< Wafilipi 4 >
1 Kwa hiyo, ndugu zangu, ninaowapenda na ambao ninawaonea shauku, ninyi mlio furaha yangu na taji yangu, hivi ndivyo iwapasavyo kusimama imara katika Bwana, ninyi wapenzi wangu.
Hatdawkvah, kaie lunghawinae hoi bawilukhung lah kaawm e, ka pahren teh, ka rabui e, ka hmaunawnghanaw, ka dei e patetlah nangmouh teh ka pahren poung e, Bawipa dawk kacaklah awm awh ka pahrennaw.
2 Nawasihi Euodia na Sintike wawe na nia moja katika Bwana.
Euodias hoi Sintikhe, Bawipa dawk lungthin suetalah na o awh nahanlah na hroecoe awh.
3 Naam, nakusihi wewe pia, mwenzangu mwaminifu, uwasaidie hawa wanawake, kwa sababu walijitaabisha katika kazi ya Injili pamoja nami bega kwa bega, wakiwa pamoja na Klementi na watendakazi wenzangu ambao majina yao yameandikwa katika kitabu cha uzima.
Kai hoi thaw rei ka tawk huinaw nangmouh hai na dei pouh awh. Kai hoi Klement, hahoi hringnae dawk kâen e alouke thaw ka tawk hui naw hoi kamthang lawk deinae koe na kabawm e, hote napuinaw hah ka bawm awh lah a.
4 Furahini katika Bwana siku zote, tena nasema furahini!
Bawipa dawk konawm awh haw, bout ka dei ko pou nawm awh haw.
5 Upole wenu na ujulikane na watu wote. Bwana yu karibu.
Nangmouh lungthin na nem awh e teh tami pueng ni panuek naseh.
6 Msijisumbue kwa jambo lolote, bali katika kila jambo kwa kuomba na kusihi pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.
Bangpatet e hno dawk hai lungpuennae tawn laipalah lunghawilawkdeinae hoi ratoum awh nateh, na kâhei han na ngai e pueng hah Cathut koe panuek sak awh.
7 Nayo amani ya Mungu, inayopita fahamu zote, itailinda mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu.
Hatnavah, taminaw ni panue thai hoeh e Cathut e roumnae teh Khrih Jisuh lahoi nangmae na lungthin hoi na pouknae naw hah a ring han.
8 Hatimaye, ndugu zangu, mambo yote yaliyo ya kweli, yoyote yaliyo na sifa njema, yoyote yaliyo ya haki, yoyote yaliyo safi, yoyote ya kupendeza, yoyote yenye staha, ukiwepo uzuri wowote, pakiwepo chochote kinachostahili kusifiwa, tafakarini mambo hayo.
Ahnoungpoung lah hmaunawnghanaw kahman e, bari kawi e, kalan e, kacai e, ngai kaawm e, a kamthang kahawi e naw hoi na lungthin dawk kawi sak awh.
9 Mambo yote mliyojifunza au kuyapokea au kuyasikia kutoka kwangu, au kuyaona kwangu, yatendeni hayo. Naye Mungu wa amani atakuwa pamoja nanyi.
Nangmouh ni ahmaloe hoi kai koe na kamtu awh teh, na hmu awh teh na thai awh e naw dawk hring awh. Hottelah na hring awh pawiteh, roumnae Cathut teh nangmouh hoi rei a o han.
10 Nina furaha kubwa katika Bwana kwamba hatimaye mmeanza upya kushughulika tena na maisha yangu. Kweli mmekuwa mkinifikiria lakini mlikuwa hamjapata nafasi ya kufanya hivyo.
Atu haiyah nangmouh ni kai hah khetyawt hanlah na lung bout a kuep awh dawkvah, Bawipa dawk puenghoi ka konawm. Hote lungthonae hah ahmaloe hai na tawn awh ei, na khenyawn thai awh hoeh.
