< Wafilipi 2 >

1 Kama kukiwa na jambo lolote la kutia moyo katika kuunganishwa na Kristo, kukiwa faraja yoyote katika upendo wake, kukiwa na ushirika wowote na Roho, kukiwa na wema wowote na huruma,
Nkashile huheli apewe umwoyo nu Kristu. Nkashile luweli olusobhezyo lufuma mlugano lwakwe. Nkashile uhweli ulubhongano lwa Opepo.
2 basi ikamilisheni furaha yangu kwa kuwa na nia moja, mkiwa na upendo huo moja, mkiwa wa roho na kusudi moja.
Malelezi ulusovyo lwane mbhaje pandwemo mbhanje nulugano lumo, nkambha pandwemo opepo, nabhenembombo emo.
3 Msitende jambo lolote kwa nia ya kujitukuza wala kujivuna, bali kwa unyenyekevu kila mtu amhesabu mwingine bora kuliko nafsi yake.
Ugaje owombe umwene nahwilole. Mubhanje bhahwiyisye nkawabhalola abhanje huje bhinza ashile awe.
4 Kila mmoja wenu asiangalie faida yake mwenyewe tu, bali pia ajishughulishe kwa faida ya wengine.
Omtu aagje wenye amambo gakwe yuyo ayenyaje na aga bhanje.
5 Kuweni na nia ile ile aliyokuwa nayo Kristo Yesu:
Mubhaje numwoyo nashi Kristi u Yesu.
6 Yeye, ingawa alikuwa na asili ya Mungu hasa, hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa kitu cha kushikilia,
Umwene alisawa nu Ngolobhe sagahwibheshele huje sawa nu Ngolobhe hatu ahakhatane naho.
7 bali alijifanya si kitu, akachukua hali hasa na mtumwa, naye akazaliwa katika umbo la mwanadamu.
Lakini umwene abhiyisizye yuyo. Ahejile ubeleogwa hwitume ahwibhonesezye pamaso gabhantu. Abhoneshe mwanadamu.
8 Naye akiwa na umbo la mwanadamu, alijinyenyekeza, akatii hata mauti: naam, mauti ya msalaba!
Umwene abhiyisizye nashi ikwii abhale afye afye pashihobhehanyo.
9 Kwa hiyo, Mungu alimtukuza juu sana, na kumpa Jina lililo kuu kuliko kila jina,
Pepo Ungolobhe asukyezye haanu. Apiye itawa igosi ashile amatawa goti.
10 ili kwa Jina la Yesu, kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi,
Abhombile goti hwitawa ilya Yesu kila lifugamo lifungamile. Amafugamo gabhantu abha humwanya na bhabhali pamwanya pansi na bhabhali bhilongo pasi.
11 na kila ulimi ukiri ya kwamba Yesu Kristo ni Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.
Abhombile engo huje umele guyaje U Yesu Kilisti yugonsi nusisya owa Ngolobhe nu daada.
12 Kwa hiyo, wapenzi wangu, kama vile ambavyo mmekuwa mkitii siku zote, si tu wakati nikiwa pamoja nanyi, bali sasa zaidi sana nisipokuwepo, utimizeni wokovu wenu kwa kuogopa na kutetemeka,
Hwahuje bhamwetu bhane nashisamhwina esinku zyosagahuje pewendi hata pendinomo bhombaji owaule wenyu mwemwe uwoga nayinganishe.
13 kwa maana Mungu ndiye atendaye kazi ndani yenu, kutaka kwenu na kutenda kwenu kwa kulitimiza kusudi lake jema.
Hwahuje Ongolobhe abhomba embombo mhati yenyu abhapela amaha agabhombele imbombo gala gasongwa umwene.
14 Fanyeni mambo yote bila kunungʼunika wala kushindana,
Hwombaji embombo zyonti wala mgaje munjunishe wala abwazanye.
15 ili msiwe na lawama wala hatia, bali mwe wana wa Mungu wasio na kasoro katika kizazi chenye ukaidi na kilichopotoka, ambacho ndani yake ninyi mnangʼaa kama mianga ulimwenguni.
Hwombaji shesho huje mgajeligwe na mlibhana bha Ngolobhe. Usengerusu wasagali ni mbibhi bhombaji ego mubhanje lukhozwo pansi epapo eyamabhibhi na mabhibhi.
16 Mkilishika neno la uzima, ili nipate kuona fahari siku ya Kristo kwamba sikupiga mbio wala kujitaabisha bure.
Khataji sana amazyi ega agewomi hujeembe wazo bhezewe isiku elya Kilisti embamanye huje sagananyilile wene saga na bhombile embombo wenu.
