< Wafilipi 1 >

1 Waraka wa Paulo na Timotheo, watumishi wa Kristo Yesu: Kwa watakatifu wote katika Kristo Yesu walioko Filipi, pamoja na waangalizi na mashemasi:
Paulo nu Timoteo itumi ang'wa Kilisto u Yesu, awaniabaguwe mung'wa Kilisto niakiie ku Filipi palung'wi neemili, agozi.
2 Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi.
Ukende utule nunyenye nuupolo nuupumile kung'wi Tunda Tata nuitu nu Bwana witu u Yesu Kilisto.
3 Ninamshukuru Mungu wangu kila niwakumbukapo ninyi.
Numusongeye Itunda nuane anga numukimbuke unye mehi.
4 Katika maombi yangu yote daima nimekuwa nikiwaombea ninyi nyote kwa furaha,
Kila ilompi lane ayi kunsoko anyu mehi kila nukulompa, ingi nilowa nukumulompela.
5 kwa sababu ya kushiriki kwenu katika kueneza Injili, tangu siku ya kwanza hadi leo.
Nkite masongelyo iduu kunsoko apalung'wi wanyu munkani ninza kupumiila luhiku la ng'wandyo sunga nilelo.
6 Nina hakika kwamba yeye aliyeianza kazi njema mioyoni mwenu, ataiendeleza na kuikamilisha hata siku ya Kristo Yesu.
Nkete ikulukulu kina nuanso naiwanzilye umulimo nuuza mukatii anyu ukulongolya kuumala sunga uluhiku nulang'wa Bwana u Yesu Kilisto.
7 Ni haki na ni wajibu wangu kufikiri hivi juu yenu nyote, kwa sababu ninyi mko moyoni mwangu. Ikiwa nimefungwa au nikiwa ninaitetea na kuithibitisha Injili, ninyi nyote mnashiriki neema ya Mungu pamoja nami.
Inge uu kung'waane kija ite kung'waanyu mehi kunsoko numuikile munkolo ane. Kuite unye matula meeane muukende mukitungo kane ukuueli nuulagile nuane munkoni ninza.
8 Mungu ni shahidi wangu jinsi ninavyowaonea shauku ninyi nyote kwa huruma ya Kristo Yesu.
Itunda mukueli wane, ite nkite insula kunsoko anyu mihi ulowa nuawamukati ang'wa Kilisto u Yesu.
9 Haya ndiyo maombi yangu: kwamba upendo wenu uongezeke zaidi na zaidi katika maarifa na ufahamu wote,
Haki kulompa kina: ulowa wanyu wongeeleke kukiila mahala nuulingi wehi.
10 ili mpate kutambua yale yaliyo mema, mkawe safi, wasio na hatia hadi siku ya Kristo,
Kulompa kunsoko ite mutule nuuhumi nuakugemeelya nukusagula imakani nibahu kukila kuite kumulompeela gwa ite mutule miaza shangaeze mukete kimeli kehi muluhiku iang'wa Kilisto.
11 mkiwa mmejawa na matunda ya haki yapatikanayo kwa njia ya Yesu Kristo, kwa utukufu na sifa za Mungu.
Kuitegwa mizuligwe ninkali niyatai niyigeela mung'wa Yesu Kilisto, kuukulu nikolyo lang'wi Tunda.
12 Basi, ndugu zangu, nataka mjue kwamba mambo yale yaliyonipata kwa kweli yamesaidia sana kueneza Injili.
Itungile aluna ane, ndoilwe mulinge kina, imakani nakupila kung'wane naitumile nkani ninza ilongoleka ikulu.
13 Matokeo yake ni kwamba imejulikana wazi kwa walinzi wote wa jumba la kifalme na kwa wengine wote kuwa nimefungwa kwa ajili ya Kristo.
Yiyo ndogoilyo itungo yane mung'wa Kilisto, ulengekile kualindi niakulu ehi nukukila ung'wa muntu gwa.
14 Kwa sababu ya vifungo vyangu, ndugu wengi katika Bwana wametiwa moyo kuhubiri neno la Mungu kwa ujasiri zaidi na bila woga.
Nialuna iidu mung'wa mukulu, kunsoko atungo yane, ikapeng'wa nukugema nukugema kutanantya kaze agila uwoa.
15 Ni kweli kwamba wengine wanamhubiri Kristo kutokana na wivu na kwa kutaka kushindana, lakini wengine wanamhubiri Kristo kwa nia njema.
Iauyaao amutanantya itai ukilisto kuumeli nuwilei, niitegwa niangeza kisego niza.
16 Hawa wa mwisho wanamhubiri Kristo kwa moyo wa upendo, wakifahamu kwamba nimo humu gerezani kwa ajili ya kuitetea Injili.
Awa neemutanatya ukilisto kuulowa alingile kina mbikilwe apa kunsoko akukuila utanantyi.
17 Hao wa kwanza wanamtangaza Kristo kutokana na tamaa zao wenyewe wala si kwa moyo mweupe, bali wanakusudia kuongeza mateso yangu katika huku kufungwa kwangu.