11 Sisemi hivyo kwa vile nina mahitaji, la! Kwa maana nimejifunza kuridhika katika hali yoyote.
Hottelah ka dei navah, ka roedeng dawk nahoeh. Bangkongtetpawiteh, ka kâhmo e pueng dawk lungkuep thai nahanelah yo kamtu toe.
12 Ninajua kupungukiwa, pia ninajua kuwa na vingi. Nimejifunza siri ya kuridhika katika kila hali, wakati wa kushiba na wakati wa kuona njaa, wakati wa kuwa na vingi na wakati wa kupungukiwa.
Hnephnapnae ka khang thai teh, bawirengnae hai ka panue toe. Von pahanae, vonhlamnae, bawirengnae roedengnae naw pueng khang hanelah kho tangkuem vah ka kamtu toe.
13 Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.
Kai hah thayung hoi na kakawi sak e Khrih lahoi bangpuengpa ka ti thai.
14 Lakini, mlifanya vyema kushiriki nami katika taabu zangu.
Hatei roedengnae ka khang navah, nangmouh ni kahawicalah na khetyawt awh toe.
15 Zaidi ya hayo, ninyi Wafilipi mnajua kwamba siku za kwanza nilipoanza kuhubiri Injili, nilipoondoka Makedonia, hakuna kanisa jingine lililoshiriki nami katika masuala ya kutoa na kupokea isipokuwa ninyi.
Filippi taminaw, kamthang lawk dei hanelah Masidonia ram hoi nuengnueng ka kamthaw nah poenae hoi dâwnae hah nangmouh hloilah alouke kawhmoun ni na kabawm awh hoeh.
16 Kwa maana hata nilipokuwa huko Thesalonike, mliniletea msaada kwa ajili ya mahitaji yangu zaidi ya mara moja.
Thesalon khopui dawk ka o nah kai ni ka panki e hno vai hni touh na poe awh toe.
17 Si kwamba natafuta sana yale matoleo, bali natafuta sana ile faida itakayozidi sana kwa upande wenu.
Hottelah ka ti navah, poehno ka tawngnae nahoeh. Nangmanaw na bawi awh nahanlah doeh na ngaikhai awh.
18 Nimelipwa kikamilifu hata na zaidi; nimetoshelezwa kabisa sasa, kwa kuwa nimepokea kutoka kwa Epafrodito vile vitu mlivyonitumia, sadaka yenye harufu nzuri, dhabihu inayokubalika na ya kumpendeza Mungu.
Kai teh bangpueng koung ka tawn toe. Nangmouh ni na patawn e poehno hah Epaphroditus koehoi kakueplah ka dâw toe. Hote hnonaw teh a hmui katui e, Cathut ni a ngai kawi e hno lah ao.
19 Naye Mungu wangu atawajaza ninyi na kila mnachohitaji kwa kadiri ya utajiri wake katika utukufu ndani ya Kristo Yesu.
Maimae Cathut ni a bawilennae dawk kaawm e amae bawinae hoiyah nangmae pankinae pueng teh Khrih Jisuh lahoi a kuep sak han.
20 Mungu wetu aliye Baba yetu apewe utukufu milele na milele. Amen. (aiōn )
Maimae na pa Cathut teh talai a pout hoehroukrak lentoe lawiseh. Amen. (aiōn )
21 Msalimuni kila mtakatifu katika Kristo Yesu. Ndugu walioko pamoja nami wanawasalimu.
Khrih Jisuh thung kaawm e tami kathoung naw hah kut man a loe. Kai koe kaawm e hmaunawnghanaw ni hai nangmouh kut na man awh.
22 Watakatifu wote wanawasalimu, hasa wale watu wa nyumbani mwa Kaisari.
Tami kathoungnaw thung dawk alawkpui lah Sizar Bawi im kaawm e naw ni nangmouh kut na man awh.
23 Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.
Maimae Bawipa Jisuh Khrih e a lungmanae teh nangmouh koe awm lawiseh. Amen.