< Mithali 19 >

1 Afadhali mtu maskini ambaye mwenendo wake hauna lawama, kuliko mpumbavu ambaye midomo yake imepotoka.
Di da hame gaguiwane be moloidafa esalumu da defea. Be di da gagaoui ogogosu dunu agoai ba: mu da defea hame.
2 Sio vizuri kuwa na juhudi bila maarifa, wala kufanya haraka na kuikosa njia.
Di da dawa: su hame galea, be hahawane mae dawa: le momabo hamomusa: dawa: sea, amo da defea hame galebe. Amane hamosea, di da se nabimu.
3 Upumbavu wa mtu mwenyewe huharibu maisha yake hata hivyo moyo wake humkasirikia Bwana.
Dunu mogili da hi hanai hou hamobeba: le, wadela: lesi dagoi ba: sa. Amasea, ilia da udigili, “Hina Gode da na wadela: lesi dagoi,” amane sia: sa.
4 Mali huleta marafiki wengi, bali rafiki wa mtu maskini humwacha.
Dunu bagohame ilia bagade gagui dunu ilima dogolegemusa: dawa: Be hame gagui dunu da dogolegei bagahame fawane gala, amola ilia dogolegei da ili hedolo yolesisa.
5 Shahidi wa uongo hataacha kuadhibiwa, naye amwagaye uongo hataachwa huru.
Dia fofada: nana amo ganodini ogogosea, di da se iasu ba: mu. Amola hobeamu logo hame ba: mu.
6 Wengi hujipendekeza kwa mtawala na kila mmoja ni rafiki wa mtu atoaye zawadi.
Dunu huluane da mimogoa dunu amo ilia nodoi ba: ma: ne hamosa. Amola dunu huluane da dunu amo da ilima hahawane dogolegele iaha, amo dunuma dogolegemusa: dawa:
7 Mtu maskini huepukwa na ndugu zake wote: Je, marafiki zake watamkwepa kiasi gani! Ingawa huwafuata kwa kuwasihi, hawapatikani popote.
Dunu huluane amola ea sosogo fi da hame gagui dunu amo hame dogolegesa. E da dogolegei dunu hogoi helele, hamedafa ba: sa.
8 Yeye apataye hekima huipenda nafsi yake mwenyewe, yeye ahifadhiye ufahamu hustawi.
Dina: di fidima! Dawa: su hou hogoi helema! Amasea, dia dawa: lai amo mae gogolema. Amasea, di da bagade gaguiwane ba: mu.
9 Shahidi wa uongo hataacha kuadhibiwa, naye amwagaye uongo ataangamia.
Nowa da fofada: su ganodini ogogosea, e da se iasu amoga hobeale masunu logo hame ba: mu. E da se iasu dafawanedafa ba: mu
10 Haistahili mpumbavu kuishi katika anasa, itakuwa vibaya kiasi gani kwa mtumwa kuwatawala wakuu.
Gagaoui dunu da liligi noga: idafa gaguli esalumu da defea hame. Amola udigili hawa: hamosu dunu da hina bagade ilia mano amoma hinawane esalumu da defea hame.
11 Hekima ya mtu humpa uvumilivu, ni kwa utukufu wake kusamehe makosa.
Dawa: su dunu da ea mihanasea hedolo hedofasu dawa: Dunu da dima wadela: le hamosea, amo mae dawa: le, gogolema: ne olofomu da noga: idafa.
12 Ghadhabu ya mfalme ni kama mngurumo wa simba, bali wema wake ni kama umande juu ya nyasi.
Hina bagade ea ougi hou da laione wa: me ea gesenesu bagade agoane, be ea hahawane fidisu hou da gibu noga: le dabe agoai ba: sa.
13 Mwana mpumbavu ni maangamizi ya babaye, naye mke mgomvi ni kama kutonatona kusikoisha.
Gagaoui mano da ea eda bagadewane gugunufinisimu. Amola gesa: gesa: i uda ea hou da hano dadadibi agoai gala.
14 Nyumba na mali hurithiwa kutoka kwa wazazi, bali mke mwenye busara hutoka kwa Bwana.
Dunu da diasu amola muni amo ea sosogo ilima nana labe dawa: Be Hina Gode Hifawane da uda amo da dawa: su noga: idafa gala, ema imunusa: dawa:
15 Uvivu huleta usingizi mzito, naye mtu mzembe huona njaa.
Di da hihi dabuli hou hanai galea, defea, udigili hihiwane esalu golabada. Be di da ha: i bagade ba: mu.
