< Mithali 2 >
1 Mwanangu, kama utayakubali maneno yangu na kuyaweka akiba maagizo yangu ndani mwako,
Sine moj, ako primiš moje riječi i pohraniš u sebi moje zapovijedi,
2 kutega sikio lako kwenye hekima na kuweka moyo wako katika ufahamu,
i uhom svojim osluhneš mudrost i obratiš svoje srce razboru;
3 na kama ukiita busara na kuita kwa sauti ufahamu,
jest, ako prizoveš razum i zavapiš za razborom;
4 na kama utaitafuta kama fedha na kuitafuta sana kama hazina iliyofichwa,
ako ga potražiš kao srebro i tragaš za njim kao za skrivenim blagom -
5 ndipo utakapoelewa kumcha Bwana na kupata maarifa ya Mungu.
tada ćeš shvatiti strah Gospodnji i naći ćeš Božje znanje.
6 Kwa maana Bwana hutoa hekima, na kinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu.
Jer Jahve daje mudrost, iz njegovih usta dolazi znanje i razboritost.
7 Anahifadhi ushindi kwa ajili ya mwadilifu, yeye ni ngao kwa wale wasio na lawama,
On pravednicima pruža svoju pomoć, štit je onih koji hode u bezazlenosti.
8 kwa kuwa hulinda mwenendo wa mwenye haki na kuhifadhi njia ya waaminifu wake.
Jer on štiti staze pravde i čuva pute svojih pobožnika.
9 Ndipo utafahamu lipi lililo kweli na haki na sawa: yaani kila njia nzuri.
Tada ćeš shvatiti pravdu, pravicu, pravednost i sve staze dobra,
10 Kwa maana hekima itaingia moyoni mwako, nayo maarifa yataifurahisha nafsi yako.
jer će mudrost ući u tvoje srce i spoznaja će obradovati tvoju dušu.
11 Busara itakuhifadhi na ufahamu utakulinda.
Oprez će paziti na te i razboritost će te čuvati:
12 Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu, kutoka kwa watu ambao maneno yao yamepotoka,
da te izbavi od zla puta, od varava čovjeka,
13 wale waachao mapito yaliyonyooka wakatembea katika njia za giza,
od onih koji ostavljaju staze poštenja te idu mračnim putovima;
14 wale wapendao kutenda mabaya na kufurahia upotovu wa ubaya,
koji se vesele čineći zlo i likuju u opačinama zloće;
15 ambao mapito yao yamepotoka na ambao ni wapotovu katika njia zao.
kojih su staze krive i koji su opaki na svojim putovima;
16 Itakuokoa pia kutokana na mwanamke kahaba, kutokana na mke aliyepotoka mwenye maneno ya kushawishi kutenda ubaya,
da te izbavi od preljubnice i od tuđinke koja laska riječima;
17 aliyemwacha mwenzi wa ujana wake na kupuuza agano alilofanya mbele ya Mungu.
koja ostavlja prijatelja svoje mladosti i zaboravlja zavjet svoga Boga
18 Kwa maana nyumba yake huelekea kwenye kifo na mapito yake kwenye roho za waliokufa.
jer joj kuća tone u smrt i njezini putovi vode mrtvima.
19 Hakuna yeyote aendaye kwake akarudi, au kufikia mapito ya uzima.
Tko god zalazi k njoj ne vraća se nikad i ne nalazi više putove života.
20 Hivyo utatembea katika njia za watu wema na kushikamana na mapito ya wenye haki.
Zato idi putem čestitih i drži se staza pravedničkih!
21 Kwa maana wanyofu wataishi katika nchi, nao wasio na lawama watabakia ndani yake.
Jer samo će pravedni nastavati zemlju i bezazleni će ostati na njoj.
22 Bali waovu watakatiliwa mbali kutoka nchi, nao wasio waaminifu watangʼolewa kutoka humo.
A opake će zbrisati sa zemlje i bogohulnike iščupati iz nje.