< Filemoni 1 >

1 Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu, pamoja na Timotheo ndugu yetu: Kwa Filemoni rafiki yetu mpendwa na mtendakazi mwenzetu,
une ne Paulo, ne juno nikungilie vwimila kudalikila iMhola ja Yesu kilisite. nikukulembela uve Filimoni. une nunyalukolo ghwitu u uTimoteo, tukuhungila uve ghwe mughanike ghwitu, ghwe n'jiitu mumbombo.
2 kwa dada yetu mpendwa Afia, kwa Arkipo askari mwenzetu na kwa kanisa lile likutanalo nyumbani mwako:
tukumuhungila nu lumbu liitu uAfisa nu mulwalilungu n'jiitu uAlikipo, palikimo na vitiki vano vikong'aana mu nyumba jaako.
3 Neema iwe nanyi na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.
ulusungu nulutengano kuhuma kwa Nguluve Nhaata ghwitu, nakwa Mutwa uYesu Kilisite, luvisaghe numue.
4 Siku zote ninamshukuru Mungu ninapokukumbuka katika maombi yangu,
jatu pano nikukusumila, nikumwongesia uNguluve munyifunyo sango.
5 kwa sababu ninasikia juu ya imani yako katika Bwana Yesu na upendo wako kwa watakatifu wote.
ulwakuva nipulika imhola ja lwitiko lwako mwa Mutwa Yesu, nulughano lwako kuvitiiki vooni. ulwitiki lwako lukupelile kuuva nu vuhangilanisi na vange.
6 Naomba utiwe nguvu katika kuishuhudia imani yako, ili upate kuwa na ufahamu mkamilifu juu ya kila kitu chema tulicho nacho ndani ya Kristo.
lino nikukufuunya kuuti, uvuhangilanisi uvuo vuvombaghe imbombo n'kate mulyumue kuuti, mu uluo lukuvapela kukagula inofu sooni, sino tunoghile kuvomba mwa Yesu Kilisite.
7 Upendo wako umenifurahisha mno na kunitia moyo, kwa sababu wewe ndugu, umeiburudisha mioyo ya watakatifu.
nyalukolo, ulughano lwako luvahovwisie avitiki mumooja ghaave. najuune lumhelile ulukeelo ulukome nakukung'angasia.
8 Hata hivyo, ingawa katika Kristo ningeweza kuwa na ujasiri na kukuagiza yale yakupasayo kutenda,
lino napano nili nu vutavulilua mwa Kilisite kukukulaghila kino unoghile kuvomba, nanivomba uluo.
9 lakini ninakuomba kwa upendo, mimi Paulo, mzee na pia sasa nikiwa mfungwa wa Kristo Yesu,
Looli vwimila ulughani nivwene lunono nikusuume, une ne Paulo ndavule nili mughogholo ne pinyua mwa Yesu Kilisite.
10 nakuomba kwa ajili ya mwanangu Onesimo, aliyefanyika mwanangu nilipokuwa kwenye minyororo.
nikukusuma mu lwa Onesimo, juno ahene mwanango ulwakuva nintangile kukumwitika uYesu Kilisite pano nilimundinde.
11 Mwanzoni alikuwa hakufai, lakini sasa anakufaa sana wewe na mimi pia.
uju ye akukimbiile, naakale kinu kulyuve. lino lutangilo kulyuve, kange lutangilo kulyune.
12 Namtuma kwako, yeye aliye moyo wangu hasa.
lino nikunsung'ha kulyuve, uju nimughanile nu mwojo ghwango ghwoni.
13 Ningependa nikae naye ili ashike nafasi yako ya kunisaidia wakati huu nikiwa kifungoni kwa ajili ya Injili.
kange niveele nikeela ikale nuune aave m'bombi ghwango kuuti ahaale palyune kukunhanga, pano nilimundinde vwimila imhola inofu.
14 Lakini sikutaka kufanya lolote bila idhini yako, ili wema wowote uufanyao usiwe wa lazima, bali wa hiari.
neke lino nivwene nalunono kuvomba lumonga kisila vughane vwako, nambe kukukwumilisia kuuti unhange. une nilonda uvombe muvughane vwako juuve.
15 Huenda sababu ya yeye kutengwa nawe kwa kitambo kidogo ni ili uwe naye daima. (aiōnios g166)
pamo uNguluve akam'busisie uOnesimo kulyumue un'siki n'debe, neke pambele uuve nu mwene jaatu. kutengulila lino un'kami ghako ujuo nan'kami lwene, (aiōnios g166)
16 Si kama mtumwa, bali bora kuliko mtumwa, kama ndugu mpendwa. Yeye ni mpendwa sana kwangu na hata kwako zaidi, yeye kama mwanadamu na kama ndugu katika Bwana.
looli n'kami kange nyalukolo mughanike. une nimughanile kyongo, uve ghukumughana kukila, hene mwana ghwa munyumba jaako, kange nyalukolo mwa Mutwa.
17 Hivyo kama unanihesabu mimi kuwa mshirika wako, mkaribishe kama vile ungenikaribisha mimi mwenyewe.
lino nave ung'hagwile une kuti nili vuhangilanisi nuuve, umwupile ujuo ndavule ghwale ukunyupila une.
18 Kama amekukosea lolote au kama unamdai chochote, nidai mimi.
neke nave akuhokile, nambe ukun'sighila kimonga, usighilaghe une.
19 Ni mimi Paulo, ninayeandika waraka huu kwa mkono wangu mwenyewe. Nitakulipa. Sitaji kwamba nakudai hata nafsi yako.
neke Paulo nilembile nuluvoko lwango juune, nikukuhomba. kange uve ghukagula kuuti nikukusighila kukila kino ghukun'sighila uOnesimo ulakuva mumbombo jango ija vudaliki, uve ghwavangilue.
20 Ndugu yangu, natamani nipate faida kwako katika Bwana, uuburudishe moyo wangu katika Kristo.
Lino nyalukolo ghwango umbombele ulu vwimila ilitavua lwa Mutwa. hovosia umwojo ghwango ndavule lunoghiile kuvanyalukolo ma Kilisite
21 Nikiwa na hakika ya utii wako, nakuandikia, nikijua kwamba utafanya hata zaidi ya yale ninayokuomba.
nilemba isi, ulwakuva nikaghwile kuti ghukunda, kange kyaghuvomba kukila fino nikukusuma.
22 Jambo moja zaidi: Niandalie chumba cha wageni, kwa kuwa nataraji kurudishwa kwenu kama jibu la maombi yenu.
palikimo nisio unding'anikisyaghe apa kufikila, ulwakuva nihuvila kuti munyifunyo siinu, uNguluve ikunhanga niise kulyumue.
23 Epafra, aliye mfungwa mwenzangu katika Kristo Yesu, anakusalimu.
Uepafula juno adindilue palikimo nu mue vwimila uYesu Kilisite ghwitu ikukuhungila.
24 Vivyo hivyo Marko, Aristarko, Dema na Luka, watendakazi wenzangu wanakusalimu.
kange avavombi avajango uMalika, uAlisitaliko, uDema nu Luuka, vikukuhungila.
25 Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.
ulusungu lwa Mutwa ghwitu Yesu Kilisite luvisaghe numue.

< Filemoni 1 >