< Mithali 20 >
1 Mvinyo ni mdhihaki na kileo ni mgomvi; yeyote apotoshwaye navyo hana hekima.
Vino je podsmjevač, žestoko piće bukač, i tko se njima odaje neće steći mudrosti.
2 Ghadhabu ya mfalme ni kama ngurumo ya simba; yeye amkasirishaye hupoteza uhai wake.
Kraljev je gnjev kao rika lavlja: tko ga izaziva, griješi protiv sebe samog.
3 Ni kwa heshima ya mtu kujitenga ugomvi, bali kila mpumbavu ni mwepesi kugombana.
Čast je čovjeku ustegnuti se od raspre, a tko je bezuman počinje svađu.
4 Mvivu halimi kwa majira; kwa hiyo wakati wa mavuno hutazama lakini hapati chochote.
Lijenčina u jesen ne ore: u doba žetve on traži, i ništa nema.
5 Makusudi ya moyo wa mwanadamu ni maji yenye kina, lakini mtu mwenye ufahamu huyachota.
Savjet je u srcu čovječjem voda duboka i razuman će je čovjek iscrpsti.
6 Watu wengi hujidai kuwa na upendo usiokoma, bali mtu mwaminifu ni nani awezaye kumpata?
Mnogi se naziva dobrim čovjekom, ali tko će naći vjerna čovjeka?
7 Mtu mwenye haki huishi maisha yasiyo na lawama, wamebarikiwa watoto wake baada yake.
Pravednik hodi u bezazlenosti svojoj: blago sinovima njegovim poslije njega!
8 Wakati mfalme aketipo katika kiti chake cha enzi kuhukumu, hupepeta ubaya wote kwa macho yake.
Kralj koji sjedi na stolici sudačkoj istražuje svako zlo svojim očima.
9 Ni nani awezaye kusema, “Nimeuweka moyo wangu safi; mimi ni safi na sina dhambi?”
Tko može reći: “Očistih srce svoje, oprah se od grijeha svoga?”
10 Mawe ya kupimia yaliyo tofauti na vipimo tofauti, Bwana huchukia vyote viwili.
Dvojaki utezi i dvojaka mjera mrski su Jahvi podjednako.
11 Hata mtoto hujulikana kwa matendo yake, kama tabia yake ni safi na adili.
I dijete se poznaje po onome što čini, je li čisto i pravedno djelo njegovo.
12 Masikio yasikiayo na macho yaonayo, Bwana ndiye alivifanya vyote viwili.
I uho koje čuje i oko koje vidi, oboje je Jahve načinio.
13 Usiupende usingizi la sivyo utakuwa maskini, uwe macho nawe utakuwa na chakula cha akiba.
Ne ljubi sna, da ne osiromašiš; otvori oči svoje i nasitit ćeš se kruha.
14 “Haifai, haifai!” asema mnunuzi, kisha huondoka akijisifia ununuzi wake.
“Loše, loše”, govori kupac, a kad ode, hvali se dobrom kupovinom.
15 Dhahabu kunayo, na marijani kwa wingi, lakini midomo inenayo maarifa ni kito cha thamani kilicho adimu.
Ima zlata i mnogih bisera, ali su mudre usne najdragocjeniji nakit.
16 Chukua vazi la yule awekaye dhamana kwa ajili ya mgeni; lishikilie iwe dhamana kama anafanya hivyo kwa ajili ya mwanamke mpotovu.
Uzmi haljinu onomu tko je jamčio za drugoga; oplijeni njega umjesto tuđinca.
17 Chakula kilichopatikana kwa hila ni kitamu kwa mwanadamu, bali huishia na kinywa kilichojaa changarawe.
Sladak je čovjeku kruh prijevare, ali mu se usta poslije napune pijeskom.
18 Fanya mipango kwa kutafuta mashauri, ukipigana vita, tafuta maelekezo.
Naumi se provode savjetom: zato dobro razmisli pa vodi boj!
19 Maneno ya kusengenya husababisha kutokuaminika, kwa hiyo mwepuke mtu anayezungumza kupita kiasi.
Tko okolo kleveće, otkriva tajne: zato se ne miješaj s onim komu su usne uvijek otvorene.
20 Ikiwa mtu atamlaani baba yake au mama yake, taa yake itazimwa katika giza nene.
Tko kune oca svoga i majku svoju svjetiljka mu se gasi usred tmine.
21 Urithi upatikanao haraka mwanzoni, hautabarikiwa mwishoni.
Od početka brzo stečeno imanje na koncu nije blagoslovljeno.
22 Usiseme, “Nitakulipiza kwa ajili ya kosa hili!” Mngojee Bwana, naye atakuokoa.
Nemoj govoriti: “Osvetit ću se za zlo”; čekaj Jahvu, i on će te spasiti.
23 Bwana anachukia sana mawe ya kupimia ya udanganyifu, nazo mizani zisizo halali hazimpendezi.
Mrski su Jahvi dvojaki utezi, i kriva mjera ne valja.
24 Hatua za mtu huongozwa na Bwana. Anawezaje basi mtu yeyote kuelewa njia yake mwenyewe?
Od Jahve su koraci čovječji, i kako da čovjek razumije svoj put?
25 Ni mtego kwa mtu kuweka wakfu kitu kwa haraka na baada ya kitambo kidogo kufikiria tena nadhiri zake.
Zamka je čovjeku nesmotreno reći: “Ovo je sveto”, a poslije promišljati što je zavjetovao.
26 Mfalme mwenye hekima hupepeta waovu, hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.
Mudar kralj umije izlučiti opake i stavlja ih pod točkove.
27 Taa ya Bwana huchunguza roho ya mwanadamu, huchunguza utu wake wa ndani.
Svjetiljka je Gospodnja duh čovječji: ona istražuje sve do dna utrobe.
28 Upendo na uaminifu humweka mfalme salama, kwa njia ya upendo, kiti chake cha enzi huwa salama.
Dobrota i vjernost čuvaju kralja, jer dobrotom utvrđuje prijestol svoj.
29 Utukufu wa vijana ni nguvu zao, mvi ni fahari ya uzee.
Ljepota je mladićima njihova snaga, a starcima je ures sijeda kosa.
30 Mapigo na majeraha huusafisha ubaya, nayo michapo hutakasa utu wa ndani.
Krvave masnice očiste zlo i udarci pročiste odaje utrobe.