< Mithali 10 >

1 Mithali za Solomoni: Mwana mwenye hekima huleta furaha kwa baba yake, lakini mwana mpumbavu huleta huzuni kwa mama yake.
En vis son är sins faders glädje; men en galen son är sine moders grämelse.
2 Hazina zilizopatikana kwa njia mbaya hazifai, lakini uadilifu huokoa kutoka mautini.
Orätt gods hjelper intet; men rättfärdighet friar ifrå döden.
3 Bwana hawaachi waadilifu kukaa njaa, lakini hupinga tamaa ya mtu mwovu.
Herren låter icke de rättfärdigas själar hunger lida; men han omstörter de ogudaktigas arghet.
4 Mikono mivivu hufanya mtu kuwa maskini lakini mikono yenye bidii huleta utajiri.
En lat hand gör fattigan; men en idog hand gör rikan.
5 Yeye akusanyaye mazao wakati wa kiangazi ni mwana mwenye hekima, lakini yeye alalaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha.
Den som församlar om sommaren, han är klok; men den som i andene sofver, han kommer på skam.
6 Baraka huwa taji kichwani mwa mwenye haki, lakini jeuri hufunika kinywa cha mwovu.
Välsignelse är öfver dens rättfärdigas hufvud; men de ogudaktigas mun skall deras vrånghet öfverfalla.
7 Kumbukumbu ya mwenye haki itakuwa baraka, lakini jina la mwovu litaoza.
De rättfärdigas åminnelse blifver uti välsignelse; men de ogudaktigas namn skall förgås.
8 Mwenye hekima moyoni hupokea maagizo, lakini mpumbavu apayukaye huangamia.
Den af hjertat vis är, han anammar buden; men den en galen mun hafver, han varder slagen.
9 Mtu mwadilifu hutembea salama, lakini mtu aendaye katika njia zilizopotoka atagunduliwa.
Den der ostraffeliga lefver, han lefver säkert; men den der vrång är på sina vägar, han skall uppenbar varda.
10 Yeye akonyezaye kwa nia mbaya husababisha huzuni, naye mpumbavu apayukaye huangamia.
Den der vinkar med ögonen, han kommer vedermödo åstad; och den en galen mun hafver, han varder slagen.
11 Kinywa cha mwenye haki ni chemchemi ya uzima, lakini jeuri hufunika kinywa cha mwovu.
Dens rättfärdigas mun är en lefvandes källa; men de ogudaktigas mun skall deras vrånghet öfverfalla.
12 Chuki huchochea faraka, lakini upendo husitiri mabaya yote.
Hat uppväcker träto; men kärlek öfverskyler all öfverträdelse.
13 Hekima hupatikana katika midomo ya wenye kupambanua, lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wake asiye na ufahamu.
Uti de förståndigas läppar finner man vishet; men till ens dåras rygg hörer ris.
14 Wenye hekima huhifadhi maarifa, bali kinywa cha mpumbavu hualika maangamizi.
De vise bevara lärdom; men de dårars mun är hardt när förskräckelse.
15 Mali ya tajiri ni mji wake wenye ngome, bali ufukara ni maangamizi ya maskini.
Dens rikas gods är hans faste stad; men fattigdom gör de fattiga blödiga.
16 Ujira wa wenye haki huwaletea uzima, lakini mapato ya waovu huwaletea adhabu.
Den rättfärdige arbetar till lifvet; men den ogudaktige brukar sina tilldrägt till synd.
17 Anayekubali kuadibishwa yuko katika njia ya uzima, lakini yeyote anayepuuza maonyo hupotosha wengine.
Hålla tuktan är vägen till lifvet; men den som bortkastar straff, han far vill.
18 Yeye afichaye chuki yake ana midomo ya uongo, na yeyote anayeeneza uchonganishi ni mpumbavu.
Falske munnar skyla hat, och den der baktalar, han är en dåre.
19 Wakati maneno ni mengi, dhambi haikosekani, lakini yeye ambaye huzuia ulimi wake ni mwenye busara.
Der mång ord äro, der är icke synden borto; men den sina läppar håller, han är klok.
20 Ulimi wa mwenye haki ni fedha iliyo bora, bali moyo wa mwovu una thamani ndogo.
Dens rättfärdigas tunga är kosteligt silfver; men de ogudaktigas hjerta är intet.
21 Midomo ya mwenye haki hulisha wengi, lakini wapumbavu hufa kwa kukosa ufahamu.
Dens rättfärdigas läppar föda många; men de galne skola dö uti deras galenskap.
22 Baraka ya Bwana hutajirisha, wala haichanganyi huzuni.
Herrans välsignelse gör rikan utan mödo.
23 Mpumbavu hufurahia tabia mbaya, lakini mtu mwenye ufahamu hupendezwa na hekima.
En dåre bedrifver det ondt är, och gör sig der ett löje af; men den man är vis, som tager der vara uppå.
24 Kile anachoogopa mwovu ndicho kitakachompata; kile anachoonea shauku mwenye haki atapewa.
Hvad den ogudaktige fruktar, det vederfars honom; och hvad de rättfärdige begära, det varder dem gifvet.
25 Tufani inapopita, waovu hutoweka, lakini wenye haki husimama imara milele.
Den ogudaktige är såsom ett väder, det framom går, och är icke mer till; men den rättfärdige består evigliga.
26 Kama siki ilivyo kwa meno na moshi kwa macho, ndivyo alivyo mvivu kwa wale waliomtuma.
Såsom ättika gör ondt tandomen, och rök ögonen, så gör en försummelig dem ondt, som sända honom.
27 Kumcha Bwana huongeza urefu wa maisha, lakini miaka ya mwovu inafupishwa.
Herrans fruktan förmerar dagarna; men de ogudaktigas år varda förkortad.
28 Tarajio la mwenye haki ni furaha, bali matumaini ya mwovu huwa si kitu.
Dens rättfardigas väntan skall fröjd varda; men de ogudaktigas hopp skall förtappadt varda.
29 Njia ya Bwana ni kimbilio kwa wenye haki, lakini ni maangamizi ya wale watendao mabaya.
Herrans väg är dens frommas tröst; men de ogerningsmän äro blödige.
30 Kamwe wenye haki hawataondolewa, bali waovu hawatasalia katika nchi.
Den rättfärdige varder aldrig nederslagen; men de ogudaktige skola icke blifva i landena.
31 Kinywa cha mwenye haki hutoa hekima, bali ulimi wa upotovu utakatwa.
Dens rättfärdigas mun bär fram vishet; men de vrångas mun skall utrotad blifva.
32 Midomo ya wenye haki inajua kile kinachofaa, bali kinywa cha mwovu hujua kile kilichopotoka tu.
Dens rättfärdigas läppar lära helsosam ting; men de ogudaktigas mun är vrång.

< Mithali 10 >