< Mithali 12 >

1 Yeyote apendaye kuadibishwa hupenda maarifa, bali yeye achukiaye kuonywa ni mpumbavu.
Whoever ama a correção ama o conhecimento, mas aquele que odeia repreensões é estúpido.
2 Mtu mwema hupata kibali kutoka kwa Bwana, bali Bwana humhukumu mwenye hila.
Um bom homem deve obter favores de Iavé, mas ele condenará um homem de planos perversos.
3 Mtu hathibitiki kutokana na uovu, bali mwenye haki hataondolewa.
Um homem não deve ser estabelecido pela maldade, mas a raiz dos justos não deve ser movida.
4 Mke mwenye tabia nzuri ni taji ya mumewe, bali aaibishaye ni kama uozo katika mifupa ya mumewe.
Uma mulher digna é a coroa de seu marido, mas uma esposa vergonhosa é como uma podridão em seus ossos.
5 Mipango ya mtu mwadilifu ni ya haki, bali ushauri wa mwovu ni udanganyifu.
Os pensamentos dos justos são justos, mas o conselho dos malvados é enganoso.
6 Maneno ya waovu huotea kumwaga damu, bali maneno ya waadilifu huwaokoa.
As palavras dos ímpios são sobre ficar à espera de sangue, mas o discurso dos verticalizados os resgata.
7 Watu waovu huondolewa na kutoweka, bali nyumba ya mwenye haki husimama imara.
Os ímpios são derrubados e não são mais, mas a casa dos justos deve permanecer de pé.
8 Mtu husifiwa kulingana na hekima yake, bali watu wenye akili zilizopotoka hudharauliwa.
Um homem deve ser elogiado de acordo com sua sabedoria, mas aquele que tem a mente deformada será desprezado.
9 Heri mtu wa hali ya chini mwenye mtumishi, kuliko kujifanya mtu wa hali ya juu nawe huna chakula.
Melhor é aquele que é pouco conhecido, e tem um criado, do que aquele que se homenageia e carece de pão.
10 Mtu mwenye haki hujali mahitaji ya mnyama wake, bali matendo ya huruma ya mwovu ni ukatili.
Um homem justo respeita a vida de seu animal, mas as ternas misericórdias dos ímpios são cruéis.
11 Yeye alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele, bali yeye afuataye mambo ya upuzi hana akili.
Aquele que cultiva sua terra deve ter muito pão, mas aquele que persegue fantasias é nulo de compreensão.
12 Waovu hutamani mateka ya watu wabaya, bali shina la mwenye haki hustawi.
Os ímpios desejam o saque dos homens maus, mas a raiz dos justos floresce.
13 Mtu mwovu hunaswa kwa mazungumzo yake ya dhambi, bali mwenye haki huepuka taabu.
Um homem mau é apanhado pela pecaminosidade dos lábios, mas os justos devem sair de problemas.
14 Kutokana na tunda la midomo yake mtu hujazwa na mambo mema, hakika kama ilivyo kazi ya mikono yake humtunza.
Um homem deve estar satisfeito com o bem pelo fruto de sua boca. O trabalho das mãos de um homem deve ser recompensado para ele.
15 Njia ya mpumbavu huonekana sawa machoni pake mwenyewe, bali mtu mwenye hekima husikiliza ushauri.
O caminho de um tolo está certo aos seus próprios olhos, mas aquele que é sábio ouve o conselho.
16 Mpumbavu huonyesha kuudhika kwake mara moja, bali mtu wa busara hupuuza matukano.
Um tolo mostra seu aborrecimento no mesmo dia, mas aquele que ignora um insulto é prudente.
17 Shahidi wa kweli hutoa ushuhuda wa kuaminika, bali shahidi wa uongo husema uongo.
He que é sincero atesta honestamente, mas uma falsa testemunha mente.
18 Maneno ya kipumbavu huchoma kama upanga, bali ulimi wa mwenye hekima huleta uponyaji.
Há alguém que fala precipitadamente como o golpe de uma espada, mas a língua dos sábios cura. Os lábios de
19 Midomo isemayo kweli hudumu milele, bali ulimi wa uongo hudumu kwa muda mfupi tu.
Truth serão estabelecidos para sempre, mas uma língua mentirosa é apenas momentânea.
20 Upo udanganyifu katika mioyo ya wale ambao hupanga mabaya, bali kuna furaha kwa wale wanaoleta amani.
O engano está no coração daqueles que conspiram o mal, mas a alegria vem para os promotores da paz.
21 Hakuna dhara linalompata mwenye haki, bali waovu wana taabu nyingi.
Nenhuma maldade acontecerá aos justos, mas os ímpios devem ser cheios de maldade.
22 Bwana anachukia sana midomo idanganyayo, bali hufurahia watu ambao ni wa kweli.
Lábios mentirosos são uma abominação para Yahweh, mas aqueles que fazem a verdade são o seu encanto.
23 Mtu mwenye busara hujihifadhia maarifa yeye mwenyewe, bali moyo wa wapumbavu hububujika upumbavu.
Um homem prudente mantém seu conhecimento, mas os corações dos tolos proclamam loucuras.
24 Mikono yenye bidii itatawala, bali uvivu huishia katika kazi za utumwa.
As mãos dos diligentes devem governar, mas a preguiça acaba em trabalho escravo.
25 Moyo wa wasiwasi humlemea mtu, bali neno la huruma humfurahisha.
A ansiedade no coração de um homem a pesa, mas uma palavra gentil a deixa feliz.
26 Mtu mwenye haki ni mwangalifu katika urafiki, bali njia ya waovu huwapotosha.
Uma pessoa justa é cautelosa na amizade, mas o caminho dos ímpios os leva ao engano.
27 Mtu mvivu haoki mawindo yake, bali mtu mwenye bidii ana mali za thamani.
O homem preguiçoso não assa seu jogo, mas os bens de homens diligentes são valorizados.
28 Katika njia ya haki kuna uzima; katika mapito hayo kuna maisha ya milele.
No caminho da retidão está a vida; em seu caminho não há morte.

< Mithali 12 >