< Wafilipi 1 >
1 Waraka wa Paulo na Timotheo, watumishi wa Kristo Yesu: Kwa watakatifu wote katika Kristo Yesu walioko Filipi, pamoja na waangalizi na mashemasi:
Nne a Pauli na a Timoteo, bhatumishi bha a Yeshu Kilishitu, tunakunnjandishilanga mmanganya bhandu bha ukonjelo bha ku Pilipi nnundenenje na a Kilishitu, pamo na ashikalongolele na bhatumishi bha likanisha.
2 Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi.
Nema na ulele ikopoka kwa Atati a Nnungu na ku Bhakulungwa bhetu a Yeshu Kilishitu ibhe na mmanganyanji.
3 Ninamshukuru Mungu wangu kila niwakumbukapo ninyi.
Ngunakwaatendela eja a Nnungu bhangu kila pungunkumbushilanga.
4 Katika maombi yangu yote daima nimekuwa nikiwaombea ninyi nyote kwa furaha,
Kila pungunnjujilanga mmowe, ngunajuga kwa angalala,
5 kwa sababu ya kushiriki kwenu katika kueneza Injili, tangu siku ya kwanza hadi leo.
kwa ligongo lya nyangutila kwenunji nkulunguya Ngani ja Mmbone, kuumila lyubha lya tandubha lila, mpaka lelo.
6 Nina hakika kwamba yeye aliyeianza kazi njema mioyoni mwenu, ataiendeleza na kuikamilisha hata siku ya Kristo Yesu.
Na nne ngunakulupalila kuti a Nnungu bhatandwibhe liengo lya mmbone mmitima jenunji, shibhapunde tenda na maliya mpaka lyubha lya bhuja a Yeshu Kilishitu.
7 Ni haki na ni wajibu wangu kufikiri hivi juu yenu nyote, kwa sababu ninyi mko moyoni mwangu. Ikiwa nimefungwa au nikiwa ninaitetea na kuithibitisha Injili, ninyi nyote mnashiriki neema ya Mungu pamoja nami.
Nneyo peyo, ngunaapinjikwa kunnganishiyanga mmanganyanji mmowe, pabha munninginji muntima gwangu. Numbe nshinyangutilanga na nkali nnaino ndabhilwe ino, na ata punaaliji nganabhe tabhwa, nnema jibhambele a Nnungu jila, ja bheleketela na kong'ondela Ngani ja Mmbone.
8 Mungu ni shahidi wangu jinsi ninavyowaonea shauku ninyi nyote kwa huruma ya Kristo Yesu.
A Nnungu ni bhaakong'ondela bhangu, shinguti lokolila kummonanga malinga a Yeshu Kilishitu shibhampinjilenje kwa kaje.
9 Haya ndiyo maombi yangu: kwamba upendo wenu uongezeke zaidi na zaidi katika maarifa na ufahamu wote,
Kujuga kwangu ni akuno, kuti, kupinga kwenunji kupunde jenjesheka kwa kaje nnunda na nnumanyiyo lowe,
10 ili mpate kutambua yale yaliyo mema, mkawe safi, wasio na hatia hadi siku ya Kristo,
nkupinga nng'agulanje indu ya mmbone. Penepo shimmanganje na mitima ja mmbone, gwangali gambwa shoshowe mpaka lyubha lya bhuja a Kilishitu.
11 mkiwa mmejawa na matunda ya haki yapatikanayo kwa njia ya Yesu Kristo, kwa utukufu na sifa za Mungu.
Akuno nngumbeywenje indu ya mmbone, ishibhampanganje a Yeshu Kilishitu bhayene, kwa ligongo lya ukonjelo na iniywa kwa a Nnungu.
12 Basi, ndugu zangu, nataka mjue kwamba mambo yale yaliyonipata kwa kweli yamesaidia sana kueneza Injili.
Bhai ashaalongo ajangunji, ngunapinga mmumanyanje kuti, gowe gambatile gala gashinkunyangutila nkujeneya Ngani ja Mmbone.
13 Matokeo yake ni kwamba imejulikana wazi kwa walinzi wote wa jumba la kifalme na kwa wengine wote kuwa nimefungwa kwa ajili ya Kristo.
Kwa lyene ligongolyo, bhalinda bhowe na bhandunji bhana bhowe apano bhamumanyinji kuti, kutabhwa kwangu ni kwa ligongo lya kwaatumishila a Kilishitu.
14 Kwa sababu ya vifungo vyangu, ndugu wengi katika Bwana wametiwa moyo kuhubiri neno la Mungu kwa ujasiri zaidi na bila woga.
Bhai, kwa ligongo lya tabhwa kwangu, kushikwaatendanga ashaalongo ajangunji bhabhagwinji bhaakulupalilanje Bhakulungwa, mpaka nitumbililanga kulunguya ntenga gwa a Nnungu gwangali bhoga.
15 Ni kweli kwamba wengine wanamhubiri Kristo kutokana na wivu na kwa kutaka kushindana, lakini wengine wanamhubiri Kristo kwa nia njema.
Kweli, bhananji bhanalunguyanga ngani ja a Kilishitu kwa ligongo lya lupimililo na nngomo, ikabheje bhananji kwa ndumbililo ya mmbone.
16 Hawa wa mwisho wanamhubiri Kristo kwa moyo wa upendo, wakifahamu kwamba nimo humu gerezani kwa ajili ya kuitetea Injili.
Bhakwetenje ndumbililo ya mmbone, bhanatendanga nneyo kwa ntima gwa pinga, numbe bhamumanyinji kuti njitabhwa, pabha a Nnungu bhashimba liengo lya bheleketela Ngani ja Mmbone.
