouliga hahamoi amo baligisa.
13 Kama vile ubaridi wa theluji wakati wa mavuno ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwa wale wamtumao, huburudisha roho za bwana zake.
Asunasisu dunu da sia: noga: le alofele iasu dunu ea hou amo hano nanu anegagi hisi agoai ba: sa.
14 Kama vile mawingu na upepo pasipo mvua ndivyo alivyo mtu ajisifuye kwa zawadi ambazo hatoi.
Nowa dunu da udigili liligi imunusa: sia: sea be hame iasea, e da fo amola mobi gilisili mabe agoai, be gibu da dabe hame ba: sa.
15 Kwa njia ya uvumilivu mtawala aweza kushawishiwa, nao ulimi laini waweza kuvunja mfupa.
Di da noga: le gebe dadawa: le sia: sea, dunu da musa: gelalu, ilia hou bu afadenene, bu dafawaneyale dawa: mu. Hina bagade dunu amolawane da dia sia: dafawaneyale dawa: mu.
16 Ukipata asali, kula kiasi tu cha kukutosha, ukila zaidi, utatapika.
Di da agime ea hano dosogele mae moma. Be di da dosogele nasea, di da isomu.
17 Ingiza mguu wako nyumbani kwa jirani yako mara chache, ukizidisha, atakukinai na atakuchukia.
Dia na: iyado ema fofoya sofe mae afufuma. Agoane hamosea, dia na: iyado da dia momafubi ba: i helesea, dima higamu.
18 Kama vile rungu au upanga au mshale mkali ndivyo alivyo mtu atoaye ushuhuda wa uongo dhidi ya jirani yake.
Gasulusu sia: da gegesu gobihei bagade amola gigi amola dadi agesoi defele medosu liligi agoai ba: sa.
19 Kama vile jino bovu au mguu uliolemaa, ndivyo ilivyo kumtegemea mtu asiye mwaminifu wakati wa shida.
Didili hame hamosu dunu da se nabasu doaga: sea, e da dunu eno noga: le hame fidisa. Be di da didili hame hamosu dunu da di noga: le fidimu amo dafawaneyale dawa: sea, amo da bese wagoi amoga ha: i nabe amola emo gasuga: igi amoga ahoabe agoai ba: sa.
20 Kama vile avuaye mavazi siku ya baridi, au kama siki iliyomwagwa juu ya magadi, ndivyo alivyo yeye amuimbiaye nyimbo mtu mwenye moyo mzito.
Di da da: i dioi nabasu dunu ema gesami hea: le gala: sea, e da se nabimu. Di da asugi esala lalu houlalebe dunu ema anegagi esoga ea abula gisa: le, o dunu ea fa: gi da: iya sali legesea, seselebe, amo hou defele ba: sa.
21 Kama adui yako ana njaa, mpe chakula ale; kama ana kiu, mpe maji anywe.
Dia ha lai dunu da ha: i galea, ha: i manu ima. Amola e hano hanai galea, hano moma: ne ema dili ima.
22 Kwa kufanya hivyo, unaweka makaa ya moto yanayowaka kichwani pake, naye Bwana atakupa thawabu.
Amasea, e da da: i dia: ne gogosiamu. Amola Hina Gode da dima bidi imunu.
23 Kama vile upepo wa kaskazini uletavyo mvua, ndivyo ulimi usingiziao uletavyo uso wa hasira.
Baligidu sia: su da foga gibu mini mabe agoai, ougi hou gaguli maha.
24 Ni afadhali kuishi pembeni mwa paa la nyumba, kuliko kuishi nyumba moja na mke mgomvi.
Dunu e da gesa: gesa: i udala gilisili fimu da gasa bagade. Dunu hisu diasu dabua mogoa gado fifi lamu amo ea hou da amo baligisa.
25 Kama vile maji baridi kwa nafsi iliyochoka ndivyo zilivyo habari njema kutoka nchi ya mbali.
Sia: ida: iwane gala soge sedaga ganini maha da mage hafoga: iba: le hano nanu anegagi hisi agoai ba: sa.
26 Kama vile chemchemi iliyotibuliwa matope au kisima kilichotiwa taka ndivyo alivyo mtu mwenye haki akishiriki na waovu.
Moloidafa dunu da dafane, wadela: i hamosu dunu ilia sia: nabasea, amo hou da gu hano ubagei amola hano nasu ulidou ganodini hai amo agoai ba: sa.
27 Si vyema kula asali nyingi sana, wala si heshima kujitafutia heshima yako mwenyewe.
Agime hano dosogele nasea, di da dia hou wadela: lesimu. Amola di da dunu enoga dia hou ofa: ma: ne hogoi helesea, amo da dia hou wadela: lesimu.
28 Kama vile mji ambao kuta zake zimebomoka ndivyo alivyo mtu ambaye hawezi kujitawala mwenyewe.
Dia mihanasu hou gumimusa: hame dawa: sea, di da gasa hame moilai bai bagade amo ea gagoi da mugululi sa: i agoai ba: sa.