< Wafilipi 1 >
1 Waraka wa Paulo na Timotheo, watumishi wa Kristo Yesu: Kwa watakatifu wote katika Kristo Yesu walioko Filipi, pamoja na waangalizi na mashemasi:
U Paulo nu Timotheo abeshibha sha Yesu Kristi, hwa Bhaala bhabhabagulwe hushauli ya Yesu bhabhakhala hu Filipi, pandwemo na bheenyi na bheenyi adodo.
2 Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi.
Eneema ebhe hulimwe nu tengane waufuma hwa Ngulubhe uise witu nu hwa Yesu Kristi.
3 Ninamshukuru Mungu wangu kila niwakumbukapo ninyi.
Ehusalifya Ungulubhi wane shila pembizuha amwe mwenti.
4 Katika maombi yangu yote daima nimekuwa nikiwaombea ninyi nyote kwa furaha,
Ensiku zyonti shila neputa embaputila, nu mwoyo gwane gusongwa nembaputila.
5 kwa sababu ya kushiriki kwenu katika kueneza Injili, tangu siku ya kwanza hadi leo.
Endinensalifyo nyinji hushauli yelweteho mwibhangili ahwande isiku elyahwande paka sanyunu eshi.
6 Nina hakika kwamba yeye aliyeianza kazi njema mioyoni mwenu, ataiendeleza na kuikamilisha hata siku ya Kristo Yesu.
Endi nouhakika aje umwene yahandile embobho enyinza hulimwe abhahwendelele aimalezye mpaka isiku lya Yesu Kristi Ugosi wetu.
7 Ni haki na ni wajibu wangu kufikiri hivi juu yenu nyote, kwa sababu ninyi mko moyoni mwangu. Ikiwa nimefungwa au nikiwa ninaitetea na kuithibitisha Injili, ninyi nyote mnashiriki neema ya Mungu pamoja nami.
Sawa huliwe ahwiyomvweshinza maana embabheshele humwoyo gwane. Amwe mulibhashirika bhamwitu mu neema mufungwe wawe nana litanjilaga ibhangili.
8 Mungu ni shahidi wangu jinsi ninavyowaonea shauku ninyi nyote kwa huruma ya Kristo Yesu.
Ungulubhi keti wane, shembasukwilwe amwe mwenti mulugano lwa muhati mwa Yesu Kristi.
9 Haya ndiyo maombi yangu: kwamba upendo wenu uongezeke zaidi na zaidi katika maarifa na ufahamu wote,
Awe elabha huje: ulugano lwenyu lwonjelele hahinji na munjeele zyonti.
10 ili mpate kutambua yale yaliyo mema, mkawe safi, wasio na hatia hadi siku ya Kristo,
Elaabha kwa ajili yeli aje mubhe ne njeele eyzapime na salule amambo aminza tee. Nantele embalabhila huje mubhe bhinz bila ahwilonje embibhi humwoyo hwisikulya Yesu.
11 mkiwa mmejawa na matunda ya haki yapatikanayo kwa njia ya Yesu Kristo, kwa utukufu na sifa za Mungu.
Nantele Ungulubhi abhamemye enyinza mu moyo genyu gagafuma hwa Yesu Kristu, no tuntumune nsumbo zya Ngulubhi.
12 Basi, ndugu zangu, nataka mjue kwamba mambo yale yaliyonipata kwa kweli yamesaidia sana kueneza Injili.
Eshi bhaholo bhawe, ehwanza aje, mumanye huje, amambo gala gagfumiye hulimwe galikhonzizye ibangili aji libhalaje hwitagalila.
13 Matokeo yake ni kwamba imejulikana wazi kwa walinzi wote wa jumba la kifalme na kwa wengine wote kuwa nimefungwa kwa ajili ya Kristo.
Hashisho empinyo yaneya bhampinyile hushauli wa Yesu vimanyishe hwalinzi bha Gosi na hwa bhantu bhonti.
14 Kwa sababu ya vifungo vyangu, ndugu wengi katika Bwana wametiwa moyo kuhubiri neno la Mungu kwa ujasiri zaidi na bila woga.
Na aholo bhinji hwa Ugosi U Yesu, hunongwa zye mpinyo zyane, abhantu bhalumbililaizi nkasaje nahamo nantele bila ahwogope.
15 Ni kweli kwamba wengine wanamhubiri Kristo kutokana na wivu na kwa kutaka kushindana, lakini wengine wanamhubiri Kristo kwa nia njema.
Lelo bhamo bhahulumbilila u Yesu na moyo amabhibhi nibho nantele bhamo bha alumbilila na moyo aminza.
16 Hawa wa mwisho wanamhubiri Kristo kwa moyo wa upendo, wakifahamu kwamba nimo humu gerezani kwa ajili ya kuitetea Injili.
Bhaala bhabhahulumbilila uYesu hulugano bhamenye huje ane embehwelwe epa aje endyumile izu.