17 Hao wa kwanza wanamtangaza Kristo kutokana na tamaa zao wenyewe wala si kwa moyo mweupe, bali wanakusudia kuongeza mateso yangu katika huku kufungwa kwangu.
Ikabhe bhananji bhanakwalunguyanga a Kilishitu kwa nngomo na wala nngabha kwa ntima gwa uguja, bhaliganishiyanga kuti, shibhanyenjesheyanje mboteko nkutabhwa kwangu.
18 Lakini inadhuru nini? Jambo la muhimu ni kwamba kwa kila njia, ikiwa ni kwa nia mbaya au njema, Kristo anahubiriwa. Nami kwa ajili ya jambo hilo ninafurahi. Naam, nami nitaendelea kufurahi,
Igala nndi! Nne ngunaangalala ibhaga bhandu bhanakwalunguyanga a Kilishitu momowe mula, ibhe kwa ndumbililo ya mmbone eu yangali ya mmbone. Kwa lyene ligongo lyo nne shing'angalale, na shimbunde kuangalala,
19 kwa maana ninajua kwamba kwa maombi yenu na kwa msaada unaotolewa na Roho wa Yesu Kristo, yale yaliyonipata mimi yatageuka kuwa wokovu wangu.
pabha nimumanyi kuti kwa juga kwenunji na kwa jangutilwa naka Mbumu jwa a Yeshu Kilishitu, gambatile gala shigapindikushe nibha ntapulo gwangu.
20 Ninatarajia kwa shauku kubwa na kutumaini kwamba sitaaibika kwa njia yoyote, bali nitakuwa na ujasiri wa kutosha ili sasa kama wakati mwingine wowote, Kristo atukuzwe katika mwili wangu, ikiwa ni kwa kuishi au kwa kufa.
Punguganishiya na kulupalila kwangu kuti, ngatokamala nkutenda liengo lyangu, ikabhe shingole makangala mobha gowe, na kaje agano mobha gano, nkupinga kwa nkulama kwangu eu nkuwa kwangu naape a Kilishitu kuishimika.
21 Kwa maana kwangu mimi, kuishi ni Kristo, na kufa ni faida.
Pabha kwangu nne, kulama ni a Kilishitu na kuwa ni pwaida.
22 Kama nitaendelea kuishi katika mwili, kwangu hili ni kwa ajili ya matunda ya kazi. Lakini sijui nichague lipi? Mimi sijui!
Bhai monaga kwa lama kwangu shingombole tenda liengo likwete pwaida, bhai ng'agule nndi? Nne ngakushimanya!
23 Ninavutwa kati ya mambo mawili: Ninatamani kuondoka nikakae pamoja na Kristo, jambo hilo ni bora zaidi.
Ngunalongwa indu ibhili, ngunalokolila nijileshe ajino ndamo jino niijendele ngatame na a Kilishitu, pabha lyeneli ni lya mmbone kaje,
24 Lakini kwa sababu yenu ni muhimu zaidi mimi nikiendelea kuishi katika mwili.
ikabheje nonjeyaga kulama, ni sha mmbone kwenu mmanganyanji.
25 Kwa kuwa nina matumaini haya, ninajua kwamba nitaendelea kuwepo na kuwa pamoja nanyi nyote, ili mpate kukua na kuwa na furaha katika imani.
Kwa kugamanya genega, nimumanyi kuti shimbunde kulama, nonjeye na mmanganyanji, nkupinga mpundanje kwiishimilika na angalala nngulupai.
26 Ili kwamba furaha yenu iwe nyingi katika Kristo Yesu kwa ajili yangu kwa kule kuja kwangu kwenu tena.
Bhai shimwipunilanje nne, nkulundana na a Kilishitu Yeshu, pushimme na mmanganyanji kabhili.
27 Lakini lolote litakalotukia, mwenende kama ipasavyo Injili ya Kristo, ili kwamba nikija na kuwaona au ikiwa sipo, nipate kusikia haya juu yenu: Kuwa mnasimama imara katika roho moja, mkiishindania imani ya Injili kwa umoja,
Bhai shindu shikulungwa, ndamo jenunji jibhe malinga shiipinjikwa na Ngani ja Mmbone ja a Kilishitu, nkupinga ng'ikaga eu ngaishe, mbilikane kuti nnakwiishimilikanga ukoto kwa ntima gumo, na lundana nkukomana ngondo pamo, kwa ligongo lya ngulupai ga Ngani ja Mmbone.
28 wala msitishwe na wale wanaowapinga. Hii ni ishara kwao kuwa wataangamia, lakini ninyi mtaokolewa, na hii ni kazi ya Mungu.
Nnaajogopanje ashaamagongo ajenunji, nkolanje makangala, yeneyo shiibhe shilangulo ukoto, kuti bhanganyanjibho shibhalepelanje na mmanganyanji shinkombolanje, pabha a Nnungu bhayene shibhankomboyanje.
29 Kwa maana mmepewa kwa ajili ya Kristo, si kumwamini tu, bali pia kuteswa kwa ajili yake,
Pabha mmanganyanji nshipegwanga nema ja kwaakamulila liengo a Kilishitu, nngabha kwa kwaakulupalilape, ikabhe na potekwa kwa ligongo lyabho.
30 kwa kuwa mnashiriki mashindano yale yale mliyoyaona nikiwa nayo na ambayo hata sasa mnasikia kuwa bado ninayo.
Kwa nneyo nnongananje na nne nkukomana ngondo. Ngondo jinjibhweninji nilikomana, na launo ngunakomana, malinga shinkupilikananga.