< Mithali 20 >

1 Mvinyo ni mdhihaki na kileo ni mgomvi; yeyote apotoshwaye navyo hana hekima.
Viini on pilkkaaja, väkijuoma remunpitäjä; eikä ole viisas kenkään, joka siitä hoipertelee.
2 Ghadhabu ya mfalme ni kama ngurumo ya simba; yeye amkasirishaye hupoteza uhai wake.
Kuninkaan peljättäväisyys on kuin nuoren leijonan kiljunta; joka hänet vihoittaa, se henkensä rikkoo.
3 Ni kwa heshima ya mtu kujitenga ugomvi, bali kila mpumbavu ni mwepesi kugombana.
On kunniaksi miehelle riitaa karttaa, mutta kaikki hullut riitaa haastavat.
4 Mvivu halimi kwa majira; kwa hiyo wakati wa mavuno hutazama lakini hapati chochote.
Syksyllä ei laiska kynnä; elonaikana hän tyhjää tapailee.
5 Makusudi ya moyo wa mwanadamu ni maji yenye kina, lakini mtu mwenye ufahamu huyachota.
Kuin syvät vedet ovat miehen sydämen aivoitukset, mutta ymmärtäväinen mies ne ammentaa esiin.
6 Watu wengi hujidai kuwa na upendo usiokoma, bali mtu mwaminifu ni nani awezaye kumpata?
Monet huutavat hyvyyttänsä kukin, mutta kuka löytää luotettavan miehen?
7 Mtu mwenye haki huishi maisha yasiyo na lawama, wamebarikiwa watoto wake baada yake.
Vanhurskas vaeltaa nuhteettomasti, onnelliset ovat lapset hänen jälkeensä.
8 Wakati mfalme aketipo katika kiti chake cha enzi kuhukumu, hupepeta ubaya wote kwa macho yake.
Kuningas istuu tuomioistuimella, hän silmillänsä perkaa kaiken pahan pois.
9 Ni nani awezaye kusema, “Nimeuweka moyo wangu safi; mimi ni safi na sina dhambi?”
Kuka voi sanoa: "Olen puhdistanut sydämeni, olen puhdas synnistäni"?
10 Mawe ya kupimia yaliyo tofauti na vipimo tofauti, Bwana huchukia vyote viwili.
Kahtalainen paino ja kahtalainen mitta-molemmat ovat Herralle kauhistus.
11 Hata mtoto hujulikana kwa matendo yake, kama tabia yake ni safi na adili.
Teoistansa tuntee jo poikasenkin, onko hänen menonsa puhdas ja oikea.
12 Masikio yasikiayo na macho yaonayo, Bwana ndiye alivifanya vyote viwili.
Kuulevan korvan ja näkevän silmän-molemmat on Herra luonut.
13 Usiupende usingizi la sivyo utakuwa maskini, uwe macho nawe utakuwa na chakula cha akiba.
Älä unta rakasta, ettet köyhtyisi; pidä silmäsi auki, niin saat leipää kyllin.
14 “Haifai, haifai!” asema mnunuzi, kisha huondoka akijisifia ununuzi wake.
"Huonoa, huonoa", sanoo ostaja, mutta mentyänsä pois hän kehuskelee.
15 Dhahabu kunayo, na marijani kwa wingi, lakini midomo inenayo maarifa ni kito cha thamani kilicho adimu.
Olkoon kultaa, olkoon helmiä paljon, kallein kalu ovat taidolliset huulet.
16 Chukua vazi la yule awekaye dhamana kwa ajili ya mgeni; lishikilie iwe dhamana kama anafanya hivyo kwa ajili ya mwanamke mpotovu.
Ota siltä vaatteet, joka toista takasi, ja ota häneltä pantti vieraitten puolesta.
17 Chakula kilichopatikana kwa hila ni kitamu kwa mwanadamu, bali huishia na kinywa kilichojaa changarawe.
Makea on miehelle petoksella saatu leipä, mutta perästäpäin hän saa suunsa täyteen soraa.
18 Fanya mipango kwa kutafuta mashauri, ukipigana vita, tafuta maelekezo.
Neuvotellen suunnitelmat vahvistuvat, ja sotaa on sinun käytävä neuvokkuudella.
19 Maneno ya kusengenya husababisha kutokuaminika, kwa hiyo mwepuke mtu anayezungumza kupita kiasi.
Salaisuuden ilmaisee, joka panettelijana käy; älä siis antaudu avosuisen pariin.
20 Ikiwa mtu atamlaani baba yake au mama yake, taa yake itazimwa katika giza nene.
Joka isäänsä ja äitiänsä kiroaa, sen lamppu sammuu pilkkopimeään.
21 Urithi upatikanao haraka mwanzoni, hautabarikiwa mwishoni.
Tavara, jota aluksi kiivaasti tavoitellaan, ei lopulta tuo siunausta.
22 Usiseme, “Nitakulipiza kwa ajili ya kosa hili!” Mngojee Bwana, naye atakuokoa.
Älä sano: "Minä kostan pahan"; odota Herraa, hän auttaa sinua.
23 Bwana anachukia sana mawe ya kupimia ya udanganyifu, nazo mizani zisizo halali hazimpendezi.
Kahtalainen paino on Herralle kauhistus, ja väärä vaaka ei ole hyvä.
24 Hatua za mtu huongozwa na Bwana. Anawezaje basi mtu yeyote kuelewa njia yake mwenyewe?
Herralta tulevat miehen askeleet; mitäpä ymmärtäisi tiestänsä ihminen itse?
25 Ni mtego kwa mtu kuweka wakfu kitu kwa haraka na baada ya kitambo kidogo kufikiria tena nadhiri zake.
Ihmiselle on ansaksi luvata hätiköiden pyhä lahja ja vasta perästäpäin harkita lupauksiansa.
26 Mfalme mwenye hekima hupepeta waovu, hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.
Viisas kuningas perkaa jumalattomat pois viskimellään ja antaa puimajyrän käydä heidän ylitsensä.
27 Taa ya Bwana huchunguza roho ya mwanadamu, huchunguza utu wake wa ndani.
Ihmisen henki on Herran lamppu: se tutkistelee sydämen kammiot kaikki.
28 Upendo na uaminifu humweka mfalme salama, kwa njia ya upendo, kiti chake cha enzi huwa salama.
Laupeus ja uskollisuus on kuninkaan turva, ja laupeudella hän valtaistuimensa tukee.
29 Utukufu wa vijana ni nguvu zao, mvi ni fahari ya uzee.
Voima on nuorukaisen kunnia, ja harmaat hapset ovat vanhusten kaunistus.
30 Mapigo na majeraha huusafisha ubaya, nayo michapo hutakasa utu wa ndani.
Mustelmat ja haavat puhdistavat pahantekijän, lyönnit puhdistavat sydämen kammiot.

< Mithali 20 >