17 Hao wa kwanza wanamtangaza Kristo kutokana na tamaa zao wenyewe wala si kwa moyo mweupe, bali wanakusudia kuongeza mateso yangu katika huku kufungwa kwangu.
Nantele bhamo bhahulumbilila Ukristi hufaida yabho nu mwoyo ubhibhi. Bhaiga jee ane embapate amalabha nempengozya bhampinyile.
18 Lakini inadhuru nini? Jambo la muhimu ni kwamba kwa kila njia, ikiwa ni kwa nia mbaya au njema, Kristo anahubiriwa. Nami kwa ajili ya jambo hilo ninafurahi. Naam, nami nitaendelea kufurahi,
Eshi? Sesaga, nkahushibhibhi au shinza, Kristi alumbililwa humadala gonti nanewayo esungwa. Pipo endimenye
19 kwa maana ninajua kwamba kwa maombi yenu na kwa msaada unaotolewa na Roho wa Yesu Kristo, yale yaliyonipata mimi yatageuka kuwa wokovu wangu.
eli huje lyaindetela ane huje eni gushu mufungwe wane. Elilyaifumila hunongwa yemputo zyenyu nu musaada gwa Umpepo wa Yesu Kristi.
20 Ninatarajia kwa shauku kubwa na kutumaini kwamba sitaaibika kwa njia yoyote, bali nitakuwa na ujasiri wa kutosha ili sasa kama wakati mwingine wowote, Kristo atukuzwe katika mwili wangu, ikiwa ni kwa kuishi au kwa kufa.
Afuatane nensubhilo ezyelyoli huje ane sehailola ensoni. Naibha nelyoo lyonti. Neshi ensikuzyonti neshi, esubhilahuje, U Yesu aihwizuvya hubili uwawe, nkashele huwomi au hunfwa.
21 Kwa maana kwangu mimi, kuishi ni Kristo, na kufa ni faida.
Huline ane afwe shinza nakhale huline yu Kristu.
22 Kama nitaendelea kuishi katika mwili, kwangu hili ni kwa ajili ya matunda ya kazi. Lakini sijui nichague lipi? Mimi sijui!
Lelo akhale nkahwinza hubeele ehuletela Ungulubhi embombo enyinza, mawyi sendimenye elyasalule.
23 Ninavutwa kati ya mambo mawili: Ninatamani kuondoka nikakae pamoja na Kristo, jambo hilo ni bora zaidi.
Maana ebhuhwa tee nensebho zibhili. Esungwa aguleshe ubili ogu embale akhale hwa Yesu eho hesamani tee tee.
24 Lakini kwa sababu yenu ni muhimu zaidi mimi nikiendelea kuishi katika mwili.
Hwope asagale mubili ogu shinza hushauli yenyu.
25 Kwa kuwa nina matumaini haya, ninajua kwamba nitaendelea kuwepo na kuwa pamoja nanyi nyote, ili mpate kukua na kuwa na furaha katika imani.
Afwatane aje endinouhakika nelii, emenye huje nahaisagala huje embanjese hwendelela akhale pandwimo namwe mwenti, hunongwaye itishilo lwinyu.
26 Ili kwamba furaha yenu iwe nyingi katika Kristo Yesu kwa ajili yangu kwa kule kuja kwangu kwenu tena.
Neli libhelete uluseshelo ugusi hulimwe mwa Yesu Kristi, oluseshelo lwinyu lubhahwonjelele, ane abhe pandwemo namwe.
27 Lakini lolote litakalotukia, mwenende kama ipasavyo Injili ya Kristo, ili kwamba nikija na kuwaona au ikiwa sipo, nipate kusikia haya juu yenu: Kuwa mnasimama imara katika roho moja, mkiishindania imani ya Injili kwa umoja,
Muhwanziwa ulwizyo lwenyu munjendo enyiza shalihwanza izulya Ngulubhi aje mubhalaje, bhombaji esho ili nkanayenza au nkasanayenza, ehonvwaje aje mwe meleye, muli numwoyo gumo na lwenyu izu nulweteshelo lwenyu pandwemo.
28 wala msitishwe na wale wanaowapinga. Hii ni ishara kwao kuwa wataangamia, lakini ninyi mtaokolewa, na hii ni kazi ya Mungu.
Musahagundushe ahawtu hohonti hahabhombwa na bhantu abhibhi bhenyu. Ezi mbonesya huje abhantu ebha bhananzi.
29 Kwa maana mmepewa kwa ajili ya Kristo, si kumwamini tu, bali pia kuteswa kwa ajili yake,
Lelo hulimwe mbowesyozye wokovu waufuma hwa Ngulubhi. Maana amwe mupewilwe kwa ajili ya Yesu se humwitishe wewe
30 kwa kuwa mnashiriki mashindano yale yale mliyoyaona nikiwa nayo na ambayo hata sasa mnasikia kuwa bado ninayo.
lelo na malabhi hwa mwene. Maana mulinibho lilalila neshi lya mwalilolile huline nantele mwonvwezye hujebado endinalyo weshi.