< Wafilipi 3 >

1 Hatimaye, ndugu zangu, furahini katika Bwana! Mimi kuwaandikia mambo yale yale hakuniudhi, kwa maana ni kinga kwa ajili yenu.
Sungwaji hwa Gosi. Sinzilola intamyo hubhasimbile habhili amazwi gegala amazwi iga gabhabhapele.
2 Jihadharini na mbwa, wale watenda maovu, jihadharini na wale wajikatao miili yao, wasemao ili kuokoka ni lazima kutahiriwa.
Muyogopaje ni mbwa. Muyogopaje na bhabhomba imbombo abhabhibhi. Muyogopaje na bhebhahuyitema amabhihi gabho.
3 Kwa maana sisi ndio tulio tohara, sisi tumwabuduo Mungu katika Roho, tunaona fahari katika Kristo Yesu, ambao hatuweki tumaini letu katika mwili,
Atwa tili tohara. atu tihumputa Ungulubhi hulwabhushilo lwa Yesu Kilisti. Yesetuli nu dandamazu mumbili.
4 ingawa mimi mwenyewe ninazo sababu za kuutumainia mwili. Kama mtu yeyote akidhani anazo sababu za kuutumainia mwili, mimi zaidi.
Nkushele hwali nu muntu uwahunsubhile umbili uguani handi imbombile isho haani.
5 Nilitahiriwa siku ya nane, mimi ni Mwisraeli wa kabila la Benyamini, Mwebrania wa Waebrania. Kwa habari ya sheria, ni Farisayo,
Lelo natahililwe isihu ilya nane napapilwe mshirokho. ishabhaizilaeli newishirokholo ishaBenjamini ne mweBulania uwa Bhaebrania. katika huzimalizye indajazyo izyaMusa nali Falisayo.
6 kwa habari ya juhudi, nilikuwa nalitesa kanisa, kuhusu haki ipatikanayo kwa sheria, mimi nilikuwa sina hatia.
Hu nguvu zyani nalyimvizye Ikanisa. Ishibhanza aje tulitishe ilyoliyi sheria senahali ni lawama husheria.
7 Lakini mambo yale yaliyokuwa faida kwangu, sasa nayahesabu kuwa hasara kwa ajili ya Kristo.
Lelo katika amambo ganti gingalolile aje minza huline ni nahagabhazya aje takataka pipo nahamminye U Kristi.
8 Zaidi ya hayo, nayahesabu mambo yote kuwa hasara tupu nikiyalinganisha na faida kubwa ipitayo kiasi cha kumjua Kristo Yesu Bwana wangu, ambaye kwa ajili yake nimepata hasara ya mambo yote, nikiyahesabu kuwa kama mavi ili nimpate Kristo.
Hu lyoli ihungabhazya amambo gonti aje hasara afumilane nu winza uwalumanye u Yesu Kristi Ugosi wani. Kwaajili yakwe indeshile amambo gonti ingabhazya ndeshe itakataka ili imwaje U Kristi
9 Nami nionekane mbele zake bila kuwa na haki yangu mwenyewe ipatikanayo kwa sheria, bali ile ipatikanayo kwa imani katika Kristo, haki ile itokayo kwa Mungu kwa njia ya imani.
iloleshe muhati yakwe sindini lyoli iyani ninini. Afume musheria ila indinayo ilyoli yifumilana nulwitiho lwa Kristi lwelufuma hwa Ngulubhi, umwene msingi ugwa mlwitaho.
10 Nataka nimjue Kristo na uweza wa kufufuka kwake na ushirika wa mateso yake, ili nifanane naye katika mauti yake,
Ishi ihwanza humanye umwimi ni nguvu iyizyusye wakwe nu ushirika wi mayimba gakwe. Ihanza agalulanywe nu Kilisti hu shifwani shimfwa yakwe,
11 ili kwa njia yoyote niweze kufikia ufufuo wa wafu.
hwashi imbe nusubhilizyo muzyusyo wa bhafwe.
12 Si kwamba nimekwisha kufikia, au kwamba nimekwisha kuwa mkamilifu, la hasha! Bali nakaza mwendo ili nipate kile ambacho kwa ajili yake, nimeshikwa na Kristo Yesu.
Selyoli aje ingapiite amambo iga au huje indi nugolosu hwigo, ila injitahidi apate shila sheshipatihana hwa Yesu Kristi.
13 Ndugu zangu, sijihesabu kuwa nimekwisha kushika. Lakini ninafanya jambo moja: Ninasahau mambo yale yaliyopita, nakaza mwendo kufikia yale yaliyo mbele.
Bhaholo bhani simanya aje impite tiyali amabo iga. Ila ibhomba ijambo lyeka ihwiwa mwisinda ihwenyezya mwilongolela.
14 Nakaza mwendo nifikie ile alama ya ushindi iliyowekwa ili nipate tuzo ya mwito mkuu wa Mungu ambao nimeitiwa huko juu mbinguni katika Kristo Yesu.
Injitahidi afishile amalengo na makusudi ili impate ingiga ulukwizyo lwa Ngulubhi mwa Yesu Kristi.
15 Hivyo sisi sote tuliokuwa kiroho tuwaze jambo hili, hata mkiwaza mengine katika jambo lolote, Mungu ataliweka wazi hilo nalo.
Twenti twetikuliye ulokole tihwanziwa ahwanze ishi nkeshele umo abhasibhe hunamna tofauti ahusu ijambo lyolyonti ilya Ngulubhi nantele abhalyigule hulimwe.
16 Lakini na tushike sana lile ambalo tumekwisha kulifikia.
Hata huyo umuda nkewafiha tibhale shinisho.
17 Ndugu zangu, kwa pamoja fuateni mfano wangu na kuwatazama wale wanaofuata kielelezo tulichowawekea.
Bhaholo bhwa mumfwate ani mubhenye sana bhala bhebhajenda hudadavu webhuli ndeshe ati.
18 Kwa maana, kama nilivyokwisha kuwaambia mara nyingi kabla, nami sasa nasema tena hata kwa machozi, watu wengi wanaishi kama adui wa msalaba wa Kristo.
Bhinji bhebhakhala bhebhala mala nyinji imbabhuzya na ishi imbabhuzya humansozi - bhinji bhakhala ndeshe abhalugu abhikhobhehanyo isha Yesu Kilisti.
19 Mwisho wa watu hao ni maangamizi, Mungu wao ni tumbo, na utukufu wao ni aibu, na mawazo yao yamo katika mambo ya dunia.
Humpelela hwabho nanjisu. Pipo Ungulubhi wabho vyanda, ni shiburi shabho nsoni zyabho. Bhasibhilila amambo agamusi.
20 Lakini uenyeji wetu uko mbinguni. Nasi tunamngoja kwa shauku Mwokozi kutoka huko, yaani, Bwana Yesu Kristo,
Pe ukhalo witu bhuli humwanya hwe tuhunsubhila ummulokozi witu uYesu Kilisti.
21 atakayeubadili mwili wetu wa unyonge, ili upate kufanana na mwili wake wa utukufu, kwa uweza ule ambao kwa huo aweza hata kuvitiisha vitu vyote chini yake.
Abhagalulanye amabili gitu amabhinu ndeshe amabili gakwe utuntumu; hwunguvu zizila huvizibiti ivintu vyonti.

< Wafilipi 3 >