< Mithali 12 >

1 Yeyote apendaye kuadibishwa hupenda maarifa, bali yeye achukiaye kuonywa ni mpumbavu.
Aquele que ama a correção ama o conhecimento; mas aquele que odeia a repreensão é um bruto.
2 Mtu mwema hupata kibali kutoka kwa Bwana, bali Bwana humhukumu mwenye hila.
O homem de bem ganha o favor do SENHOR; mas ao homem de pensamentos perversos, ele o condenará.
3 Mtu hathibitiki kutokana na uovu, bali mwenye haki hataondolewa.
O homem não prevalecerá pela perversidade; mas a raiz dos justos não será removida.
4 Mke mwenye tabia nzuri ni taji ya mumewe, bali aaibishaye ni kama uozo katika mifupa ya mumewe.
A mulher virtuosa é a coroa de seu marido; mas a causadora de vergonha é como uma podridão em seus ossos.
5 Mipango ya mtu mwadilifu ni ya haki, bali ushauri wa mwovu ni udanganyifu.
Os pensamentos dos justos são de bom juízo; [mas] os conselhos dos perversos são enganosos.
6 Maneno ya waovu huotea kumwaga damu, bali maneno ya waadilifu huwaokoa.
As palavras dos perversos são para espreitar [o derramamento de] sangue [de inocentes]; mas a boca dos corretos os livrará.
7 Watu waovu huondolewa na kutoweka, bali nyumba ya mwenye haki husimama imara.
Os perversos serão transtornados, e não existirão [mais]; porém a casa dos justos permanecerá.
8 Mtu husifiwa kulingana na hekima yake, bali watu wenye akili zilizopotoka hudharauliwa.
Cada um será elogiado conforme seu entendimento; mas o perverso de coração será desprezado.
9 Heri mtu wa hali ya chini mwenye mtumishi, kuliko kujifanya mtu wa hali ya juu nawe huna chakula.
Melhor é o que estima pouco a si mesmo mas tem quem o sirva, do que aquele que elogia e si mesmo, mas nem sequer tem pão.
10 Mtu mwenye haki hujali mahitaji ya mnyama wake, bali matendo ya huruma ya mwovu ni ukatili.
O justo dá atenção à vida de seus animais; mas [até] as misericórdias dos perversos são cruéis.
11 Yeye alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele, bali yeye afuataye mambo ya upuzi hana akili.
Aquele que lavra sua terra se saciará de pão; mas o que segue [coisas] inúteis tem falta de juízo.
12 Waovu hutamani mateka ya watu wabaya, bali shina la mwenye haki hustawi.
O perverso deseja armadilhas malignas; porém a raiz dos justos produzirá [seu fruto].
13 Mtu mwovu hunaswa kwa mazungumzo yake ya dhambi, bali mwenye haki huepuka taabu.
O perverso é capturado pela transgressão de seus lábios, mas o justo sairá da angústia.
14 Kutokana na tunda la midomo yake mtu hujazwa na mambo mema, hakika kama ilivyo kazi ya mikono yake humtunza.
Cada um se sacia do bem pelo fruto de sua [própria] boca; e a recompensa das mãos do homem lhe será entregue de volta.
15 Njia ya mpumbavu huonekana sawa machoni pake mwenyewe, bali mtu mwenye hekima husikiliza ushauri.
O caminho do tolo é correto aos seus [próprios] olhos; mas aquele que ouve o [bom] conselho é sábio.
16 Mpumbavu huonyesha kuudhika kwake mara moja, bali mtu wa busara hupuuza matukano.
A ira do tolo é conhecida no mesmo dia, mas o prudente ignora o insulto.
17 Shahidi wa kweli hutoa ushuhuda wa kuaminika, bali shahidi wa uongo husema uongo.
Aquele que fala a verdade conta a justiça; porém a testemunha falsa [conta] o engano.
18 Maneno ya kipumbavu huchoma kama upanga, bali ulimi wa mwenye hekima huleta uponyaji.
Há [alguns] que falam [palavras] como que golpes de espada; porém a língua do sábios é [como] um remédio.
19 Midomo isemayo kweli hudumu milele, bali ulimi wa uongo hudumu kwa muda mfupi tu.
O lábio da verdade ficará para sempre, mas a língua da falsidade [dura] por [apenas] um momento.
20 Upo udanganyifu katika mioyo ya wale ambao hupanga mabaya, bali kuna furaha kwa wale wanaoleta amani.
[Há] engano no coração dos que tramam o mal; mas os que aconselham a paz [têm] alegria.
21 Hakuna dhara linalompata mwenye haki, bali waovu wana taabu nyingi.
Nenhuma adversidade sobrevirá ao justos; mas os perversos se encherão de mal.
22 Bwana anachukia sana midomo idanganyayo, bali hufurahia watu ambao ni wa kweli.
Os lábios mentirosos são abomináveis ao SENHOR, mas dos que falam a verdade são seu prazer.
23 Mtu mwenye busara hujihifadhia maarifa yeye mwenyewe, bali moyo wa wapumbavu hububujika upumbavu.
O homem prudente é discreto em conhecimento; mas o coração dos tolos proclama a loucura.
24 Mikono yenye bidii itatawala, bali uvivu huishia katika kazi za utumwa.
A mão dos que trabalham com empenho dominará, e os preguiçosos se tornarão escravos.
25 Moyo wa wasiwasi humlemea mtu, bali neno la huruma humfurahisha.
A ansiedade no coração do homem o abate; [mas] uma boa palavra o alegra.
26 Mtu mwenye haki ni mwangalifu katika urafiki, bali njia ya waovu huwapotosha.
O justo age cuidadosamente para com seu próximo, mas o caminho dos perversos os faz errar.
27 Mtu mvivu haoki mawindo yake, bali mtu mwenye bidii ana mali za thamani.
O preguiçoso não assa aquilo que caçou, mas a riqueza de quem trabalha com empenho [lhe é] preciosa.
28 Katika njia ya haki kuna uzima; katika mapito hayo kuna maisha ya milele.
Na vereda da justiça está a vida; e [no] caminho de seu percurso não há morte.

< Mithali 12 >