< Wafilipi 3 >
1 Hatimaye, ndugu zangu, furahini katika Bwana! Mimi kuwaandikia mambo yale yale hakuniudhi, kwa maana ni kinga kwa ajili yenu.
Bhai ashaalongo ajangunji, nng'angalalanje nkulundana na Bhakulungwa. Nne ikandotoya kunjandishilanga indu ila pe ila, pabha shiimpwaanje mmanganyanji.
2 Jihadharini na mbwa, wale watenda maovu, jihadharini na wale wajikatao miili yao, wasemao ili kuokoka ni lazima kutahiriwa.
Mwiiteiganje na bhandunji bhaatendanga yangali ya mmbone, bhandunji bha malinga mbwa, bhaakomelesheyanga ga kwaapotekanga bhandunji, gwangali ligongo.
3 Kwa maana sisi ndio tulio tohara, sisi tumwabuduo Mungu katika Roho, tunaona fahari katika Kristo Yesu, ambao hatuweki tumaini letu katika mwili,
Pabha tujalwishe ukoto ni uwe, tukwaatindibhalila a Nnungu kwa Mbumu jwabho na kwiipuna ga lundana na a Yeshu Kilishitu. Wala tukaakulupalila ga nshiilu.
4 ingawa mimi mwenyewe ninazo sababu za kuutumainia mwili. Kama mtu yeyote akidhani anazo sababu za kuutumainia mwili, mimi zaidi.
Nkali nne mbingaga, ngunakombola kukulupalila ya nshiilu. Monaga apali mundu akwete ligongo lya kulupalila ya nshiilu, nne njipunda.
5 Nilitahiriwa siku ya nane, mimi ni Mwisraeli wa kabila la Benyamini, Mwebrania wa Waebrania. Kwa habari ya sheria, ni Farisayo,
Nne punajalwishe lyubha lya nane ngabhelekweje, nne ni jwa a Ishilaeli kabhila ja a Bhenjamini, Nanng'ebhulania jwa Bhaebhulania, ga kagulila shalia ja a Musha, nne Nampalishayo,
6 kwa habari ya juhudi, nilikuwa nalitesa kanisa, kuhusu haki ipatikanayo kwa sheria, mimi nilikuwa sina hatia.
natendaga tumbila kwa kaje mpaka nikulipoteka likanisha, na kwa ngani ja uguja gwa kagulila shalia ja a Musha, ngakweteje shilebho.
7 Lakini mambo yale yaliyokuwa faida kwangu, sasa nayahesabu kuwa hasara kwa ajili ya Kristo.
Ikabheje kwa indu inaganishiyaga ya mbwaa nne, njikwibhona nngabha shindu kupunda kwaapinga a Kilishitu.
8 Zaidi ya hayo, nayahesabu mambo yote kuwa hasara tupu nikiyalinganisha na faida kubwa ipitayo kiasi cha kumjua Kristo Yesu Bwana wangu, ambaye kwa ajili yake nimepata hasara ya mambo yote, nikiyahesabu kuwa kama mavi ili nimpate Kristo.
Elo, nngabha genegope, ikabhe indu yowe ngunakwibhona nngabha shindu, kwa ligongo lya mmbone lya kwaamanya a Kilishitu Yeshu, Bhakulungwa bhangu. Kwa ligongo lya Bhenebho njileka kila shindu, nikwiibhona mbuti mai, nkupinga naapate a Kilishitu,
9 Nami nionekane mbele zake bila kuwa na haki yangu mwenyewe ipatikanayo kwa sheria, bali ile ipatikanayo kwa imani katika Kristo, haki ile itokayo kwa Mungu kwa njia ya imani.
nilundana nabho kaje. Nne ngunakole aki jipatikana kwa kunda shalia. Ikabheje nnaino njikola aki pungwaakulupalila a Kilishitu, aki jikopoka kwa a Nnungu kwa ligongo lya ngulupai.