16 Yeye ambaye hutii mafundisho huulinda uhai wake, bali yeye anayezidharau njia zake atakufa.
Gode Ea sema nabawane hamosea, di da fifi asi sedagimu. Be Gode Ea sema amo dia higasea, di da hedolo bogomu.
17 Yeye amhurumiaye maskini humkopesha Bwana, naye atamtuza kwa aliyotenda.
Di da hame gagui dunu ilima iasea, amo da Hina Gode Ema fa: no bu lamusa: iasu defele agoai gala. Amola Hina Gode da dia iasu defele dima dabe imunu.
18 Mrudi mwanao, kwa maana katika hiyo kuna tumaini, usiwe mshirika katika mauti yake.
Dia mano ilia manohadi esoga dawa: lamusa: dawa: beba: le, ilima dawa: ma: ne se iasu ima. Hame amasea, di da ilisu ilila: wadela: lesima: ne fidisa.
19 Mtu mwenye kukasirika haraka ni lazima atapata adhabu yake, kama utamwokoa, itakubidi kufanya hivyo tena.
Hedolo mi hanasu dunu amo e da ea hamoi defele se nabimu da defea. Amaiwane dunu mae gaga: ma. Di da eso enoga amo hou bu hamosa: besa: le, mae gaga: ma.
20 Sikiliza mashauri na ukubali mafundisho, nawe mwishoni utakuwa na hekima.
Di da fada: i sia: noga: le nabasea amola bu noga: le dawa: ma: ne hanai galea, di da fa: no bagade dawa: su dunu agoane esalumu.
21 Kuna mipango mingi ndani ya moyo wa mtu, lakini kusudi la Bwana ndilo litakalosimama.
Dunu da ilia hanai liligi hamomusa: ilegesa. Be Gode Ea hanaiga dawa: i amo fawane hamoi dagoi ba: mu.
22 Lile mtu alionealo shauku ni upendo usio na mwisho, afadhali kuwa maskini kuliko kuwa mwongo.
Uasu hou da gogosiasu agoai gala. Hame gagui dunu ilia hou da ogogosu dunu ilia hou baligisa.
23 Kumcha Bwana huongoza kwenye uzima, kisha mtu hupumzika akiwa ameridhika, bila kuguswa na shida.
Di da Hina Godema nabasu hou hamosea, esalusu sedade ba: mu. Amola di da gaga: le hahawane esalumu.
24 Mtu mvivu hutumbukiza mkono wake kwenye sahani, lakini hawezi hata kuupeleka kwenye kinywa chake!
Dunu mogili da baligili hihi dabuliba: le, ilia ha: i manu loboga lale manu higasa.
25 Mpige mwenye mzaha, naye mjinga atajifunza busara, mkemee mwenye ufahamu naye atapata maarifa.
Gasa fi hame dawa: su dunu ilima dawa: ma: ne se imunu da defea. Amasea, dawa: su hame dunu ilia da houdafa dawa: mu. Di da bagade dawa: su galea, dunu eno da dima dawa: ma: ne olelesea, di da dawa: lamu.
26 Yeye amwibiaye baba yake na kumfukuza mama yake ni mwana aletaye aibu na fedheha.
Nowa da edama giadofale hamosea o ea ame ea diasuga mae esaloma: ne sefasisia, amo da wadela: le gugunufinisisu dunu.
27 Mwanangu, ukiacha kusikiliza mafundisho, utatangatanga mbali na maneno ya maarifa.
Nagofe! Di da dawa: lamusa: hogolalu yolesea, di da dia musa: dawa: lai amola bu gogolemu.
28 Shahidi mla rushwa hudhihaki hukumu na kinywa cha mtu mwovu humeza ubaya kwa upesi.
Giadofabe ba: su dunu da eno dunuma se imunusa: dawa: sea, moloidafa fofada: su hou da wadela: lesi dagoi ba: sa. Wadela: i hamosu dunu ilia da wadela: i hou hamomu bagade hanai gala.
29 Adhabu zimeandaliwa kwa ajili ya wenye dhihaka na mapigo kwa ajili ya migongo ya wapumbavu.
Gasa fi gagaoui dunu da se nabima: ne fasu dafawane ba: mu.

< Mithali 19 >