17 Lakini hata kama nikimiminwa kama sadaka ya kinywaji kwenye dhabihu na huduma itokayo katika imani yenu, mimi ninafurahi na kushangilia pamoja nanyi nyote.
Mmenye huje bhantufya nashi esadaka pamwanya ye dhabihu nembombo eye lweteho esogwa naesogwele pandwemo namwe mwenti.
18 Vivyo hivyo, ninyi nanyi imewapasa kufurahi na kushangilia pamoja nami.
Pepapepa namwe msogwelwe natele msogwele pandwemo nane.
19 Natumaini katika Bwana Yesu kumtuma Timotheo hivi karibuni aje kwenu, ili nipate kufarijika moyo nitakapopata habari zenu.
Ane itegemela hwa Gosi uYesu ehulanyizya hwa Timotheo hulimwi sheshi apepepe ewazahuje mpelee nane umwoyo nanaiaamanya amambo genyu.
20 Sina mtu mwingine kama yeye, ambaye ataangalia hali yenu kwa halisi.
Hwa huje sendinuwamwabho uwawenye nashi umwene walinilyoli sababu yenyu.
21 Kwa maana kila mmoja anajishughulisha zaidi na mambo yake mwenyewe wala si yale ya Yesu Kristo.
Abhanje bhonti bhanagaga embatume abhene bhahwanza embombo zyabho ezyavene wene, nasagazyahuje zya abhombe embombo eye Yesu Kilisti.
22 Lakini ninyi wenyewe mnajua jinsi Timotheo alivyojithibitisha mwenyewe, kwa maana ametumika pamoja nami kwa kazi ya Injili, kama vile mwana kwa baba yake.
Hwa huje mmenye egharama zyakwe, nashu umwana walelwa nuishe wakwe papepo pahwombile embombo pandwemo nane alumbelele.
23 Kwa hiyo, ninatumaini kumtuma kwenu upesi mara nitakapojua mambo yangu yatakavyokuwa.
Hwahuje esobheye hutume halaka hulimwi ilikemanye henu habhafumile hulini.
24 Nami mwenyewe ninatumaini katika Bwana kwamba nitakuja kwenu hivi karibuni.
Hwahuje endinuhakika hwitawa lya Gosi huje embahweze nene naihweza papapepe.
25 Lakini nadhani ni muhimu kumtuma tena kwenu Epafrodito, ndugu yangu na mtendakazi pamoja nami, aliye askari mwenzangu, ambaye pia ni mjumbe wenu mliyemtuma ili ashughulike na mahitaji yangu.
Endihwendala ewaziwa hugalusije hulimwi Epafradito. Umwene holo wane nantele bhomba mbombo tenti nane, naskari wamwetu umwene tumwa nantele puti wenyu kwajili ya vintu evyalini.
26 Kwa maana amekuwa akiwaonea sana shauku ninyi nyote, akiwa na wasiwasi kwa kuwa mlisikia kwamba alikuwa mgonjwa.
Alinowoga agene huje abhepandwemo namwe mweti hwahuje ahovyezye wamwabho huje bhinu.
27 Kweli alikuwa mgonjwa, tena karibu ya kufa. Lakini Mungu alimhurumia, wala si yeye tu, bali hata na mimi alinihurumia, nisipatwe na huzuni juu ya huzuni.
Maana lyoli alibhinu shesho apululie afye. Lakini Ongolobhe asanjile ni pwana lyakwe hagali pamwanya yakwe. Umwene alipamwanya yane hwahuje ansibhe nahwisanje na hwisanje.
28 Kwa hiyo mimi ninafanya bidii kumtuma kwenu ili mtakapomwona kwa mara nyingine, mpate kufurahi, nami wasiwasi wangu upungue.
Hwa huje hehugalusya ninali amwenye lyaliwezeha na huje pamvahulele mwasogwe nana embave enefizye esebho.
29 Kwa hiyo mpokeeni katika Bwana kwa furaha kubwa, nanyi wapeni heshima watu kama hawa,
Zobhelaji u Epafradito hwidal lya Gosi sogwanji huwiza woti muhwiyishaje hwa mtu nashioyo.
30 kwa sababu alikaribia kufa kwa ajili ya kazi ya Kristo, akihatarisha maisha yake ili aweze kunihudumia vile ninyi hamkuweza.
Hwa huje alimbombo ezya Kristi apalamiye aafye apululilye amaisha gakwe sababu yawamwabha avombele amambo asaga waile ahwombe mmbombo nashieyo numo wowoti wahwombile nashioyo hutali nane.

< Wafilipi 2 >