10 Nataka nimjue Kristo na uweza wa kufufuka kwake na ushirika wa mateso yake, ili nifanane naye katika mauti yake,
Shingupinga naamanye a Kilishitu na kugabhona mashili ga yuka kwabho, na kundikanywa mmboteko yabho nililandanywa nshiwo shabho,
11 ili kwa njia yoyote niweze kufikia ufufuo wa wafu.
numbe nne ngulikulupalila kuti ng'waga shinyuywe.
12 Si kwamba nimekwisha kufikia, au kwamba nimekwisha kuwa mkamilifu, la hasha! Bali nakaza mwendo ili nipate kile ambacho kwa ajili yake, nimeshikwa na Kristo Yesu.
Nngabha kuti njimaliya eu njitimilila, ng'oo! Ikabhe ngunatumbila ga mwanja nkupinga mbate shene shiindenda ngamulwe na a Yeshu Kilishitu.
13 Ndugu zangu, sijihesabu kuwa nimekwisha kushika. Lakini ninafanya jambo moja: Ninasahau mambo yale yaliyopita, nakaza mwendo kufikia yale yaliyo mbele.
Mwashaalongo ajangunji, ngaganishiya kuti mbatile shenesho, ikabheje shingutenda shimo, ngunalibhala gapitile gala, nitumbilila gali mmujo.
14 Nakaza mwendo nifikie ile alama ya ushindi iliyowekwa ili nipate tuzo ya mwito mkuu wa Mungu ambao nimeitiwa huko juu mbinguni katika Kristo Yesu.
Bhai, ngunatumbila na mwanja kuloya kundumbilile, nkupinga mbate upo injemelwe na a Nnungu kopoka ku nnungu, kupitila a Yeshu Kilishitu.
15 Hivyo sisi sote tuliokuwa kiroho tuwaze jambo hili, hata mkiwaza mengine katika jambo lolote, Mungu ataliweka wazi hilo nalo.
Bhai, uwe tubhowe tukomele mmitima, uwe tuganishiye genego, na ibhaga nnganishiyangaga muna, bhai a Nnungu shibhannanguyanje genego.
16 Lakini na tushike sana lile ambalo tumekwisha kulifikia.
Bhai apano putuishile pano tunaleshelele, ikabheje tupunde kwenda mmujo.
17 Ndugu zangu, kwa pamoja fuateni mfano wangu na kuwatazama wale wanaofuata kielelezo tulichowawekea.
Ashaalongo ajangunji, nngaguyanje ingutenda nne, na mwaalolanje bhene bhaakaguyanga gutunnjigenyenje gala.
18 Kwa maana, kama nilivyokwisha kuwaambia mara nyingi kabla, nami sasa nasema tena hata kwa machozi, watu wengi wanaishi kama adui wa msalaba wa Kristo.
Nammalanjilenje genego papagwinji, nnaino ngunakummalanjilanga akuno nilikopoka minyoi kuti, bhandu bhabhagwinji bhanatamangana mbuti bha magongo, bha shiwo sha a Kilishitu munshalabha.
19 Mwisho wa watu hao ni maangamizi, Mungu wao ni tumbo, na utukufu wao ni aibu, na mawazo yao yamo katika mambo ya dunia.
Mpelo gwabhonji ni kuobha, na nnungu jwabhonji ni ilokoli ya shiilu, na bhanakwiipunilanga ya tokomala, ibhaganishiyanga ya pa shilambolyope.
20 Lakini uenyeji wetu uko mbinguni. Nasi tunamngoja kwa shauku Mwokozi kutoka huko, yaani, Bwana Yesu Kristo,
Ikabheje uwe ushilambo gwetu kuuli kunnungu, koposhela kweneko tunakwaalolela kwa lilaka, Bhaatapula na Bhakulungwa bhetu a Yeshu Kilishitu.
21 atakayeubadili mwili wetu wa unyonge, ili upate kufanana na mwili wake wa utukufu, kwa uweza ule ambao kwa huo aweza hata kuvitiisha vitu vyote chini yake.
Bhaapinga tindiganya iilu yetu yangali mashili ino, nkupinga ilandane na shiilu shabho sha ukonjelo, kwa gene mashiligo shibhaibhishe indu yowe, ibhe muukulungwa gwabho.