< Mithali 2 >
1 Mwanangu, kama utayakubali maneno yangu na kuyaweka akiba maagizo yangu ndani mwako,
Ka capa, ka lawk hah ngâi nateh, kaie kâpoelawknaw e hah na lungthung vah na pâkuem pawiteh,
2 kutega sikio lako kwenye hekima na kuweka moyo wako katika ufahamu,
Lungangnae koe lah na hnâpakeng nateh, na thai panuek nahanelah na lungthin na poe pawiteh,
3 na kama ukiita busara na kuita kwa sauti ufahamu,
Kapek thai nahanelah na kaw teh, thaipanueknae tawn hanelah na hram pawiteh,
4 na kama utaitafuta kama fedha na kuitafuta sana kama hazina iliyofichwa,
ngun patetlah na tawng teh, hro e hno patetlah na tawng pawiteh,
5 ndipo utakapoelewa kumcha Bwana na kupata maarifa ya Mungu.
BAWIPA takinae na panue vaiteh, Cathut panuenae hah na hmu han.
6 Kwa maana Bwana hutoa hekima, na kinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu.
Bangkongtetpawiteh, BAWIPA ni lungangnae a poe teh, a pahni hoi panuenae hoi thaipanueknae hah ouk a tâco sak.
7 Anahifadhi ushindi kwa ajili ya mwadilifu, yeye ni ngao kwa wale wasio na lawama,
Tamikalannaw hanelah lungangnae katang hah a pâkhueng pouh teh, kalan lah kacetnaw hanelah bahling lah ao.
8 kwa kuwa hulinda mwenendo wa mwenye haki na kuhifadhi njia ya waaminifu wake.
Kângingnae lam hah a ring teh, a tamikathoungnaw e lamthung hah a ngue pouh.
9 Ndipo utafahamu lipi lililo kweli na haki na sawa: yaani kila njia nzuri.
Hottelahoi, kângingnae hoi lannae na thaipanuek vaiteh, ngaima tawnhoehnae hoi kahawi e lamthung hai na panue han.
10 Kwa maana hekima itaingia moyoni mwako, nayo maarifa yataifurahisha nafsi yako.
Na lungthin dawk lungangnae a kâen toteh, panuenae teh, na hringnae kanawm sakkung lah ao han.
11 Busara itakuhifadhi na ufahamu utakulinda.
Poukpanueknae ni na ngue vaiteh, thaipanueknae ni na ring han.
12 Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu, kutoka kwa watu ambao maneno yao yamepotoka,
Tamikathoutnaw e lamthung dawk hoi na rungngang han. Lawk longkawi lah ka dei e,
13 wale waachao mapito yaliyonyooka wakatembea katika njia za giza,
Lannae lamthung ka pahnawt niteh, hmonae lamthung dawn hanelah ka cet e,
14 wale wapendao kutenda mabaya na kufurahia upotovu wa ubaya,
thoenae saknae dawk lungkahawi e, tamikathout lanhoehnae dawk a lungkahawi e,
15 ambao mapito yao yamepotoka na ambao ni wapotovu katika njia zao.
Lam longkawi ka dawn niteh, a lamthung dawk yuemkamcu hoeh e,
16 Itakuokoa pia kutokana na mwanamke kahaba, kutokana na mke aliyepotoka mwenye maneno ya kushawishi kutenda ubaya,
Kahlong lae napui hoi pasawtpanep lawk ka hno e,
17 aliyemwacha mwenzi wa ujana wake na kupuuza agano alilofanya mbele ya Mungu.
A naw nah hui ka cettakhai niteh, a Cathut lawkkam kapahnimnaw koehoi nang hah na rungngang han.
18 Kwa maana nyumba yake huelekea kwenye kifo na mapito yake kwenye roho za waliokufa.
Bangkongtetpawiteh, ahnie im ni duenae koe lah a hrawi teh, ahnie lam ni tamikadoutnaw koelah a pâtam.
19 Hakuna yeyote aendaye kwake akarudi, au kufikia mapito ya uzima.
Ahni koe kacetnaw teh ban boihoeh toe. Hringnae lam hah dawn boi awh hoeh toe.
20 Hivyo utatembea katika njia za watu wema na kushikamana na mapito ya wenye haki.
Nang teh tamikahawinaw e lamthung na dawn vaiteh, lannae lamthung pou na dawn thai nahane doeh.
21 Kwa maana wanyofu wataishi katika nchi, nao wasio na lawama watabakia ndani yake.
Bangkongtetpawiteh, tamikalan teh ram dawk kho a sak vaiteh, tami kakuep teh hawvah pou ao han.
22 Bali waovu watakatiliwa mbali kutoka nchi, nao wasio waaminifu watangʼolewa kutoka humo.
Hatei, tamikathout teh talai van hoi takhoe lah awm vaiteh, yuemkamcu hoeh naw hah phawk lah ao awh han.