Ingi iidu akumutanatya ukilistokuing'wene kumasego nimabeisiga kina akuletekelya lwago iane mumunyololo ane.
18 Lakini inadhuru nini? Jambo la muhimu ni kwamba kwa kila njia, ikiwa ni kwa nia mbaya au njema, Kristo anahubiriwa. Nami kwa ajili ya jambo hilo ninafurahi. Naam, nami nitaendelea kufurahi,
Kululoo? Shangankee, ang'wi inzila ikatula ulugu ang'we tai, ukilisto ukutanantigwa kuite ndoeigwa hangi ndoilwe.
19 kwa maana ninajua kwamba kwa maombi yenu na kwa msaada unaotolewa na Roho wa Yesu Kristo, yale yaliyonipata mimi yatageuka kuwa wokovu wangu.
Kunsoko ningile kina ite ikaleta kuluguilwa kung'wane, ikani ile likapumila kunsoko amalompi anyu nakuailya nung'waung'welu Yesu Kilisto.
20 Ninatarajia kwa shauku kubwa na kutumaini kwamba sitaaibika kwa njia yoyote, bali nitakuwa na ujasiri wa kutosha ili sasa kama wakati mwingine wowote, Kristo atukuzwe katika mwili wangu, ikiwa ni kwa kuishi au kwa kufa.
Kimpyana nuisumbyeli wane nuakulukulu nitai nikina shangakutula niminyala ang'wi ugimya wakwe wehi, anganaiza mahiku nitungele, nsumbiiye kina Ukilisto ukunansulwa mumueli wane, agaitule numupanga ang'wi numushi.
21 Kwa maana kwangu mimi, kuishi ni Kristo, na kufa ni faida.
Kundogoilyo kung'wane unene kikie inge Kilisto nukusha inge nsailo.
22 Kama nitaendelea kuishi katika mwili, kwangu hili ni kwa ajili ya matunda ya kazi. Lakini sijui nichague lipi? Mimi sijui!
Kuite anganikie mumuieli yetuga nkali mumulimo wane, kululo shangaimine nileule nilakosagula.
23 Ninavutwa kati ya mambo mawili: Ninatamani kuondoka nikakae pamoja na Kristo, jambo hilo ni bora zaidi.
Ndogoilo nisukung'wa ikulu nimasego aya na mweeli. Nkete nsula akuleka umweli nukutula palung'we nu Kilisto kintu nikiza inge kansailo ikulukulu.
24 Lakini kwa sababu yenu ni muhimu zaidi mimi nikiendelea kuishi katika mwili.
Ganiite kuaga mumiile uwu inge lukani lamuhimu ikulukulu kunsoko anyu.
25 Kwa kuwa nina matumaini haya, ninajua kwamba nitaendelea kuwepo na kuwa pamoja nanyi nyote, ili mpate kukua na kuwa na furaha katika imani.
Kunsoko nkete ikulukulu migulya aile, ningile ninikasaga nukulongoleka kutula palung'wi nunyenye mihe kunsoko aunoneli nuwahueli wanyu.
26 Ili kwamba furaha yenu iwe nyingi katika Kristo Yesu kwa ajili yangu kwa kule kuja kwangu kwenu tena.
Nilikaleta uulowa wanyu nuukulu mung'wa Kilisto u Yesu kunsoko ane ikigeeleka, aukulu wane palung'wi nunyenye.
27 Lakini lolote litakalotukia, mwenende kama ipasavyo Injili ya Kristo, ili kwamba nikija na kuwaona au ikiwa sipo, nipate kusikia haya juu yenu: Kuwa mnasimama imara katika roho moja, mkiishindania imani ya Injili kwa umoja,
Mutakiwe kikie ulikalo lanyu mulugendo nuluza nulutakiwe munkani ninza niang'wa Kilisto, nije kina mimekile ikomu kunkolo ing; wi, muzikilya uhueli nuankani ninza kupalung'wi.
28 wala msitishwe na wale wanaowapinga. Hii ni ishara kwao kuwa wataangamia, lakini ninyi mtaokolewa, na hii ni kazi ya Mungu.
Hangi muleke kutumbwa nikintu kihe nulukutendwa nianya ulugu anyu ila kitalanyu ingi kilingasiilyo kaugunwa kupuma kung'wa Itunda.
29 Kwa maana mmepewa kwa ajili ya Kristo, si kumwamini tu, bali pia kuteswa kwa ajili yake,
Kundogoilyo unyenye mikeigwe kunsoko ang'wa Kilisto, shangakumuhuela du, ila ganukigigwa ganung'wenso.
30 kwa kuwa mnashiriki mashindano yale yale mliyoyaona nikiwa nayo na ambayo hata sasa mnasikia kuwa bado ninayo.
Kundogilyo mukete winyomi wuwowuwoo anga numuihangile kitalane hangi migule nukete ga milelo.

< Wafilipi 1 >