< Wafilipi 3 >

1 Hatimaye, ndugu zangu, furahini katika Bwana! Mimi kuwaandikia mambo yale yale hakuniudhi, kwa maana ni kinga kwa ajili yenu.
Figadoña’e, ry longo: mirebeha amy Talè! Tsy mahatsimboetse ahiko te isokirako indraike, fa fañarovañe anahareo.
2 Jihadharini na mbwa, wale watenda maovu, jihadharini na wale wajikatao miili yao, wasemao ili kuokoka ni lazima kutahiriwa.
Itaò o amboao, itaò o mpanao ratio, itaò o mpanao savatse tsieo.
3 Kwa maana sisi ndio tulio tohara, sisi tumwabuduo Mungu katika Roho, tunaona fahari katika Kristo Yesu, ambao hatuweki tumaini letu katika mwili,
Fa itikañe o fisavarañeo, t’ie mitoloñe amy Arofon’ Añahare naho mirenge am’ Iesoà Norizañey, vaho tsy miato-nofotse—
4 ingawa mimi mwenyewe ninazo sababu za kuutumainia mwili. Kama mtu yeyote akidhani anazo sababu za kuutumainia mwili, mimi zaidi.
ie ho nanam-piatoako amy nofotsey. He eo ty mihevetse t’ie ro mpiato amy nofotsey, lombolombo’e iraho:
5 Nilitahiriwa siku ya nane, mimi ni Mwisraeli wa kabila la Benyamini, Mwebrania wa Waebrania. Kwa habari ya sheria, ni Farisayo,
sinavatse ami’ty andro faha-valo, foko’ Israele, tarira’ i Benjamina, Hebreo’ o Heb­reoo; Fariseo ty amy Hake;
6 kwa habari ya juhudi, nilikuwa nalitesa kanisa, kuhusu haki ipatikanayo kwa sheria, mimi nilikuwa sina hatia.
nampisoañe o Fivorio an-joton-troke; tsy aman-tahiñe ami’ty fañorihañe Hake.
7 Lakini mambo yale yaliyokuwa faida kwangu, sasa nayahesabu kuwa hasara kwa ajili ya Kristo.
Le ndra inoñ’ inoñe ty ho nitombo’e ho ahiko, nadoko ho sira-an-tane ty amy Norizañey.
8 Zaidi ya hayo, nayahesabu mambo yote kuwa hasara tupu nikiyalinganisha na faida kubwa ipitayo kiasi cha kumjua Kristo Yesu Bwana wangu, ambaye kwa ajili yake nimepata hasara ya mambo yote, nikiyahesabu kuwa kama mavi ili nimpate Kristo.
Tsy izay avao, fe ataoko ho fonga tsy vente’e te ampanahafeñe ami’ty hajabahina’ ty faharendrehañe i Talèko Iesoà Norizañey, aa le hene nifarieko naho nanoeko forompotse, hahazoako i Norizañey
9 Nami nionekane mbele zake bila kuwa na haki yangu mwenyewe ipatikanayo kwa sheria, bali ile ipatikanayo kwa imani katika Kristo, haki ile itokayo kwa Mungu kwa njia ya imani.
hahatendreke te ama’e, tsy t’ie nivañone’ ty fimanemaneañe Hake, fa ty figahiña’ i Norizañey, ty toe havantañan’ Añahare mioreñe am-patokisañe.
10 Nataka nimjue Kristo na uweza wa kufufuka kwake na ushirika wa mateso yake, ili nifanane naye katika mauti yake,
Eka, te ho fohiko re naho ty faozara’ i fivañom-belo’ey naho ty fitraofan-kina amy fijalea’ey, hihambañako amy havilasi’ey,
11 ili kwa njia yoyote niweze kufikia ufufuo wa wafu.
hahatakarako ty fitroarañe an-kavilasy.
12 Si kwamba nimekwisha kufikia, au kwamba nimekwisha kuwa mkamilifu, la hasha! Bali nakaza mwendo ili nipate kile ambacho kwa ajili yake, nimeshikwa na Kristo Yesu.
Tsy t’ie nitàkako, toe tsy añon-draho, fe itoañako t’ie handrambe i nandrambesa’ Iesoà Norizañey ahikoy.
13 Ndugu zangu, sijihesabu kuwa nimekwisha kushika. Lakini ninafanya jambo moja: Ninasahau mambo yale yaliyopita, nakaza mwendo kufikia yale yaliyo mbele.
O ry longo, tsy t’ie rinambeko. Fe, Amoeako ze amboho ao naho ilozohako takatse o añeo
14 Nakaza mwendo nifikie ile alama ya ushindi iliyowekwa ili nipate tuzo ya mwito mkuu wa Mungu ambao nimeitiwa huko juu mbinguni katika Kristo Yesu.
eka imaneako talifitse ty tambem-pikanjiañ’ abon’ Añahare am’ Iesoà Norizañey.
15 Hivyo sisi sote tuliokuwa kiroho tuwaze jambo hili, hata mkiwaza mengine katika jambo lolote, Mungu ataliweka wazi hilo nalo.
Antao arè hiharo rehake, ze hene matoe aman-tikañe, fa naho hafa ty ereñeren-tro’areo, mbe hampalangesen’ Añahare avao.
16 Lakini na tushike sana lile ambalo tumekwisha kulifikia.
Fe soa t’ie hañavelo mañeva o fa nitakàren-tikañeo.
17 Ndugu zangu, kwa pamoja fuateni mfano wangu na kuwatazama wale wanaofuata kielelezo tulichowawekea.
O ry longo, mitraofa ami’ty fañorihañ’ ahy, naho rendreho o mpañavelo am-pitsikombeañe anay.
18 Kwa maana, kama nilivyokwisha kuwaambia mara nyingi kabla, nami sasa nasema tena hata kwa machozi, watu wengi wanaishi kama adui wa msalaba wa Kristo.
Fe maro—ie beteke nitalilieko naho mbe taroñeko an-tañy henaneo—ty mañavelo hoe rafelahi’ i hatae ajale’ i Norizañeiy.
19 Mwisho wa watu hao ni maangamizi, Mungu wao ni tumbo, na utukufu wao ni aibu, na mawazo yao yamo katika mambo ya dunia.
Ie hijoroboñe an-karotsa­hañe ao, ty fisafoa’e ro ndrañahare’e naho ty hameñara’e ro fisengea’e. Mifahatse an-draha an-tane atoy o vetsevetse’ iareoo.
20 Lakini uenyeji wetu uko mbinguni. Nasi tunamngoja kwa shauku Mwokozi kutoka huko, yaani, Bwana Yesu Kristo,
Boriza’ ty andindìñe añe tika, añe ty itamañe mpandrombake, toe Iesoà Talè Norizañey,
21 atakayeubadili mwili wetu wa unyonge, ili upate kufanana na mwili wake wa utukufu, kwa uweza ule ambao kwa huo aweza hata kuvitiisha vitu vyote chini yake.
ie ty hañova o sandrin-tikañe mirèkeo, hampihambaña’e amy fañòva’e aman’ engeñey amy haozara’e hampiambane ze he’e ama’ey.

< Wafilipi 3 >